Angekua mwananchi wa kawaida angesakwa na angepatkana tu...
..ila kwakua ni mwenzao danadana zitakua nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
..ila kwakua ni mwenzao danadana zitakua nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kabinti cha umri huo kanakosoma shule? je ! siku ukikuta kuna linjemba limekatia mimba wewe utafurahia? au unakomaa na nini kitabu cha dini yako chenye kutumia sheria za kiarabu zilizopitwa na wakati kinasemaje? je! uliwahi kupitia herufi kwa herufi sheria ya elimu inasemaje?Huyo wa kike, "age of consent" Tanzania ilikuwa ni miaka 14, lini ilibadilishwa?
Mimi huwa nashangaa zaidi vitoto vya kiume vya miaka hiyo kubeba simu janja! Wanapewa na nani? Wazazi wao au mabazazi?
Walianza na vidoleKatoto ka la Saba mdude mkubwa hivyo unapitaje jamani
huyo traffic police alikuwa anafuata sunna ya mtumeHuyo wa kike, "age of consent" Tanzania ilikuwa ni miaka 14, lini ilibadilishwa?
Mimi huwa nashangaa zaidi vitoto vya kiume vya miaka hiyo kubeba simu janja! Wanapewa na nani? Wazazi wao au mabazazi?
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako.
Ni aina ya visasi tu mkuu huyu mwenye mtoto inawezekana alimgongea jamaa mke yeye akijiapiza atamzalisha mwanae na kweli ameharibu alichokosea hakufanya kwa wakati sahihi'Anayetuhumiwa kumjaza mimba mtoto mwenye umri wa miaka 14 wa askari mwenzake.'
Ni tatizo la kifamilia hilo(Trafiki kwa Trafiki).,watamalizana wenyewe.
dodge
Unatoa wapi guts za kumuita mwenzako mpumbavu ikiwa hakumtaja mtu jina hapo?kuna wakati huwa unazingua sana wewe bimkubwaFicha upumbavu wako usifiche hekima zako.
Katoto ka la Saba mdude mkubwa hivyo unapitaje jamani
Mimi labda ni mshamba ,je mtoto wa darasa la saba kumpa simu ni maendeleo au ni ushamba. Maana sijaona mantiki. Kuna ndugu yangu mtoto wake alikua anakaa kwangu akiwa form one baba yake alimnunulia simu ,lakini usiku mpaka saa 8 anaongea na wanaume . Nikamwambia baba yake ,unamharibu mtoto anaongea na wanaume muda wote. Baba akawa haelewi ila nikaonekana mbaya. Nikawaachia ,kilichomkuta baba yake na mtoto ndio wanajua,walitaka kunihusisha nikawakatalia. Jamani angalieni na pyschological maturity ya mtoto kabla ya kumpa simu. hata kama hukai naye ,tafuta njia nyingine.Simu kama zinavunja ndoa za watu wazima ,je vitoto vya miaka 14 itakuaje
Ni aina ya visasi tu mkuu huyu mwenye mtoto inawezekana alimgongea jamaa mke yeye akijiapiza atamzalisha mwanae na kweli ameharibu alichokosea hakufanya kwa wakati sahihi
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Katoto ka la Saba mdude mkubwa hivyo unapitaje jamani
Dogo wa miaka 14 anakuja na smartphone kali wewe mama mtu unakenua mimeno tu
Maajabu zaidi naona baadhi ya wanaume wakifurahia hilo!Ni maajabu sana kwa majibu yake hayo
Yaani mtoto mdogo kafanyiwa unyama huo na yeye anajibu namna hiyo
Haya ni maajabu
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkipata picha yake mnishtue Mkuu!Una maw
Una mawazo finyu kama kichwa cha mpanzi.Kwa sababu ni askari wafanye kazi ya kudanganya watoto? ama kweli wanalinda raia na mali zao.Halafu wanafichana.Nampongeza aliyesema tupate picha yake humu tumtafute wenyewe.Kashfa hiyo
Ikawaje mama yake akaenda polisi?!hiyo simu walikuwa wanaitumia wote na mama yake.Mama yake akitaka kuongea na mchepuko wake anatumia simu ya mtoto.Walikuwa wanafichiana siri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upupumkuu, umeongea maneno ya maana sana lakini naomba nitoe nyiongeza au kukukosoa kidogo kutoka kwenye stori yangu
mi nilipewa simu nikiwa darasa la 7 na laptop , na nilisoma vizuri mpaka chuo kikuu, mtoto wa kike ndiye hafai kupewa simu, mimi yangu niliitumia kusoma habari mitandaoni na kucheza games japo na nilikua nikichati na binti mmoja ambaye tulikua darasa moja, she is the love of my life ,mpaka leo, na asingekuepo kwenye maisha yangu huenda leo ningeshakuaga kichaa kutokana na kuvuta bangi na madawa ya kulevya kama vijana wengine wafanyavyo wakati wa matatizo, maana she was always there for me during my darkest hours ,
Sent using Jamii Forums mobile app