[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndiyo HQ Huenda Bus Inasomewa Surrat~Zubaa Kidogo
Jini gani hilo na mimi nalitakaKina Abood ni watu wa matukio sana wale, kila basi lifikalo pale lazima liwekwe jini kwa ajili ya ulinzi njiani na kuna yanayopangwa rasmi ili yapinduke na kuua kisha wapate mengine mapya. Wenye mabasi si watu wa kawaida.
Niliwahi kupanda Al saedy dar to Morogoro abiria wapo ndani ya gari na tiketi wakaiona Abood wakaanza kulia washuke wapande Abood [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1487][emoji1487] uchawi upoKuna Mada humu humu JF uhusu Abood, itafute uunganishe Matukio. Wanabodi walisema Gari za Abbod zinaingia Yard ili akusanye michanga iliyopo kwenye gari kwa mambo yake ya Ndumba. Siku nyingine tafiti, Gari ikitoka yard imekuwa safi gafla tambua kwamba umeshabebwa Unyayo wako mkuu utabaki kutengenezwa uendelee kuwa Msukule wa Abood milele ndio maaana magari ni mabovuuuuu lkn umeona kuna Misukule yake humu inaiimbia mapambio. Gari AWY mkweche wa mwaka 2002 lkn ukiunanga kuna waliobebwa Nyayo na kutengenezwa wakatengenezeka wanatoka mishipaaaa kutetea hizo Screpa.
DUUUH ETI SURRAT ZUBAA MAMAEEEEEENdiyo HQ Huenda Bus Inasomewa Surrat~Zubaa Kidogo
Dpk inaendeshwa na tito toka lini😳😳next time chukua DPK
dereva Tito, anaachia manyoya tu, ukimnasa amekata kona humwoni tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jinga sana weweNiliwahi kupanda Al saedy dar to Morogoro abiria wapo ndani ya gari na tiketi wakaiona Abood wakaanza kulia washuke wapande Abood [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1487][emoji1487] uchawi upo
[emoji23][emoji23] Wakati kuna D kibao... SAULI, New Force, Deer, Imani etc etcAWY hiyo gari si ya mwaka 2003?? Hukukalia kigoda kweli?
Kwa nini asiwaache abiria stend kuu Msamvu ambapo kuna kila aina ya huduma?Pengine inapigwa service ya faster, Morogoro si ndio headquarter yao.
Lakini asipolisemea litaishaje?Acha kubanda abood panda mabasi Mengine ili kukwep iyo kero ya hao jamaa
Waendee kina Abood, watakusaidiaJini gani hilo na mimi nalitaka
Wewe nawe ni wale wale tu! Yaani njia ya Mbeya Dar imejaa mabasi mazuri na ya uhakika! Akina Sauli, New Force na wababe wengineo wengi! Wewe unaenda kupanda basi la miaka ya 70, Abood!! Tena lina namba za usajili T 830 AWY!!Mabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.
Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?
Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Labda pia wanasambaza dawa za kulevya kutoka mikoani nkMabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.
Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?
Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la Majinja sijaona mambo hayo