Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

Hii major influx ya Chinese hapa nchini inanipa wasiwasi kwa miaka mingi sana,kuna baadhi ya watu walianza kuhoji mrundikano wa wachina mitaani hadi wanauza viatu k/koo,walitukanwa wakaambiwa wanatumiwa na wazungu kuwachafua Chinese.
Nasema hivi,tusipoliangalia hili jambo kwa jicho la 3,kuna siku Chinese watakuja ku dictate siasa za nchi hii na wataamua nani awe rais wetu.
Time will tell..
Kweli kabisa,, tangu kipindi cha uwekezaji wa mabonanza(kamari) yamekuwa yakichota pesa zetu nyingi yapo mpaka vilabuni, mabaa na sehemu zingine ambazo hazifai
 
Kweli kabisa,, tangu kipindi cha uwekezaji wa mabonanza(kamari) yamekuwa yakichota pesa zetu nyingi yapo mpaka vilabuni, mabaa na sehemu zingine ambazo hazifai
Sisi tupo kwenye financial system huku tunaona vingi ni siri tu,ila simply ni kwamba,hakuna foreigners wanaongoza kuhamisha pesa kama wachina na kampuni zao uchwara,ni wajanja wajanja sana yaani.
 
Nilishangaa watu kumpa mgogo bunge, mgogo huwa hana msimamo, anaweza kukukaribisha mtu baki am satisfy mkewe ili apate chochote
Jipige kifuani halafu useme kwa sauti, mimi ni mpumbavu mzoefu!
 
Mgogo is useless na nimegundua tunatoa position bila kuangalia weledi wa watu.

Tulitegemea mradi huu upigiwe debe na wapinzania sio na Watendaji wa Serikali ya awamu ya 5 wakiongozwa na Spika
Haina ubishi kwamba wengi wa watendaji wa awamu ya tano , wamemgeuka kuwa wapinzani kwa mwendazake.
Inashangaza Sana kumpinga marehemu. Nisawa na kupiga ngumi upepo..
 
1. Vyombo vya Habari viwe Uhuru ili watanzania ambao walikuwa kwenye kifungo cha miaka 5 dhidi ya uhuru wao wa kutoa maoni wawe uhuru kujadili miradi isiyokuwa na uwazi kwa Taifa la Tanzania.

2. Tumeshuhudia Kifo cha JPM ambacho kina utata mwingi na maswali mengi yasiyojibika. Baada ya kifo hiki hata zile speed za Corona this Corona that hatuzisikii tena, badala yake maisha yanaenda kama kawaida....kwa wenye kutafakari hii inatupa TAFSIRI kubwa sana. Lakini muda ndiyo HAKIMU wa Kweli.

View attachment 1750423


View attachment 1750424

3. Mradi wa Bagamoyo ambao unapigiwa debe kwa sasa ni miongoni mwa miradi ambayo ndani yake ulikuwa na vipengele ANGAMIZI kwa taifa la Tanzania. JPM aliusimamisha mradi huu pamoja na miradi mingi ya NSSF kwa kushirikiana na wataalam wake na miongoni mwa hao wataalam ni hawa wanaopigia debe mradi huu kwa sasa.

4. Sisi kama wananchi, Tulitarajia kuona maelezo ya awali kutoka kwa SPIKA kwanini mradi huu ulisimamishwa kama ulikuwa na TIJA katika taifa letu huku yeye akiwa ni sehemu ya serikali iliyosimamisha huo mradi.

5. Tulitarajia kuona DISCUSSION ya kwanza ya huu mradi ni wananchi kuuelewa na kuona je kuna ulazima wa huu mradi, faida na hasara zake juu ya Taifa Hilo. Ielezwe pia Why Bagamoyo ? Je ni sehemu pekee yenye mlango mpana kwa TZ ?

6. Ijadiliwe terms za Procuring entity dhidi ya Supplier, tuone je zinafaida kwa taifa letu au ni hasara za long term kama tunavoona hasara za mwendo kasi na majumba yaliyogeuka kuwa magofu ya NSSF Huko Kigamboni.

Tunamsikia spika anaanza kuwa na defensive speech kuwa HAKUNA ANAYETAKA KUUZA NCHI!

Are we stupid or what ?

Why did he jump into that conclusion wakati wananchi wanahitaji kuelewa kwanza[emoji845]this is very immature kwenye majadiliano ya HOJA hasa kwa maslaha ya Taifa.

There is something fishy nyuma ya hii ishu na kuna watu wanaanza kujisogeza kwenye position zao japo wapo kimya.


7. Tunajua mradi huu ulikuwa ni dili la awamu ya 4 na serikali ya China ambapo kwa sasa ameshaanza kujisogeza baada ya kifo cha JPM.

View attachment 1750421

Swali la msingi ni Procurement Proceedures gani zilitumika kumpendekeza huyu Mtu ? Je Procurement Act dhidi ya Public Private Partnership inasema nini ?

Tunapiga kelele na CAG report ya sasa, kuna Mtanzania aliyesoma CAG report ya 2013/2014. Pitieni huko kwanza ndio mje kusema tulikuwa tunaibiwa. Haya ya sasa ni muendelezo wa kipindi cha 13/14

Mradi huu ujadiliwe kwa mapama na uwazi tena na watu ambao ni brained sio hao wasanii na form 4 leavers waliojazana mjengoni. Hakuna sababu za kuharakisha kwa hii kasi inayokuja kwa sasa.

Huenda ikawa ni HASARA nyingine kwa taifa

——
Ndugu, wewe umebahatika kuuona huo mkataba? Wananchi watajadili nini wakati hata wabunge ambao ndio wawakilishi wanajadili kitu hewa kwa hisia? Isihi serikali ipeleke mkataba bungeni na pia uwekwe public.
 
Aende zake alitufanya tuishi kwa hofu. Alitisha kila mtu na kubana maslahi yote sio tu ya kifisadi hadi yale ya kisheria. Mvunja katiba na sheria mkubwa. Hata Mungu hakumpenda maana alijipa hadi cha kuongoza malaika. Huyu hata Mungu hakumpokea ndio maana alizikwa gizani. Hahaa hahaaa!.
Kuzikwa gizani ndo Nini??
Huwa tunasema Mungu kampenda zaidi, ila wewe wazungumza kinyume.
Halafu ndugu yangu , mbona watukana mamba kabla hujavuka mto.
Wewe wajua utazikwa vipi!!!!
 
Kuzikwa gizani ndo Nini??
Huwa tunasema Mungu kampenda zaidi, ila wewe wazungumza kinyume.
Halafu ndugu yangu , mbona watukana mamba kabla hujavuka mto.
Wewe wajua utazikwa vipi!!!!

Msamehe hajui asemalo
 
Ndugu, wewe umebahatika kuuona huo mkataba? Wananchi watajadili nini wakati hata wabunge ambao ndio wawakilishi wanajadili kitu hewa kwa hisia? Isihi serikali ipeleke mkataba bungeni na pia uwekwe public.

Sawa
 
Sisi tupo kwenye financial system huku tunaona vingi ni siri tu,ila simply ni kwamba,hakuna foreigners wanaongoza kuhamisha pesa kama wachina na kampuni zao uchwara,ni wajanja wajanja sana yaani.

Hilo linajulikana. Na hao wachina walikaribishwa zaidi awamu ya 4.Nimesema hapo juu, Mchina hajawahi kuwa Rafiki wa taifa la Africa lolote. Mchina yupo kwenye vita vya kuwa Super power dhidi ya USA.

Siku mchina ana dominate TZ, ujue tutapata shida sana.
Rais awamu ya 4 ndio ilimkaribisha kwa pupa mchina,
IMG_4809.jpg
 
Mimi naamini mikataba inayopaswa kuwa siri ni inayohusu mambo ya ulinzi,hii mingine inayohusu investments kwenye rasilimali zetu naujenzi wa miundombinu haistahili hata kufichwa kwa dakika moja.Tumejenga huu utaratibu na kuulea toka mwanzo,eti leo ndio tunakuja hapa kuhoji uhalali wa mkataba mmoja tu wa Bandari ya Bagamoyo,watanzania siku tukipona ugonjwa wa UNAFIKI tutafika mbali sana...

Upo sahihi
 
1. Vyombo vya Habari viwe Uhuru ili watanzania ambao walikuwa kwenye kifungo cha miaka 5 dhidi ya uhuru wao wa kutoa maoni wawe uhuru kujadili miradi isiyokuwa na uwazi kwa Taifa la Tanzania.

2. Tumeshuhudia Kifo cha JPM ambacho kina utata mwingi na maswali mengi yasiyojibika. Baada ya kifo hiki hata zile speed za Corona this Corona that hatuzisikii tena, badala yake maisha yanaenda kama kawaida....kwa wenye kutafakari hii inatupa TAFSIRI kubwa sana. Lakini muda ndiyo HAKIMU wa Kweli.

View attachment 1750423


View attachment 1750424

3. Mradi wa Bagamoyo ambao unapigiwa debe kwa sasa ni miongoni mwa miradi ambayo ndani yake ulikuwa na vipengele ANGAMIZI kwa taifa la Tanzania. JPM aliusimamisha mradi huu pamoja na miradi mingi ya NSSF kwa kushirikiana na wataalam wake na miongoni mwa hao wataalam ni hawa wanaopigia debe mradi huu kwa sasa.

4. Sisi kama wananchi, Tulitarajia kuona maelezo ya awali kutoka kwa SPIKA kwanini mradi huu ulisimamishwa kama ulikuwa na TIJA katika taifa letu huku yeye akiwa ni sehemu ya serikali iliyosimamisha huo mradi.

5. Tulitarajia kuona DISCUSSION ya kwanza ya huu mradi ni wananchi kuuelewa na kuona je kuna ulazima wa huu mradi, faida na hasara zake juu ya Taifa Hilo. Ielezwe pia Why Bagamoyo ? Je ni sehemu pekee yenye mlango mpana kwa TZ ?

6. Ijadiliwe terms za Procuring entity dhidi ya Supplier, tuone je zinafaida kwa taifa letu au ni hasara za long term kama tunavoona hasara za mwendo kasi na majumba yaliyogeuka kuwa magofu ya NSSF Huko Kigamboni.

Tunamsikia spika anaanza kuwa na defensive speech kuwa HAKUNA ANAYETAKA KUUZA NCHI!

Are we stupid or what ?

Why did he jump into that conclusion wakati wananchi wanahitaji kuelewa kwanza[emoji845]this is very immature kwenye majadiliano ya HOJA hasa kwa maslaha ya Taifa.

There is something fishy nyuma ya hii ishu na kuna watu wanaanza kujisogeza kwenye position zao japo wapo kimya.


7. Tunajua mradi huu ulikuwa ni dili la awamu ya 4 na serikali ya China ambapo kwa sasa ameshaanza kujisogeza baada ya kifo cha JPM.

View attachment 1750421

Swali la msingi ni Procurement Proceedures gani zilitumika kumpendekeza huyu Mtu ? Je Procurement Act dhidi ya Public Private Partnership inasema nini ?

Tunapiga kelele na CAG report ya sasa, kuna Mtanzania aliyesoma CAG report ya 2013/2014. Pitieni huko kwanza ndio mje kusema tulikuwa tunaibiwa. Haya ya sasa ni muendelezo wa kipindi cha 13/14

Mradi huu ujadiliwe kwa mapama na uwazi tena na watu ambao ni brained sio hao wasanii na form 4 leavers waliojazana mjengoni. Hakuna sababu za kuharakisha kwa hii kasi inayokuja kwa sasa.

Huenda ikawa ni HASARA nyingine kwa taifa

——

Mku mm hil swala lipo na kuna majadiliano mingi inaendelea kwenye international forums juu ya hii ishu. Naamini ukwl utajulikana. Ni mda tu.

Ila kuna kitu nyie wat hamkisemi.
Ukweli ni kwamba mzee alikuwa mbishi. Mkuu wa idara nyeti alimwambia mkulu kuws kipindi hiki tunasimamisha ugeni wowote na uzinduz wowote mpaka hali itulie. Tunaambiwa Mkuu alikataa na akasema ataendelea na kazi km kawa. Kikawaida inapokuja suala la ulinzi, idara inatakiwa kuwa na nguvu , lakin jamaa aliizid idara nguvu , kwa protocols wakamsainisha document kuwa km unataka hivo, sawa saini hapa na wageni waje na uzurure kw ufungiz

Tukaona ugeni wa china, tukaona ugeni wa ethiopia , uganda na tukaona akija Dar kuzurura.... maisha yake yalibadilika hapo , na hata maadui wake hawakupata shida kumsukuma mlevi. Ubishi na kujiamini sana ni mbay hasa mambo ya uongozi

Ile timu iliyokuwa chato, asilimia kubwa walifululiza ,na hapa ndio penye tatizo lilipoanzia.

Hao international investigators hadi wamalize hiyo kazi tayari kila mtu kasahau.
Mkulu alizidi ujuaji ubishi na kujiamini sna. Nafasi km yake alitakiwa kuwa msikivu hasa suala la ulinzi wke
Mataifa mengine , idara nyeti ndio kila kitu na rais anaheshimu maamuz ya idara,hii ilikuwa ni tofauti sana kwa mkulu.
Poleni
 
Hilo linajulikana. Na hao wachina walikaribishwa zaidi awamu ya 4.Nimesema hapo juu, Mchina hajawahi kuwa Rafiki wa taifa la Africa lolote. Mchina yupo kwenye vita vya kuwa Super power dhidi ya USA.

Siku mchina ana dominate TZ, ujue tutapata shida sana.
Rais awamu ya 4 ndio ilimkaribisha kwa pupa mchina,
View attachment 1752239
Tatizo sio awamu wala nini,Tatizo kubwa hapa ni sera(Foreign Policy) yetu dhidi ya China,Tumekuwa tukiwaona Wachina kama marafiki zetu for decades kuanzia awamu ya kwanza,hii imefanya hata tupunguze umakini wetu katika kuwafanyia screening hawa watu wanapokuja hapa nchini.
Haiwezekani watu wajanja wajanja wawepo tu,kodi hawalipi ipasavyo,maana ofisi zao ni kwenye ma go-down.This isn't about awamu, its totally about our foreign policy with Chinese.
 
Enzi za Magu, ukipinga mradi wowote. Watu wasiojulikana wanakuijia. Sijawahi kuona mkataba wowote waCCM unawekwa hadharani, watu wachangie.
Kwenye uchaguzi wenyewe, CCM walipitishana. Ww unayepinga kama nani?
Uko SAHIHI kuwa miradi karibia yote hawekwi wazi utofauti wake huu ripoti ilitolewa haufai na hakuna aliyepinga miongoni mwa viongozi wetu.hawa wanaCCM walikubaliana mradi unaua taifa ni wanCCM hawahawa kasoro mwendazake hayupo wanadai uwekezaji huu una tija kwa taifa.tunataka walete sababu zao kuzicrash zile 11 za mwendazake.kwanini tunataka uwe wazi kwa sababu tuliaminishwa haufai kutoka ngazi ya juu kabisa sasa tunataka watuaminishe unafaa kwa uwazi kwa mjadala..
 
Hoja inaweza kua nzuri ila nikiona unaambatanisha jpm ninahis kitu kinanikaba kooni sijui kwann? Ok acha tuone itakavokua
 
Tatizo sio awamu wala nini,Tatizo kubwa hapa ni sera(Foreign Policy) yetu dhidi ya China,Tumekuwa tukiwaona Wachina kama marafiki zetu for decades kuanzia awamu ya kwanza,hii imefanya hata tupunguze umakini wetu katika kuwafanyia screening hawa watu wanapokuja hapa nchini.
Haiwezekani watu wajanja wajanja wawepo tu,kodi hawalipi ipasavyo,maana ofisi zao ni kwenye ma go-down.This isn't about awamu, its totally about our foreign policy with Chinese.

It makes sense. Nadhani kama nchi tunapaswa kufanya kitu. Serikali zetu ni za kipumbavu. Na hawa hawa kwa kwenda kinyume na maslahi yao, wamekuwa ni mpango mkakati katika kifo cha JPM.
 
Hoja inaweza kua nzuri ila nikiona unaambatanisha jpm ninahis kitu kinanikaba kooni sijui kwann? Ok acha tuone itakavokua

Shida nini? Kianja nakuombea mwanga katika maisha yako Mungu akupe macho yenye kuona na sio kutizama. Inawezekana kabisa usimuelewe JPM , lakini ndiiyo rais pekee aliyemaanisha mengi kwa Tanzania. Na kifo chake ni mpango mkakati Maalumu

IMG_4965.jpg
 
Back
Top Bottom