Utaratibu wa wafiwa kuwalisha waombolezaji wengine umerasimishwa Tanzania?

kwani kifo na sherehe Kuna tofauti gani, kifo hakuna maandalizi Lakini sherehe zinamaandalizi, kwa hiyo sherehe Zina kafara
 
Unakuta "Mijitu" inaenda misibani kwa ajili ya kula tu,ikishakula hiyoooooo inalala mbele!,hata aibu haioni!,unakuta jitu badala liende hata ndani kusalimia wafiwa lenyewe linakomea getini linapiga msosi halafu linalala mbele!!
😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
 
Nyie mtakua kauwezo mlikuwa nako hivyo mlikuwa mnapika vizuri waja wakapata pakuponea.
Ila kuna watu wana tabia za ajabu sana.
 
Chainizi zenyew zilivyo mbaya sasa mi nazionaga kama mgomba
 
Umeniongezea kitu ndugu
 
Mimi kero yangu watani kwenye msiba,Msiba wa baba yangu(Allah akusamehe huko uliko)nilitaka nimtoe meno yule mtani bwege[emoji53]
Mdogo wangu walimwambiwa kamuua baba ili avae viatu msibani akawaambia "nisubirini kidogo nakuja wakajua wanaletewa hela za utani jamaa katoka na panga na utani iliisha palepale, Hadi sasa wanamwita mapanga
 
😀😀😀😀
 
Mdogo wangu walimwambiwa kamuua baba ili avae viatu msibani akawaambia "nisubirini kidogo nakuja wakajua wanaletewa hela za utani jamaa katoka na panga na utani iliisha palepale, Hadi sasa wanamwita mapanga
😀😀😀

Eti mapanga.
 
Mimi kero yangu watani kwenye msiba,Msiba wa baba yangu(Allah akusamehe huko uliko)nilitaka nimtoe meno yule mtani bwege[emoji53]
Hao wamebaki kwenye mikoa michache..kwetu ukijaribu unaweza kuacha roho chap
 
Utakuta mtu anakuja msibani na rambirambi ya buku lakina anataka buffet ya kuku na mazagazaga mengine.
Misiba inatumika kama sehemu ya kubadilisha diet.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuachane na yoooote, kwanini Wali wa kwenye msiba hua mtamu namna ile???? Hua una ladha flani hivi amazing wakikuwekea na Maharage na kachumbari, alooooooo, [emoji39]

Btw, hua sipendi kula Nyama msibani yaani siwezi kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…