Kinachofanyika na mfuko ni kuwa wewe mgonjwa huwezi tu kuamua umuone daktari fulani, inawezekana unaumwa malaria unataka ukamuone specialist wa moyo.. haiwezekana sasa ndio wanataka utibiwe kwanza kawaida ndipo daktari aseme hii case yako inabidi uende kumwona specialist fulani.
Ikitokea kila mgonjwa akapewa uhuru wa kupata matibabu wote watakimbilia kwa specialist hawataenda kwa CO au GP.
Hii ni moja ya kulinda mapato ya mfuko maana kila level ya qualifications ina gharama z
Kama ungesoma niliyemjibu ameandika nini usingekuja na hoja ya kipuuziKwahiyo unataka specialist atibu mafua???
Hiyo niliyoandika ni habari halisi. Huyo mgonjwa alishatibiwa KCMC Kwa muda mrefu, lakini ghafla utaratibu ukabadilika.
Wewe unalaumu KCMC kwamba hawajui utaratibu. Unadhani wao wanafurahi kusumbua wagonjwa wao?!
NHIF ndiyo wameanza huu utaratibu kwa sababu ambazo wanazijua wenyewe.
Kama ungesoma niliyemjibu ameandika nini usingekuja na hoja ya kipuuzi
Kwanza ktk ufafanuzi wangu kuna sehemu nimelalamika? Umesoma niliyemjibu aliandika nini? Kwenye maelezo yangu kuna sehemu nimesema mgonjwa wa mafua atibiwe na specialist?Sasa pale kuna hoja gani?, Kwahyo baada ya kufikiria ukaamua specialist akatibu mafua au sio?, Okay sawa
Kwahiyo ukiambiwa Mafua na Maralia ukatibiwe na MD ni kubana matumizi au sio?inawezekana unaumwa malaria unataka ukamuone specialist wa moyo.. haiwezekana sasa ndio wanataka utibiwe kwanza kawaida ndipo daktari aseme hii case yako inabidi uende kumwona specialist fulani.