Utaratibu wa kuteua wanajeshi kushika nyadhifa za kiraia haufai

Utaratibu wa kuteua wanajeshi kushika nyadhifa za kiraia haufai

^Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya militant.^
^Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia.^

Lowassa alisema: Elimu. Elimu. Elimu. Katiba inasemaje kwanza!??? Tuanzie hapo.

.." Civilians must rule the military..."

..uliyemnukuu alitaka kusisitiza kwamba Jeshi linapaswa kutii na kupokea maelekezo ya mamlaka ya kiraia iliyochaguliwa na wananchi.

..kwa mfano, jeshi haliwezi kujiamulia kuingia vitani bila kuwa limeamrishwa na Amiri Jeshi Mkuu ambaye ni RAIA.

..Mfano mzuri ni Marekani ambako mara kwa mara tumesikia Raisi wao akitangaza kuongezeka au kupungua kwa operation za jeshi lao ktk maeneo mbalimbali mfano, Afghanistan, na Iraq.

..Kamanda wa Jeshi anaweza kupendekeza ktk eneo fulani ili wafanikiwe wanahitaji kutumia bomu la nyuklia. Amiri Jeshi mkuu akiamua badala ya nyuklia yatumike mabomu ya machozi, jeshi hawana ujanja ni lazima wakatumie mabomu ya machozi.🤣🤣

..Hiyo ndiyo dhana au falsafa ya, " Civilians must rule the military..."
 
Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.

Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.

Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.

Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Sioni tatizo maana mkuu wa mkoa au wilaya anadeal sana na security issues za mkoa au wilaya husika

So wacha wapewe mipakani kuna ujinga mwingi sana hasa issue za ujambazi na vitambulisho kwa wageni so !!

Akishirikiana vizuri na RSO na RPC migration officer wa eneo husika tija inaweza patikana.

Hivi mfano kweli Kule mtwara kwa wale wahuni wa Msumbiji utampleka Nikki wa pili kule?.
 
Mbona hawana shida...

..kwa utaratibu wa CCM mkuu wa mkoa ni mjumbe wa kamati ya siasa ya CCM ya mkoa.

..Na mkuu wa wilaya ni mjumbe wa kamati ya siasa ya CCM ya wilaya.

..Sasa ni ama hawa askari wasiruhusiwe kushiriki vikao vya CCM, au wastaafu kazi ya jeshi ili waweze kuwa na uhalali wa kushiriki siasa za CCM.
 
Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.

Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.

Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.

Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Nadhani sio vibaya kuwa na wanajeshi sababu ni kazi tu unajua hata Hawa MaDC wengine ni watumishi wa umma so unakuta akitenguliwa anaweza kurudi ofisini kwake kama kawaida sema sababu wengi wanakuwa wanaona kurudi cheo cha chini kama atadharauliwa.

Mfano, Angela Kairuki wakati anateuliwa kuwa Waziri alikuwa ni State Attorney pale AG Chambers. So akitaka arudi kuwa state attorney apangiwe mafaili ya mahakamani. Pia kuna aliyekuwa DC wa Tabora Erick Kitwala nae ni mwanasheria ofisi ya wizara ya ardhi.

So hata mwanajeshi anateuliwa kulingana na mahitaji ya anakopelekwa, Ila uteuzi ukiisha anarudi kikosini kama kawaida, hii ipo sana kwa watu wa TISS unakuta akiteuliwa anarudi zake kwenye ofisi yake anapangiwa kazi kama kawaida.

Sioni tatizo especially uteuzi huu pamoja ni mbovu Ila umezingatia sana maeneo yenye uhalifu wamepelekwa wanajeshi nadhani sababu Wana mbinu zaidi za kijeshi kupambana na majambazi kule maporini, ukimpeleka bishop akawe DC Kasulu ntakuta wamemmvua suruali.
 
Nafikiri ni strategic move. Mkoa uko mpalani.. a lot of security issues. So lazima waweke watu ambao ni security focused guys
Basi tutakuwa tunatumia technic ya kijinga sana kutatua tatizo. Kwani hatuwezi kutumia mbinu nyingine tu kuimarisha usalama na mkuu wa mkoa akawa raia wa kawaida?
 
Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.

Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.

Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.

Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Huna unachokielewa kuhusiana na hili.huu sio utaratibu mgeni nchini bali ni kawaida kwa sehemu zenye kupakana na nchi zenye changamoto za kiusalama,huwa wanapelekwa hao maafisa wa Kijeshi
Vema pia kukuelewesha kwamba hao maafisa huwa wengi wako vizuri kwenue suala la kielimu, tena wengi ni ma-specialist kwenye taaluma zao.
 
Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.

Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.

Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.

Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Kwani kuhusu hilo katiba inasemaje? Maana siku hizi, hata ukisahau kununua chumvi nyumbani una ambiwa fuata katiba ya nchi! Na ukianza kushangaa utasikia tunataka katiba mpya!
 
Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.

Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.

Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.

Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Nadhani lengo ni kuimarisha usalama, nimeona Wilaya nyingi za pembezone wamewekwa askari na hii ilikuwa ni utaratibu tangu siku nyingi
 
Mkuu nilichokiona na kwa hawa watu waliotoka kwenye majeshi ni uteuzi wa kimkakati maana 90% kama sio 100% ya walioteuliwa wamepelekwa katika wilaya zilizopo mipakani. So ni mkakati wa kiusalama naona hasa ukizingatia DC ndio mwenyekiti wa kamati ya usalama ya wilaya
Nani alishawakalilishaga mikoa na wilaya za mipakani zinahitaji viongozi wanajeshi? It is part of the country. Kwani kuna vita kule? Why CIF ni Civilian tu ana command jeshi.

Ni uelewa tu, hata kama kuna Civilian mwenye uwezo mzuri anaweza kuongoza vizuri wilaya hizo kuliko tunavyofikiri.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mh!.
Mtoa mada umekuwa na hasira Kama vile mtu aliyekosa uteuzi.
Sidhani Kama Kuna ubaya wowote kuteua wanajeshi kuwa maDC.
Au unadhani wanajeshi wote wamemaliza form four na kwenda kufundishwa kupigana Vita?.
Ni kwamba wapo wanajeshi kibao wamesomea Mambo ya utawala, utabibu,uhandisi,sheria n.k.
So nao wanaweza kuwa viongozi Kama watu wengine.
 
Mh!.
Mtoa mada umekuwa na hasira Kama vile mtu aliyekosa uteuzi.
Sidhani Kama Kuna ubaya wowote kuteua wanajeshi kuwa maDC.
Au unadhani wanajeshi wote wamemaliza form four na kwenda kufundishwa kupigana Vita?.
Ni kwamba wapo wanajeshi kibao wamesomea Mambo ya utawala, utabibu,uhandisi,sheria n.k.
So nao wanaweza kuwa viongozi Kama watu wengine.

..walitakiwa wastaafishwe jeshini ili waweze kutumikia kwa ukamilifu nafasi zao za KISIASA.

..Mkuu wa wilaya huwa ni mjumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya CCM.

..Kama unadai askari hao wanataaluma zao, basi uteuzi sahihi ulikuwa ni nafasi za utumishi wa umma kama DAS.

..Pia kama wanashughulika na masuala ya ulinzi basi nafasi sahihi ni kuwa District Security Officer.

..Tunachosisitiza ni teuzi zao zizingatie SHERIA badala ya kufanyika kwa MAZOEA.
 
Nafikiri ni strategic move. Mkoa uko mpalani.. a lot of security issues. So lazima waweke watu ambao ni security focused guys
Tena active on duty....huyo ana chuki binafsi na soldiers hana lolote
 
Back
Top Bottom