cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Congo wana mpira gan sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weka DRCongo towa south
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Congo wana mpira gan sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weka DRCongo towa south
Afcon team 24 na hamuend [emoji23][emoji23][emoji23]Hapa Sasa Njia yetu Taifa Stars weldi cup nyeupeee! Timu kumi hatukosi hata moja! Hii ni heshima kwa Africa, kile Morocco wameweza sisi hatuwezi kushindwa!
Mbinu ni kuwapa uraia Prof Nabi, Djigui Diarra, Mayele, Chama , Musonda na Dube.
Source?
TanzaniaKwenye zile 5 zilizo shiriki Kombe la dunia nchini Qatar ongeza 5 hizi kufikia 10
1.Egypt
2.Nigeria
3.Algeria
4.South Africa
5.Ivory Coast
Sisi hatuna nafasi yetu hapo labda ziwe zinaenda timu 40 toka Africa
DRC walikuwa kati ya nchi 10 zilizokuwa katika mchujo wa mwisho kutafuta timu 5 world cup ya 2022Congo wana mpira gan sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uwezi taja Africa bila congo, kila michuano ya Africa(Football) lazima congo awemoCongo wana mpira gan sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ata mchujo wa 2017 tena congo alikuwemoDRC walikuwa kati ya nchi 10 zilizokuwa katika mchujo wa mwisho kutafuta timu 5 world cup ya 2022
Makubwaaaa, sasa mbna wanashindwaga kuchukua Afcon??Uwezi taja Africa bila congo, kila michuano ya Africa(Football) lazima congo awemo
Duuuh bas hatareee. LolDRC walikuwa kati ya nchi 10 zilizokuwa katika mchujo wa mwisho kutafuta timu 5 world cup ya 2022