Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

msijitoe ufahamu nyie jitu life na maukimwi yake huko mje mtujazie thread hapa kwanza kwa taarifa yenu ingekua nchi nyingine huko huo urais angeusikia kwenye redio limtu lina migonjwa yote mikubwa hadi moyo unasukumwa na mabetri bado likalazimishiwa urais leo mtu ana akili kama chalamila anatoa povu mxiiiuuuu

Una strees zako ww c mzima cjui ndo wale wale mliotumbuliwa kwa vyeti feki?
 
wanajifichia humo kwenye usiri kwaajili ya kupiga hela , mkiambiwa yaliyomo humo mtawaona Bogus ndiomaana wanafichaficha siamini kama kuna mtu angekubali mkataba wa miaka 99 au 100 ni uongo , mkataba ulitakiwa uanikwe na hivyo vipengele viwe bolded vionwe na watu wenye akili wajadili, kwakua Jiwe ndio alishikia akili watu wote alidhani kila mtu kilaza
Sasa kwanini msitoe pongezi za dhati kwa yule aliysema kwamba ni taahira mlevi tu ndie aneweza kukubaliana na masharti ya huo mkataba?
 
Uko sahihi mkuu, why TANZIA zmeisha baada ya magufuli kututoka? Washenzi wale walikuwa wanamflustrate raisi kwa kasi sana.
Baada ya msiba tu, tayari imeingia bandari ya bagamoyo? Lazima MTU uwe na sintofahamu nyingi. Anyway, Lusinde Leo at least katuliza mihemko ya wabunge madili

Cha ajabu Lusinde ni stndd 7 wkt kuna professor wako humo kz yao kupiga meza tuu wl hawana habari
 
c aliwahi utolea ufafanuzi ikulu iv bila yy kuuanika hadharani mpk cc tunaujadili hapa mm na ww c tungeshangilia tuu kumbe ni conection za watu?

Ogopa sana Usiri na hizi 10%
 
Una strees zako ww c mzima cjui ndo wale wale mliotumbuliwa kwa vyeti feki?

Ni kweli , wengi wanaoumia ni wale ambao walikuwa hawana qualities na walikuwa wanachomekwa
 
Kua mtu wa kidaro cha 4 c o hoja mbn juzi kuna professor mzima kasema mradi wa nguvu za maji huko rufiji bora uctishwe ? tatizo c o elimu tatizo ni mtu kua na uchungu wa nchi yake na tatizo ni mgawo wa 10%

IMG_4810.jpg
 
Mimi hizi allegations za Wachina kuwa behind the death ya JPM nilipata kuzisikia siku inayofuata kutoka kwa chanzo kilicho karibu kabisa na mmoja wa wakuu wa Idara za Usalama.
Ila mpaka sasa nimeshindwa kuamua niende na lipi mpaka sasa. Mosi, ni kifo cha kiasili au pili ni assasination. Mola ndiye mjuzi!
 
Mimi hizi allegations za Wachina kuwa behind the death ya JPM nilipata kuzisikia siku inayofuata kutoka kwa chanzo kilicho karibu kabisa na mmoja wa wakuu wa Idara za Usalama.
Ila mpaka sasa nimeshindwa kuamua niende na lipi mpaka sasa. Mosi, ni kifo cha kiasili au pili ni assasination. Mola ndiye mjuzi!

IMG_4814.jpg



Relax , Truth will be known. Tayari endorse imeshafanyika with the international investigators to reveal the foul played behind the death.

Never ignore things. Kifo cha JFK, Mohamed Boudiaf , Sankara na wengine , awali ilipingwa vikali kuwa it was never an assassination

But today , we all know the truth.

Tumeona Bukinafaso wameshampin Aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo kwa suspects za assassins za Sankara.

classified information ni lazima zi expire , and the truth is known

Living is easy with eyes closed, misunderstanding all you see ....J. Lenon
 
Aisee nyie Watanzania kwa kushirikiana na JWTZ chukueni nchi yenu. Hawa viongozi wa ccm na upinzani wachomwe moto na gesi ya mtwara live ikiinyoshwa tbc taifa. Nchi zote zilizoendelea viongozi wale wanaonafanana na hawa wa kwetu walipigwa risasi, kunyongwa hadharani. Ilisaidia sana kwa kuwaambia wasifanye makosa ya kuumiza vizazi vya nchi.
 
Ndo maana mama kafukuza wakurugenzi 7 wa TISS kwa mjibu wa tweet ya kigogo2014? By the who's guy or his/her network?
Hili genge ni hatari sana, haiwezekani masamuzi ya kikao cha raisi kijulikane siku moja kabla ya tukio, means ikulu pale kuna mamluki wa kutosha.
Kifo cha Magu hakikuwa natural death kilikuwa pre-planned kabisa. Wewe angalia raisi alivyokuwa anazindua ile miradi ya dar? From there ndo hicho kilitokea. Halafu washenzi wanajaribu saizi kufuta legacy yake. Kwa hiyo wanatufundisha kuona kazi zake? Maendeleo ni mambo ya wazi mkuu, huwezi danganya watu katika karne hii for cheap reasons kama hizo.
Halafu walivyowapumbavu, baada ya msiba tu, watu bado wana majonzi, unaibuka kuanza kumponda marehemu, akina ndugai nao hao, sijui analiogopa kundi lile linaweza kumchomoa hata na yeye.
Kifo cha Magufuli kina utata mno mkuu
Acha kupiga ramli. Magofool kafa kwa upumba.vu wake mwenyewe. Alitengeneza maadui kila kona hadi wasukuma wenzie kina Lawrence Masha aliwafilisi bila aibu.

Kaburi lake linatakiwa lipigwe viboko.

Nani aliyetegemea Tundu Lisu kupokelewa kwa mbwembwe namna ile kanda ya ziwa hadi Chato?
 
Mshitiri wa Mkataba huo alipatikana kwa utaratibu gani?

Ifahamike kwamba Contract awarding ni final stage ya procurement proceedures.

Yaani huwezi kupata mkataba kama hujapitia tendering process zote ikiwa ni pamoja na kutangaza tender kwa gazeti la Serikali.

Evaluation process, Then it comes about mambo ya terms and price negotiation,

liquidated damage etc etc then ndio tukae chini na kusaini contract .... na mikataba kama hiyo Lazima iende kwa Mwanasheria Mkuu ( Attorney General).

Kuna mtu yoyote anayejua haya yalifanyika?

Lakini tunaambiwa awamu ya 4 ilikuwa na Mkataba.... je walifikaje kwenye mkataba bila ya kupitia tendering process ikiwa ni pamoja na kuwashindanisha bidders ? How many bidders( tenderers ) submitted their documents?

Yaani ndio maana tunasema this Project and its discussion has to be revoked immediately untill further notice
Talking about Contacts awarding process and procurement procedures.
Kuna mikataba mikubwa ilikuwa signed kipindi cha awamu hii ya JPM juzi tu,
SGR
Stigler's' Gorge
Aircraft Procurement
N.K
Kuna mtu alijishuhulisha kuhoji uhalali na utaratibu wa ku sign hii mikataba?,if not,why?.Tuna uhakika gani kwamba hii mikataba ni mizuri na ilifuata procedures zote?Au kwa sababu raisi alisema?.Je leo kwa mafano tukisema tufanye special Audit kwenye procurement ya ndege zetu,bado mtasema ni njama za kumchafua JPM?.
Kama hatukuweza kuhoji baathi ya mikataba kwenye awamu ya 5,tunapata wapi uhalali wa kuhoji huu mradi wa bagamoyo na kusema upigwe chini?,Upigwe chini kwa mujibu wa nani?na ni nani anajua terms zake hadi tuseme upigwe chini?..
 
Ndiyo sasa uwekwe wazi huo mkataba maana wewe unazungumzia terms and conditions wakati hata hukuwahi uona huo mkataba wenyewe.
Kwanini usiwekwe wazi tu watu wajue kwanink mtu mmoja tu ndiye awambie kilichomo?
Yasije kuwa yale yalw ya SGR kukataa mkataba wa zamani ambao ujenzi wa kila kilomita ulikuwa bei ya chini kuliko mkataba wa sasa.
Weka mkataba uwe public watu wauchambue mbivu na mbichi zijulikane.
Mimi sijawahi kuelewa kwanini kma serikali ina nia njema uwa wanaficha mikataba. Hakuna kitu kizuri kisicho na shaka ambacho kinaweza kufichwa unless kama ni mambo ya jeshi na ulinzi kama mikataba ya kununua silaha.
Mimi naamini mikataba inayopaswa kuwa siri ni inayohusu mambo ya ulinzi,hii mingine inayohusu investments kwenye rasilimali zetu naujenzi wa miundombinu haistahili hata kufichwa kwa dakika moja.Tumejenga huu utaratibu na kuulea toka mwanzo,eti leo ndio tunakuja hapa kuhoji uhalali wa mkataba mmoja tu wa Bandari ya Bagamoyo,watanzania siku tukipona ugonjwa wa UNAFIKI tutafika mbali sana...
 
Hii major influx ya Chinese hapa nchini inanipa wasiwasi kwa miaka mingi sana,kuna baadhi ya watu walianza kuhoji mrundikano wa wachina mitaani hadi wanauza viatu k/koo,walitukanwa wakaambiwa wanatumiwa na wazungu kuwachafua Chinese.
Nasema hivi,tusipoliangalia hili jambo kwa jicho la 3,kuna siku Chinese watakuja ku dictate siasa za nchi hii na wataamua nani awe rais wetu.
Time will tell..
 
Back
Top Bottom