Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
HUONI WAMEWEKWA KIMKAKATI?
use just a kiddish common sense...!
use just a kiddish common sense...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkakati gani huo? kwanini mnadanganywa na wanasiasa kirahisi hivyo?HUONI WAMEWEKWA KIMKAKATI?
use just a kiddish common sense...!
Kuna DC, DAS, DED, Mbunge na Mwenyekiti wa halmashauri, wote hawa wanafanya nini?Hao wakuu wa mikoa ndio wako kwenye katiba hii tunayoilalamikia lakini hawa wakuu wa wilaya wenyewe hawamo kwenye katiba ila wamo kwenye sheria zilizotungwa na bunge (Parliamentary Act).
China kunyongwa angenyongwa.Na ameiba mabillioni lakini hayasemwi hayo! Alikuwa waziri wa Madini, waziri wa fedha. Nchi zingine angekuwa Ana sota ukonga
*Kweli wewe ni #Ze_lost...!Mkakati gani huo? kwanini mnadanganywa na wanasiasa kirahisi hivyo?
Vipi una rabies? Nani alikuambia kuwa maafisa wa jeshi hawana maono? Tena utashangaa kuwa nature ya kazi yaoa huwafanya wawe na maono zaidi ya raia wa kawaida. Hebu taja afisa wa jeshi yeyote yule aliyepiewa kazi ya kiraia akaishindwa, na katika miaka sitini ya uhuru wetu tumekuwa nao wengi sana including Luteni Kanali Kikwete na Kapteni Mkuchika.Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.
Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.
Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.
Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Tatizo huwa mnasoma na kuwa rigid kwenye mlichosoma au kuaminishwa. Wakati waliotuletea hizi taratibu wao kuna mazingira inabidi wawe flexible.Unaelewa nini maana ya utawala wa kiraia?
Nadhani sio vibaya kuwa na wanajeshi sababu ni kazi tu unajua hata Hawa MaDC wengine ni watumishi wa umma so unakuta akitenguliwa anaweza kurudi ofisini kwake kama kawaida sema sababu wengi wanakuwa wanaona kurudi cheo cha chini kama atadharauliwa.
Mfano, Angela Kairuki wakati anateuliwa kuwa Waziri alikuwa ni State Attorney pale AG Chambers. So akitaka arudi kuwa state attorney apangiwe mafaili ya mahakamani. Pia kuna aliyekuwa DC wa Tabora Erick Kitwala nae ni mwanasheria ofisi ya wizara ya ardhi.
So hata mwanajeshi anateuliwa kulingana na mahitaji ya anakopelekwa, Ila uteuzi ukiisha anarudi kikosini kama kawaida, hii ipo sana kwa watu wa TISS unakuta akiteuliwa anarudi zake kwenye ofisi yake anapangiwa kazi kama kawaida.
Sioni tatizo especially uteuzi huu pamoja ni mbovu Ila umezingatia sana maeneo yenye uhalifu wamepelekwa wanajeshi nadhani sababu Wana mbinu zaidi za kijeshi kupambana na majambazi kule maporini, ukimpeleka bishop akawe DC Kasulu ntakuta wamemmvua suruali.
Kweli mkuu. Na mawaziri wote.Kama ni hivyo hata Rais basi awe mwanajeshi..
Watu wanatetea logic ya kijinga sana.
Hatujui tunatoka wapi na tunaenda wapi.Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.
Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.
Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.
Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Nope, Hakuna Kitu kama hicho, huo ni ushamba na ulimbukeni tuu!!!!Nafikiri ni strategic move. Mkoa uko mpalani.. a lot of security issues. So lazima waweke watu ambao ni security focused guys
hao uliowataja walitoka jeshini ili kufanya kazi za kisiasia, siyo kazi za kiserikalii kama mkuu wa mkoa, waziri, mkuu wa wilia katibu mkuu wa wizara, balozi na nyadhifa kama hizo za kiserikali.Hatujui tunatoka wapi na tunaenda wapi.
Kina Kikwete, Nnauye Senior, Mkuchika, Kinana, Makamba Senior etc walitoka jeshini ili waendelee na nyadhifa za kisiasa.
Siku hizi tumerudi kule kule kuwapa wanajeshi nyadhifa za kisiasa.
Tatizo letu watanzania ni kutofahamu gharama ya amani tuliyonayo. Mtu akijiona anaweza kulala na kuamka salama na mwisho wa wiki akakaa bar akanywa na marafiki zake anadhani hali ile imejiotea tu kama uyoga.Ungeuliza sababu ya hao wanajeshi kuteuliwa sio unalaumu tu bila kujua wanateuliwa kwa usalama wako wewe mlalamikaji huko mipakani.
Mipakani ujambazi ni mwingi, vurugu zipo nyingi, magendo ni mengi pia hao wanajeshi huwa wanafanya kazi kubwa kuliko hawa wemgine waliopewa kazi za mikoa ya mjini huko....
Tatizo letu watanzania ni kutofahamu gharama ya amani tuliyonayo. Mtu akijiona anaweza kulala na kuamka salama na mwisho wa wiki akakaa bar akanywa na marafiki zake anadhani hali ile imejiotea tu kama uyoga.
Unapolala kwa amani na kukoroma kitandani mwako tambua kuna watu hawalali usiku kucha wanazunguka mpakani wakiwa na bunduki begani.
Kulala na kukoloma si kwa sababu ya kuwa na jeshi imara Bali ni matokeo ya siasa safi. Angalia nchi kama Israel na Palestine wanamajeshi imara lakin bado hawalali kwa aman.Tatizo letu watanzania ni kutofahamu gharama ya amani tuliyonayo. Mtu akijiona anaweza kulala na kuamka salama na mwisho wa wiki akakaa bar akanywa na marafiki zake anadhani hali ile imejiotea tu kama uyoga.
Unapolala kwa amani na kukoroma kitandani mwako tambua kuna watu hawalali usiku kucha wanazunguka mpakani wakiwa na bunduki begani.
Kumbe shida yako ni CCM. Vumilia tu mkuu, ndio siasa za Tanzania zilivyo. Tunaweza mimi na wewe kutangulia mbele ya haki huku CCM ikiendelea kuwepo madarakani...basi wangeteuliwa kwenye nafasi ambazo hawatashiriki siasa za CCM.
..CCM ina utaratibu kwamba mkuu wa wilaya ni mjumbe wa vikao vya kamati ya siasa ya wilaya ya CCM.
..Tunaunga mkono kuimarishwa kwa usalama maeneo ya mipakani lakini tunakwazwa na utaratibu wa CCM kuwatumia askari wetu ktk masuala ya chama chao.
Adui wa nje yupo mkuu. Usipuuzie hata siku moja umuhimu wa jeshi la wananchi.Kulala na kukoloma si kwa sababu ya kuwa na jeshi imara Bali ni matokeo ya siasa safi. Angalia nchi kama Israel na Palestine wanamajeshi imara lakin bado hawalali kwa aman.
Kumbe shida yako ni CCM. Vumilia tu mkuu, ndio siasa za Tanzania zilivyo. Tunaweza mimi na wewe kutangulia mbele ya haki huku CCM ikiendelea kuwepo madarakani.
Linaweza lisiwe sahihi lakini kimkakati lipo sahihi. Hii afrika yetu inazo serikali nyingi zenye kufuga maasi ya ndani kwa ndani. Mfano ni kule DRC, Burundi na hata Msumbiji...Naunga mkono kuwa tuwe na uvumilivu.
..lakini pia tusiache kusema UKWELI tunapoona mapungufu.
..hili la wanajeshi ambao ni ma-RC na ma-DC kushiriki ktk siasa za CCM siyo sahihi.
Nope thats the way it is. especialy kama umepaka na nchi ambazo zimekuwa kwenye mapigano for a long time. Jirani hauko safe..Nope, Hakuna Kitu kama hicho, huo ni ushamba na ulimbukeni tuu!!!!
Kwani tunaishi kwenye zama za akina Napoleon Hill au Alexander the Great ambapo kutwa nzima watawala walikuwa wakiendesha campaign za kuongeza maeneo??
Sasa hivi ulimwengu ni kistaarabu watu wanaheshimu mipaka ya nchi. Acha wanajeshi waendelee na shughuli zao za kijeshi na utawala kiraia acha utamalaki maeneo ambayo yanastahili kuongozwa na raia.
Asante!!