Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Yes but mbinu gani? maybe kuna mbinu zingine unazifaham. can you share with us?Basi tutakuwa tunatumia technic ya kijinga sana kutatua tatizo. Kwani hatuwezi kutumia mbinu nyingine tu kuimarisha usalama na mkuu wa mkoa akawa raia wa kawaida?
Rais ana taarifa nyingi sana na karibu zote kuhusu nchi hii kuliko sisi... Tupunguze ujuajiNani alishawakalilishaga mikoa na wilaya za mipakani zinahitaji viongozi wanajeshi? It is part of the country. Kwani kuna vita kule? Why CIF ni Civilian tu ana command jeshi.
Ni uelewa tu, hata kama kuna Civilian mwenye uwezo mzuri anaweza kuongoza vizuri wilaya hizo kuliko tunavyofikiri.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Kipaumbele cha kwanza cha nchi ni ulinzi na usalama.Mikoa na wilaya za mpakani zina changamoto za kiulinzi hivyo.hakuna shida kupewa wanajeshi
Kuna kitu hukifahamu ndugu kuhusu mkuu wa Wilaya.Yule ni mwenyekiti wa Ulinzi na usalama wa wilaya.Sasa sehemu yote waliopeleka wanausalama wa nchi wastaafu utaona ni maeneo yako delicate kwenye usalama wa maeneo husika.Sasa wewe ulitaka tumpeleke kibondo Nik wa pili? you must be jockingNazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.
Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.
Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.
Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Wewe ndiyo haujui kitu.Kuna kitu hukifahamu ndugu kuhusu mkuu wa Wilaya.Yule ni mwenyekiti wa Ulinzi na usalama wa wilaya.Sasa sehemu yote waliopeleka wanausalama wa nchi wastaafu utaona ni maeneo yako delicate kwenye usalama wa maeneo husika.Sasa wewe ulitaka tumpeleke kibondo Nik wa pili? you must be jocking
Nafikiri ni strategic move. Mkoa uko mpalani.. a lot of security issues. So lazima waweke watu ambao ni security focused guys
Kama ni hivyo hata Rais basi awe mwanajeshi..Basi tutakuwa tunatumia technic ya kijinga sana kutatua tatizo. Kwani hatuwezi kutumia mbinu nyingine tu kuimarisha usalama na mkuu wa mkoa akawa raia wa kawaida?
mbinu nyingine kama zipi?Basi tutakuwa tunatumia technic ya kijinga sana kutatua tatizo. Kwani hatuwezi kutumia mbinu nyingine tu kuimarisha usalama na mkuu wa mkoa akawa raia wa kawaida?
Waliomaliza vyuo wanatumwa na std7 msukumaNenda shule wewe achana na chuki
Nilikuwa naamini kichwani upo vizuri kumbe ni KAMONGO.Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.
Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.
Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.
Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Hapo unataka tusome nini? Kwamba mwandishi hana elimu hiyo ambayo Lowassa katuambia. Kazi ya jeshi ni kulinda nchi. Mwanajeshi kupewa madaraka ya kuongoza taasisi ya kiraia bila maelezo ya ukomo wa madaraka yake ni utawala mbovu na hata kama kuna wanajeshi wachache wanaweza kuwa na busara namna ya kutambua tofauti hii isitumike kama mazoea kwa sababu si jambo la kawaida. Sasa nani hajaelimika hapa kwa mujibu wa Elimu ya Lowasa!?^Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya militant.^
^Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia.^
Lowassa alisema: Elimu. Elimu. Elimu. Katiba inasemaje kwanza!??? Tuanzie hapo.
Mheshimiwa Kikwete alipokuwa Rais alikuwa amejiuzulu uanajeshi kitambo.Kikwete alikuwa mwanajeshi, mbona hamikusema hiyo, was a Colonel and not DAktari
Yah, kwasababu halipwi na pesa za ummaNdiyo mwanajeshi akiwa na gwada na akiwa kaandikishwa jeshini hawezi kuwa kwenye kundi la mtumishi wa uma!
Ninakuelewa unachoandika hapa mkuu 'THE LOST'.Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue.
Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia haijapendeza hata kidogo.
Civilian leader ana nguvu na maono zaidi ya military. Acheni kufanya mambo kwa utashi, fuateni katiba.
Jeshi lazima liongozwe na raia na si jeshi kuongoza raia. (Civilians must rule the military and not otherwise)
Mwanajeshi sio raia ?wanajeshi kushika nyadhifa za kiraia haufai
Unaelewa nini maana ya utawala wa kiraia?Nilikuwa naamini kichwani upo vizuri kumbe ni KAMONGO.
Mkuu kusomea kwao uongozi hakuwapi nafasi ya kuwa wajumbe wa vikao vya chama cha siasa vya wilaya. Kipi huelewi?Hivi unaelewa nini ukiona mtu anaitwa colnel, unahisi ni cheo kila poyoyo anaweza pata?
Yaani una hoji wanajeshi kuongoza mpakani( ambao wamesomea uongozi darasani) ila unashindwa kuhoji kina chopa mchopanga.
Afu ni wapi kwenye katiba wanazuiliwa?