Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Hizo rank ndo zilikuwa zinaleta shida kwenye school bus.Walichoharibu NECTA ni kutotoa rank za shule kiwilaya mkoa hadi taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo rank ndo zilikuwa zinaleta shida kwenye school bus.Walichoharibu NECTA ni kutotoa rank za shule kiwilaya mkoa hadi taifa.
Kivipi muzee? So tupige kimya kimya utaniambia matokeo yatakavyokuwa yanaporomoka kila mwaka. Sababu no competition. Nakwambia kama educationist.Hizo rank ndo zilikuwa zinaleta shida kwenye school bus.
Mtoto wa Mzee wa msoga alipata four na alikua anasoma feza[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Enzi zetu matokeo yalikuwa yanatolewa kwa majina. Hapa katikati wakati Eng. Shukuru Kawambwa, binamu wa JK watoto wa wakubwa walikuwa wanafeli sana. wakaona matokeo yasiwe na majina bali namba tu.
Nadhani ni wazo sahihi matokeo yatoke kwa majina.
Hivi walimu mlishirikishwa kwenye huu upangaji wa ufaulu?Ana 4 ya 33 kafaulu