Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuatilia ya wanao,matokeo ya watoto wa watu we ya nini!!?..umbea Kama shangazi yako!!Kila mwananchi anawalipia hata wewe, kwa sababu hakuna anayelipa gharama za elimu asilimia mia , inayojazilizwa na serikali ni kodi zetu sote,
Labda nimchinje yeye,nyama nimpe bata.Huyu Anko ana usharobaro mwingi,darasani sifuri.Ndio, kafaulu huyo mchinjie bata
HawajaharibuWalichoharibu NECTA ni kutotoa rank za shule kiwilaya mkoa hadi taifa.
Inachochea udanganyifu ili shule yake iwe juuWalichoharibu NECTA ni kutotoa rank za shule kiwilaya mkoa hadi taifa.
Muandalie Bata Mkuu usimnyime zawadi ya bakora za matako.Labda nimchinje yeye,nyama nimpe bata.Huyu Anko ana usharobaro mwingi,darasani sifuri.
Seriously **** mtoto wa form four anaenda wavuvi camp?Nashauri baraza la mtihani wasiishie Kwa kidato cha pili, darasa la Saba na darasa la nne, warudishe pia na kidato cha nne.
Kuna madogo huku mtaani tulikua tukiwaambia wasome walikua busy na wavuvi camp mambo hadharani, hakuna kuuliza sijui namba yako ni ipi.
Nashauri Kwa kidato cha nne utaratibu ungekua pia matokeo yatoke Kwa majina.
Hawajielew hawa Wengine kufeli ndo plan yao, Sa sijui mleta mada anateseka wapi!Unawalipia ada!?
Hiyo sio sababu.Hawajaharibu
Walichofanya ni sahihi maana itaondoa uibiaji mitihani kwani hakuna wa kulinganishana naye
Sababu ni ipii!!!??Hiyo sio sababu.
Hajapata masomo yote "F"
kiswahiliHajapata masomo yote "F"
Kuna somo hapo kapata "D"
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Tutajikuta shimoni, wacha wafanye masiharaC ya Kiswahili... F zote..mtu anaenda kidato cha tatu... Hii nchi hii!! Ngoja tu.
Kafaulu huyu mwisho four ya 33Hivi aliepata division IV ana nafasi ya kuingia kidato cha tatu?
Hivi mtu kama huyo kama form 2 kala 4,unadhani kuna maajabu yoyote anaweza kuyafanya form 4 zaidi ya kupata zero?Yeah.
Huyo mhesabie zero form 4Ahsante Mkuu.Nina anko wangu hapa kagonga four.