Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

Uko sahihi mkuu, why TANZIA zmeisha baada ya magufuli kututoka? Washenzi wale walikuwa wanamflustrate raisi kwa kasi sana.
Baada ya msiba tu, tayari imeingia bandari ya bagamoyo? Lazima MTU uwe na sintofahamu nyingi. Anyway, Lusinde Leo at least katuliza mihemko ya wabunge madili

Kwani wale waliokuwa wanapostiwa ilikua uongo? Corona ina wimbi kuna kipindi rate inakuwa kubwa sana ya vifo na kipindi inapungua.
 
Uko sahihi mkuu, why TANZIA zmeisha baada ya magufuli kututoka? Washenzi wale walikuwa wanamflustrate raisi kwa kasi sana.
Baada ya msiba tu, tayari imeingia bandari ya bagamoyo? Lazima MTU uwe na sintofahamu nyingi. Anyway, Lusinde Leo at least katuliza mihemko ya wabunge madili

It was a mind game mzee. Power is never easy. It was a total frustrations. Mzee alikuwa anapigana vita ndani na nje. Na Vita vya ndani vilikuwa ni ndani ya ndani. PSU ndani ya PSU

Mpasuko ndani ya mpasuko. Na katika kumchanganya Mzee akili, maisha ya wengi yamegharimu.

Je Corona imeondoka na JPM ? Kuna mtu yoyote anasikia kifo cha mtu mkubwa sasa.

Rais, anasema leo i am not okay , in few minutes classified information zimesha leak , who was behind this game ? Rais anazungukwa na timu maalumu.... inajulikana .

BAADA ya maziko tu, CAG anaibuka out of the blue, JPM anaaonekana he was useless na muflisi tena timu ya watendaji wake ndio wana create hizo sparks. You know maisha sio marahisi.
Lakini classified information zina muda wake na zita expire and the truth will be revealed
 
It was a mind game mzee. Power is never easy. It was a total frustrations. Mzee alikuwa anapigana vita ndani na nje. Na Vita vya ndani vilikuwa ni ndani ya ndani. PSU ndani ya PSU

Mpasuko ndani ya mpasuko. Na katika kumchanganya Mzee akili, maisha ya wengi yamegharimu.

Je Corona imeondoka na JPM ? Kuna mtu yoyote anasikia kifo cha mtu mkubwa sasa.

Rais, anasema leo i am not okay , in few minutes classified information zimesha leak , who was behind this game ? Rais anazungukwa na timu maalumu.... inajulikana .

BAADA ya maziko tu, CAG anaibuka out of the blue, JPM anaaonekana he was useless na muflisi tena timu ya watendaji wake ndio wana create hizo sparks. You know maisha sio marahisi.
Lakini classified information zina muda wake na zita expire and the truth will be revealed
Ndo maana mama kafukuza wakurugenzi 7 wa TISS kwa mjibu wa tweet ya kigogo2014? By the who's guy or his/her network?
Hili genge ni hatari sana, haiwezekani masamuzi ya kikao cha raisi kijulikane siku moja kabla ya tukio, means ikulu pale kuna mamluki wa kutosha.
Kifo cha Magu hakikuwa natural death kilikuwa pre-planned kabisa. Wewe angalia raisi alivyokuwa anazindua ile miradi ya dar? From there ndo hicho kilitokea. Halafu washenzi wanajaribu saizi kufuta legacy yake. Kwa hiyo wanatufundisha kuona kazi zake? Maendeleo ni mambo ya wazi mkuu, huwezi danganya watu katika karne hii for cheap reasons kama hizo.
Halafu walivyowapumbavu, baada ya msiba tu, watu bado wana majonzi, unaibuka kuanza kumponda marehemu, akina ndugai nao hao, sijui analiogopa kundi lile linaweza kumchomoa hata na yeye.
Kifo cha Magufuli kina utata mno mkuu
 
King, mimi nakushauri sana iache akili yako huru.

Ume enslave akili yako to the point , anything new inakuwa rediculed. Ni hatari . Let’s talk the hard talks .

Mimi nakataa kabisa kwamba MEKO kauliwa.....JIWE alikuwa anaumwa sema ndio hivyo UVIKO imekuja kummalizia.
 
View attachment 1750469

Soon utaanza kusikia mradi unaanza
Soon utaona majibu ya kamati ya COVID inaishauri serikali kuruhusu Chanjo ya COVID . Ni suala la muda. Utasikia tumeshauriwa na wataalam.

Kila unachoona sasa hivi Pay attention ni katika kuonesha awamu ya 5 ilikuwa hovyo. Ni mpango mkakati.

Ila ukweli ni kwamba Pamoja na kasoro za hapa na pale , awamu ya 5 ilifanya mengi makubwa yaliyoshindikana na watangulizi wengi
CHATO GANG MMEANZA KUMCHAFUA SAMIA, RUDISHENI KWANZA HELA MLIZOIBA!
 
Mtu mwenye UKIMWI anauliwa na nini. Moyo plus UKIMWI plus Corona = KIFO CHA SHETANI WA TANZANIA.
 
Hata Kifo cha JFK awali ilisemekana ni allegations tu na Conspiracy theory. Kwa Sasa kila mtu anajua kuwa Kennedy was assassinated tena kwa msaada wa watendaji wake waliompangia safari na kuiratibu. Alikuwa assassin kwa sababu aligusa interest za establishments

Haya mambo needs strong mind to discuss

kama nj kweli kuwa Wachina na mabeberu walimuuwa JPM kwa sababu ya kuukataa mradi wa bandari, sasa unataka Ndugai na Rais wa sasa nao wauwawe kwa kuukataa?
 
Ndo maana mama kafukuza wakurugenzi 7 wa TISS kwa mjibu wa tweet ya kigogo2014? By the who's guy or his/her network?
Hili genge ni hatari sana, haiwezekani masamuzi ya kikao cha raisi kijulikane siku moja kabla ya tukio, means ikulu pale kuna mamluki wa kutosha.
Kifo cha Magu hakikuwa natural death kilikuwa pre-planned kabisa. Wewe angalia raisi alivyokuwa anazindua ile miradi ya dar? From there ndo hicho kilitokea. Halafu washenzi wanajaribu saizi kufuta legacy yake. Kwa hiyo wanatufundisha kuona kazi zake? Maendeleo ni mambo ya wazi mkuu, huwezi danganya watu katika karne hii for cheap reasons kama hizo.
Halafu walivyowapumbavu, baada ya msiba tu, watu bado wana majonzi, unaibuka kuanza kumponda marehemu, akina ndugai nao hao, sijui analiogopa kundi lile linaweza kumchomoa hata na yeye.
Kifo cha Magufuli kina utata mno mkuu
Namimi nahisi,aliogopa nayy wasije waka mpoteza
 
Ndo maana mama kafukuza wakurugenzi 7 wa TISS kwa mjibu wa tweet ya kigogo2014? By the who's guy or his/her network?
Hili genge ni hatari sana, haiwezekani masamuzi ya kikao cha raisi kijulikane siku moja kabla ya tukio, means ikulu pale kuna mamluki wa kutosha.
Kifo cha Magu hakikuwa natural death kilikuwa pre-planned kabisa. Wewe angalia raisi alivyokuwa anazindua ile miradi ya dar? From there ndo hicho kilitokea. Halafu washenzi wanajaribu saizi kufuta legacy yake. Kwa hiyo wanatufundisha kuona kazi zake? Maendeleo ni mambo ya wazi mkuu, huwezi danganya watu katika karne hii for cheap reasons kama hizo.
Halafu walivyowapumbavu, baada ya msiba tu, watu bado wana majonzi, unaibuka kuanza kumponda marehemu, akina ndugai nao hao, sijui analiogopa kundi lile linaweza kumchomoa hata na yeye.
Kifo cha Magufuli kina utata mno mkuu

PSU ndani ya PSU
 
View attachment 1750469

Soon utaanza kusikia mradi unaanza
Soon utaona majibu ya kamati ya COVID inaishauri serikali kuruhusu Chanjo ya COVID . Ni suala la muda. Utasikia tumeshauriwa na wataalam.

Kila unachoona sasa hivi Pay attention ni katika kuonesha awamu ya 5 ilikuwa hovyo. Ni mpango mkakati.

Ila ukweli ni kwamba Pamoja na kasoro za hapa na pale , awamu ya 5 ilifanya mengi makubwa yaliyoshindikana na watangulizi wengi
Aende zake alitufanya tuishi kwa hofu. Alitisha kila mtu na kubana maslahi yote sio tu ya kifisadi hadi yale ya kisheria. Mvunja katiba na sheria mkubwa. Hata Mungu hakumpenda maana alijipa hadi cha kuongoza malaika. Huyu hata Mungu hakumpokea ndio maana alizikwa gizani. Hahaa hahaaa!.
 
Inafikirisha hivi sasa hta sisikii Tena kuwa Tanzania hutuzingatii corona, kwamba vifo vitaongezeka...kimya kabisa
Sasa hawa watu wakipata na umiliki wa hii bandari na kuingiza wanachikita na kuondosha wanachokitaka si tu Corona itazagaa bali hata Corolla, Cressida, Crown, Mark II yaani kila aina ya variant ya Covid-19 itakuwa nchini, watanzania tuangalie maslahi yetu, ikiwa bodaboda zimepaisha uchumi mpaka tumefika uchumi wa kati tunaweza kwenda mdogomdogo na tukaendelea, tuachane na uchumi wa kwenye vitabu twende na hali halisi kwani watanzania wengi bado wapo kwenye ufukara tuwavute mkono hawa nao wawe kwenye uchumi wa kati nao wachangie kwenye pato la taifa.
Watanzania tusiwe na haraka na mambo tustahamili kwani kuna mambo muhimu na kuna mambo muhimu zaidi, katiba mpya itokanayo na wananchi ambayo itapitishwa na wawakilishi halali katika bunge letu tukufu, waliyopitishwa na tume huru na ya haki kwa kweli Tanzania itakuwa ni kama pepo iliyo chini ya dunia yetu.
Maendeleo hayana dini, kabila wala chama.
 
Ndiyo sasa uwekwe wazi huo mkataba maana wewe unazungumzia terms and conditions wakati hata hukuwahi uona huo mkataba wenyewe.
Kwanini usiwekwe wazi tu watu wajue kwanink mtu mmoja tu ndiye awambie kilichomo?
Yasije kuwa yale yalw ya SGR kukataa mkataba wa zamani ambao ujenzi wa kila kilomita ulikuwa bei ya chini kuliko mkataba wa sasa.
Weka mkataba uwe public watu wauchambue mbivu na mbichi zijulikane.
Mimi sijawahi kuelewa kwanini kma serikali ina nia njema uwa wanaficha mikataba. Hakuna kitu kizuri kisicho na shaka ambacho kinaweza kufichwa unless kama ni mambo ya jeshi na ulinzi kama mikataba ya kununua silaha.
wanajifichia humo kwenye usiri kwaajili ya kupiga hela , mkiambiwa yaliyomo humo mtawaona Bogus ndiomaana wanafichaficha siamini kama kuna mtu angekubali mkataba wa miaka 99 au 100 ni uongo , mkataba ulitakiwa uanikwe na hivyo vipengele viwe bolded vionwe na watu wenye akili wajadili, kwakua Jiwe ndio alishikia akili watu wote alidhani kila mtu kilaza
 
1. Vyombo vya Habari viwe Uhuru ili watanzania ambao walikuwa kwenye kifungo cha miaka 5 dhidi ya uhuru wao wa kutoa maoni wawe uhuru kujadili miradi isiyokuwa na uwazi kwa Taifa la Tanzania.

2. Tumeshuhudia Kifo cha JPM ambacho kina utata mwingi na maswali mengi yasiyojibika. Baada ya kifo hiki hata zile speed za Corona this Corona that hatuzisikii tena, badala yake maisha yanaenda kama kawaida....kwa wenye kutafakari hii inatupa TAFSIRI kubwa sana. Lakini muda ndiyo HAKIMU wa Kweli.

View attachment 1750423


View attachment 1750424

3. Mradi wa Bagamoyo ambao unapigiwa debe kwa sasa ni miongoni mwa miradi ambayo ndani yake ulikuwa na vipengele ANGAMIZI kwa taifa la Tanzania. JPM aliusimamisha mradi huu pamoja na miradi mingi ya NSSF kwa kushirikiana na wataalam wake na miongoni mwa hao wataalam ni hawa wanaopigia debe mradi huu kwa sasa.

4. Sisi kama wananchi, Tulitarajia kuona maelezo ya awali kutoka kwa SPIKA kwanini mradi huu ulisimamishwa kama ulikuwa na TIJA katika taifa letu huku yeye akiwa ni sehemu ya serikali iliyosimamisha huo mradi.

5. Tulitarajia kuona DISCUSSION ya kwanza ya huu mradi ni wananchi kuuelewa na kuona je kuna ulazima wa huu mradi, faida na hasara zake juu ya Taifa Hilo. Ielezwe pia Why Bagamoyo ? Je ni sehemu pekee yenye mlango mpana kwa TZ ?

6. Ijadiliwe terms za Procuring entity dhidi ya Supplier, tuone je zinafaida kwa taifa letu au ni hasara za long term kama tunavoona hasara za mwendo kasi na majumba yaliyogeuka kuwa magofu ya NSSF Huko Kigamboni.

Tunamsikia spika anaanza kuwa na defensive speech kuwa HAKUNA ANAYETAKA KUUZA NCHI!

Are we stupid or what ?

Why did he jump into that conclusion wakati wananchi wanahitaji kuelewa kwanza[emoji845]this is very immature kwenye majadiliano ya HOJA hasa kwa maslaha ya Taifa.

There is something fishy nyuma ya hii ishu na kuna watu wanaanza kujisogeza kwenye position zao japo wapo kimya.


7. Tunajua mradi huu ulikuwa ni dili la awamu ya 4 na serikali ya China ambapo kwa sasa ameshaanza kujisogeza baada ya kifo cha JPM.

View attachment 1750421

Swali la msingi ni Procurement Proceedures gani zilitumika kumpendekeza huyu Mtu ? Je Procurement Act dhidi ya Public Private Partnership inasema nini ?

Tunapiga kelele na CAG report ya sasa, kuna Mtanzania aliyesoma CAG report ya 2013/2014. Pitieni huko kwanza ndio mje kusema tulikuwa tunaibiwa. Haya ya sasa ni muendelezo wa kipindi cha 13/14

Mradi huu ujadiliwe kwa mapama na uwazi tena na watu ambao ni brained sio hao wasanii na form 4 leavers waliojazana mjengoni. Hakuna sababu za kuharakisha kwa hii kasi inayokuja kwa sasa.

Huenda ikawa ni HASARA nyingine kwa taifa

——

Kua mtu wa kidaro cha 4 c o hoja mbn juzi kuna professor mzima kasema mradi wa nguvu za maji huko rufiji bora uctishwe ? tatizo c o elimu tatizo ni mtu kua na uchungu wa nchi yake na tatizo ni mgawo wa 10%
 
Back
Top Bottom