Ghafla tu hata ule utamaduni wa Tanesco wa kuchezea "Switch" kama watoto wadogo kwa kiasi fulani umepungua. Hata mvua hizi na radi zake umeme haukatiki tena...😲🙄😳Huoni kama now watu tunaishi kama hakuna Corona.
Je, CAG kutoka hadharani kipindi hiki na kutoa hayo tunayoyasikia it means alikuwa na Taarifa 2 . Sasa hii Taarifa ya 2 ndio anatumia kumchafua JPM kwa maagizo ya mabwana.
Muda utaongea
Hua nashangaa watunwa JF wanavofurahia1. Vyombo vya Habari viwe Uhuru ili watanzania ambao walikuwa kwenye kifungo cha miaka 5 dhidi ya uhuru wao wa kutoa maoni wawe uhuru kujadili miradi isiyokuwa na uwazi kwa Taifa la Tanzania.
2. Tumeshuhudia Kifo cha JPM ambacho kina utata mwingi na maswali mengi yasiyojibika. Baada ya kifo hiki hata zile speed za Corona this Corona that hatuzisikii tena, badala yake maisha yanaenda kama kawaida....kwa wenye kutafakari hii inatupa TAFSIRI kubwa sana. Lakini muda ndiyo HAKIMU wa Kweli.
View attachment 1750423
View attachment 1750424
3. Mradi wa Bagamoyo ambao unapigiwa debe kwa sasa ni miongoni mwa miradi ambayo ndani yake ulikuwa na vipengele ANGAMIZI kwa taifa la Tanzania. JPM aliusimamisha mradi huu pamoja na miradi mingi ya NSSF kwa kushirikiana na wataalam wake na miongoni mwa hao wataalam ni hawa wanaopigia debe mradi huu kwa sasa.
4. Sisi kama wananchi, Tulitarajia kuona maelezo ya awali kutoka kwa SPIKA kwanini mradi huu ulisimamishwa kama ulikuwa na TIJA katika taifa letu huku yeye akiwa ni sehemu ya serikali iliyosimamisha huo mradi.
5. Tulitarajia kuona DISCUSSION ya kwanza ya huu mradi ni wananchi kuuelewa na kuona je kuna ulazima wa huu mradi, faida na hasara zake juu ya Taifa Hilo. Ielezwe pia Why Bagamoyo ? Je ni sehemu pekee yenye mlango mpana kwa TZ ?
6. Ijadiliwe terms za Procuring entity dhidi ya Supplier, tuone je zinafaida kwa taifa letu au ni hasara za long term kama tunavoona hasara za mwendo kasi na majumba yaliyogeuka kuwa magofu ya NSSF Huko Kigamboni.
Tunamsikia spika anaanza kuwa na defensive speech kuwa HAKUNA ANAYETAKA KUUZA NCHI!
Are we stupid or what ?
Why did he jump into that conclusion wakati wananchi wanahitaji kuelewa kwanza[emoji845]this is very immature kwenye majadiliano ya HOJA hasa kwa maslaha ya Taifa.
There is something fishy nyuma ya hii ishu na kuna watu wanaanza kujisogeza kwenye position zao japo wapo kimya.
7. Tunajua mradi huu ulikuwa ni dili la awamu ya 4 na serikali ya China ambapo kwa sasa ameshaanza kujisogeza baada ya kifo cha JPM.
View attachment 1750421
Swali la msingi ni Procurement Proceedures gani zilitumika kumpendekeza huyu Mtu ? Je Procurement Act dhidi ya Public Private Partnership inasema nini ?
Tunapiga kelele na CAG report ya sasa, kuna Mtanzania aliyesoma CAG report ya 2013/2014. Pitieni huko kwanza ndio mje kusema tulikuwa tunaibiwa. Haya ya sasa ni muendelezo wa kipindi cha 13/14
Mradi huu ujadiliwe kwa mapama na uwazi tena na watu ambao ni brained sio hao wasanii na form 4 leavers waliojazana mjengoni. Hakuna sababu za kuharakisha kwa hii kasi inayokuja kwa sasa.
Huenda ikawa ni HASARA nyingine kwa taifa
——
Jamani hivi walikuwa wamefikia hatua ya kutayarisha mkataba?
Nadhani bado yalikuwa majadiliano yaliyozalisha rasimu ya awali kabla ya mkataba wenyewe,lakini sidhani kama mkataba huo upo, kama upo basi kuna mtu anao mfukoni
Kina Ndugai wanajaribu kupima upepo ili uhalalishwe na hatimae usainiwe, waliokasirishwa na kusitishwa kwake wacheke kijino pembe.
Mkata wa pango pale Ufipa unawekewa hadharani? Mkataba ni siri kati ya wabia banah.
Kama kweli hatua ya kuandaa na kusaini mkataba haikuwa imefikiwa basi Magufuli kakuitendea haki serikali ya Kikwete kwa kuyatangaza na kuyaponda mapendekezo ya waChina kama vile ndio masharti ya mkataba yaliyokwishakubaliwa.
Alitakiwa aipokee hiyo “work-in-process” na kukamilisha majadiliano na sio kuja kuwatangaza waliotangulia kama “vichaa”.
Ni muhimu sasa huo “mkataba” kama upo kweli, uwekwe wazi.
Jamani hivi walikuwa wamefikia hatua ya kutayarisha mkataba?
Nadhani bado yalikuwa majadiliano yaliyozalisha rasimu ya awali kabla ya mkataba wenyewe,lakini sidhani kama mkataba huo upo, kama upo basi kuna mtu anao mfukoni
Kina Ndugai wanajaribu kupima upepo ili uhalalishwe na hatimae usainiwe, waliokasirishwa na kusitishwa kwake wacheke kijino pembe.
sasa hivi mtasikia mkuu wa mkoa wa puani ni XHAO WI PUNG......haya makelele ya mitandaoni tunasukuma vipi huu mkataba uwe hadharani au ufutiliwe mbali......ndugai anafaa kuuwawa........mnawakumbuka MAUMAU ya kenya.....ni vuguvugu la kulinda na kumiliki mali za wazawa wenyewe na walifanikiwa.........tunaanzaje.......wabunge wote wala rushwa.....tunategemea nini??? kuwa wakimbizi nchini mwetu....hakuna muda tena.....jeshi letu liwe imara kudhibiti hizi vitu...
Kwa hiii nchi badoChief , mapinduzi yaanziaga kwa mitandao. Never underestimate the power of unknown
Sawa. “Mjadala mpana na uwazi” unahitajika kuhusu mradi huu. Certainly. LAKINI Je, wakati JPM anausimamisha, mkataba wake uliwekwa wazi na kujadiliwa bungeni? Wananchi waliweza kutoa maoni yao?
Kuna miradi mingapi ya kitaifa inapitia adha za aina hii na kubaki kuwa siri ya Ikulu na vikundi shirika vya wajanja? Rais akibadilika, vipaumbele vinabadilika na kauli zinabadilika! This is BS!
Kusipokuwa na uamuzi wa ujumla (global decision) kuweka uwazi katika mikataba ya miradi ya kitaifa, tutaendelea kushuhudia watu wakibadilishana “zamu za ulaji” na wananchi wakibakia kama mashabiki.
Kuna kila dalili sasa kwamba huu mradi unajadiliwa kama “vita” kati ya “wafuasi” wa awamu ya JPM na ile ya JK. Hili ndilo janga (tragedy) lililoletwa na CCM nchini. Katiba madhubuti inahitajika kudhibiti uhuni kwenye miradi na uwekezaji muhimu kitaifa.
Nowdays strong minds discuss personal issues ndio maana uwaoni kwa sasa, kama wapo wamefungwa midomo pengine kwa sababu za usaliti na uzandiki wao.
Ndio maana ipo haja ya kuunda Task Force ya Miradi ya kimkakati ili ifanye analysis ya miradi yote nchi nzima (short & long term),na ije na mapendekezo /vipaumbele.
Wataalamu washauri wapo wamejaa tele.
Open mind ambayo huwezi hata kuona dalili ya mvua kuwa ni mawingu? mimi hoja yangu kubwa hapa ni suala la mtu kuwa na afya mgogoro na kupewa madaraka makubwa ya nchi yanayohitaji utulivu na umakini wa hali ya juu kisaikolojia na pia kiakili mentally , ndiomaana nikasemsa vinchi vyetu hivi pekee ndio kila kitu kinafanyika bila utaratibu, nikaenda mali zaidi nikasema huwezi on earth mtu mwenye matatizo makubwa ya kiafya kupewa urais haiwezekani, kwakua huku kwetu ni wapiga ramli hata kwa mambo obviuos ndio maana nikasema tuendelee na ujuha wetu period, sijasema lolote kuhusu Bandari ya Bagamoyo na by the way nimeshachangia kwenye nyuzi nyingine kwamba mkataba wa hiyo bandari haujawahi kuwekwa hadharani ili ijulikane hiyo miaka 100,99, ama 50 inayosemwa ilikuwawemo kwenye mkataba, nikashauri mwenye huo mkataba aulete hapa upitiwe mstari kwa mstari neno kwa neno. Hoja yangu hapa ni afya ya mwili na akili katika uongozi wa nchi , hapa hawaongozwi ng'ombe ni watu tena wengi zaidi ya milioni 60 nadhani umenipata na mimi sio kijana kama wewe