Utata alipo trafiki anayedaiwa kumpa mimba mwanafunzi

Matokeo yalitoka na alifaulu kwa daraja A
Hahaha nilidhani alipata daraja I kumbe A,
Wasimsumbue trafik, sheria haziruhusu kutoa mimba. Na sheria haziruhusu trafik kumuoa.

Wangemjengea confidence na financial akasome nje ya mipaka ya Tanzania, kwasababu ndani hawaruhusu wazazi kusoma.

Sasa traffic police wa nini wamuache apige kazi alee mwanaye.
 
Katoto ka la Saba mdude mkubwa hivyo unapitaje jamani
Huyo siyo mtoto,mtoto gani anamiliki simu janja na mama yake anachekelea,ningekuwa mimi RPC,ningedili na huyo mama kwa kumchuuza mwanae kwa bei ya simu Janja,na hako katrafiki ningekapandisha cheo na kukahamishia znz au Ta.
 
Primary kuna daraja la kwanza mkuu?!
 
Kama umesoma vizuri hayo maelezo, simu alipewa na huyo traffic. Na alikuwa akiitumia kwa siri mpaka mamake alipogundua mtoto anamiliki simu! Ndo uchunguzi ulianzia hapo
 
'Anayetuhumiwa kumjaza mimba mtoto mwenye umri wa miaka 14 wa askari mwenzake.'

Ni tatizo la kifamilia hilo(Trafiki kwa Trafiki).,watamalizana wenyewe.

dodge
shamba la bwana Heri,mahindi ya bwana Heri,na mbuzi aliyekula mahindi ni wa bwana Heri. Hamna kesi
 
Tunapoelekea hapajulikani kwa kweli wababa tumekuwa na tamaa sana tunataka kutafuna kama mchwa!
 
Kumsumbua??

Apigwe mvua 30 kama wengine!







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni maajabu sana kwa majibu yake hayo
Yaani mtoto mdogo kafanyiwa unyama huo na yeye anajibu namna hiyo
Haya ni maajabu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
picha yake iko wapi sasa..??

Huyu bwege anachukua rushwa kwenda kuto.. bea mtoto wa mwenzie.. [emoji3526][emoji37][emoji37]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una maw
Una mawazo finyu kama kichwa cha mpanzi.Kwa sababu ni askari wafanye kazi ya kudanganya watoto? ama kweli wanalinda raia na mali zao.Halafu wanafichana.Nampongeza aliyesema tupate picha yake humu tumtafute wenyewe.Kashfa hiyo
 
hiyo simu walikuwa wanaitumia wote na mama yake.Mama yake akitaka kuongea na mchepuko wake anatumia simu ya mtoto.Walikuwa wanafichiana siri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…