Utaratibu wa kuteua wanajeshi kushika nyadhifa za kiraia haufai

Utaratibu wa kuteua wanajeshi kushika nyadhifa za kiraia haufai

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.

Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.

Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.

Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
 
Mkuu nilichokiona na kwa hawa watu waliotoka kwenye majeshi ni uteuzi wa kimkakati maana 90% kama sio 100% ya walioteuliwa wamepelekwa katika wilaya zilizopo mipakani. So ni mkakati wa kiusalama naona hasa ukizingatia DC ndio mwenyekiti wa kamati ya usalama ya wilaya
 
Nchi hii iliyopakana na mipaka mingi kuliko mkoa wa Kigoma imeongozwa na marais sita aliyewahi kuwa mwanajeshi ni mmoja tu mpaka sasa.
Nafikiri ni strategic move. Mkoa uko mpalani.. a lot of security issues. So lazima waweke watu ambao ni security focused guys
 
Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.

Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.

Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.

Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Kikwete alikuwa mwanajeshi, mbona hamikusema hiyo, was a Colonel and not DAktari
 
Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.

Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.

Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.

Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Hii nchi kinacho angaliwa ni ubabe na matamko, swala la maono haliangaliwi mkuu,

Hii nchi tulikosea sana
 
Ungeuliza sababu ya hao wanajeshi kuteuliwa sio unalaumu tu bila kujua wanateuliwa kwa usalama wako wewe mlalamikaji huko mipakani.

Mipakani ujambazi ni mwingi, vurugu zipo nyingi, magendo ni mengi pia hao wanajeshi huwa wanafanya kazi kubwa kuliko hawa wemgine waliopewa kazi za mikoa ya mjini huko....
 
Mikoa na wilaya za mpakani zina changamoto za kiulinzi hivyo.hakuna shida kupewa wanajeshi
 
Hao wanajeshi wanapaswa kukaa kwenye Barracks na sio kuchangamkia teuzi za kiraia. Mafunzo waliosomea sio hizi teuzi wanazopewa zenye mwelekeo wa kisiasa.

Hawa wakuu wa mikoa na wilaya kuna sharti lililowekwa na tawala hizi kwamba lazima wawe ni makada wa ccm wakati wanajeshi hawatakiwi kujinasibisha na siasa za vyama sasa huu mbona ni unafiki wa wazi kabisa.

Hata raia akiwa mkuu wa wilaya au mkoa ulio pembezoni hakumuondolei mamlaka ya kutekeleza majukumu yake ya kiulinzi au ya kiusalama kisa tu eti yeye sio mwanajeshi.

Hawa wanajeshi inafaa wafanye kazi yao ya uwanajeshi na sio kujihusisha na siasa na kama wana tamaa ya kufanya siasa basi wavue magwanda wawe raia na watumikie bwana moja.
 
Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.

Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.

Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.

Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Kwa tabia za Watani zangu wa Mkoani Kigoma ( hasa za Kulima na Kuvuta Bange hovyo, Uchawi wa Kishamba, Kufanya Uhalifu hasa Mauwaji na Kuwakumbatia Wahamiaji Haramu na Kuninyima Mchumba wa Kiha GENTAMYCINE ) kwakuwa tu natokea Mkoani Mara ( Musoma ) naunga mkono Kupelekewa wana Medani ( Wanajeshi na Polisi ) hadi wakome.
 
Hao wanajeshi wanapaswa kukaa kwenye Barracks na sio kuchangamkia teuzi za kiraia. Mafunzo waliosomea sio hizi teuzi wanazopewa zenye mwelekeo wa kisiasa.

Hawa wakuu wa mikoa na wilaya kuna sharti lililowekwa na tawala hizi kwamba lazima wawe ni makada wa ccm wakati wanajeshi hawatakiwi kujinasibisha na siasa za vyama sasa huu mbona ni unafiki wa wazi kabisa.

Hata raia akiwa mkuu wa wilaya au mkoa ulio pembezoni hakumuondolei mamlaka ya kutekeleza majukumu yake ya kiulinzi au ya kiusalama kisa tu eti yeye sio mwanajeshi.

Hawa wanajeshi inafaa wafanye kazi yao ya uwanajeshi na sio kujihusisha na siasa na kama wana tamaa ya kufanya siasa basi wavue magwanda wawe raia na watumikie bwana moja.
Vyeo vya RC na DC vifutwe kwenye katiba
 
Back
Top Bottom