Utata kifo cha Afisa Usalama Kijitonyama

Utata kifo cha Afisa Usalama Kijitonyama

"Ni kweli kuna ofisa usalama amefariki ndani ya kisima, lakini bado tunachunguza. Kwa sababu itabidi tupate taarifa ya daktari ndiyo tuunganishe na uchunguzi wetu," alisema Kenyela.
hiyo ni kawaida kinapotokea kifo cha aina hiyo
 
Ninaamini kuwa humu jf tuna watu wa usalama wanaofanya kazi pale makao makuu kijitonyama. Ni vema wakatueleza ukweli wa hili tukio
Sidhani kama humu jf unaweza kupata majibu sanasana humu jf mtaishia kudanganyana tu,tss watalitolea taarifa wenyewe kwa utaratibu wao wa kawaida.
 
Kwahiyo unataka kutuambia marehemu alikuwa na ugonjwa wa akili?? sasa kile kisima si nasikia huwa mnakilinda, sikuhiyo mlimpeleka wapi mlinzi?!

Wewe kama sio Rama basi Ighondu..

Kwi kwii kwii kwiii dah!!!! Utaniua kwa kicheko ndugu yangu, kwa kweli jamaa hata mimi namtilia shaka sana kwa jinsi anavyoangaika kutuamisha kwenye mjadala, na anashindwa kuelewa kuwa jinsi anavyozidi kuhamanika ndio anazidi kuongeza maswali yasiyo na majibu kwa wenye ufahamu. Haiwezekani mtu asiye na maslahi ya moja kwa moja na UWT aangaike kuwatetea kwa kiwango hicho.
 
Ivi we mzee wa kuomba BAN na LIZABONI mbona mpo bize sana kuiaminisha jamii kuwa marehemu alikuwa ni mgonjwa wa akili au mlevi sana? Au nanyi ni TISS mnajaribu kuvuruga ushahidi? Kwa mujibu wa maelezo mke wa marehemu alipopiga simu ofisini alijibiwa kuwa marehemu hakuonekana kazini siku hiyo inawezekanaje mtu mwenye matatizo ya akili au mlevi aingie eneo lililojaa maafisa usalama na asionekane na mtu? Kama kuna uzembe kiasi hicho basi waombeni radhi M23 haraka kabla hawajawaingilia kambini na kuwateketeza wote. Naomba mtambue kuwa wana jf wengi wana uwezo mkubwa sana wa kudadavua mambo hivyo msijaribu kuziba mwanga wa jua kwa kutumia ungo, wote tuvute subira matokeo kamili ya uchunguzi yatatolewa.
Mkuu, nimekuwa busy kutokana na jinsi watu walivyojipanga kupotosha ukweli ingawa hawajui chochote juu ya kifo hicho tofauti na yale yaliyoandikwa kwenye mwananchi. Ni jukumu letu kutoana ujinga kwa manufaa ya taifa hili
 
Kwani tss hawafi kwa ugonjwa akifa tss nongwa.
 
Kwahiyo unataka kutuambia marehemu alikuwa na ugonjwa wa akili?? sasa kile kisima si nasikia huwa mnakilinda, sikuhiyo mlimpeleka wapi mlinzi?!

Wewe kama sio Rama basi Ighondu..
Usiseme umesikia bali sema kuwa nimesoma kwenye gazeti la mwananchi ukaona kuwa kisima hicho kinalindwa. Sijapatapo kuona sehemu yoyote tanzania hii kisima kinalindwa. Labda mwandishi wa habari alitaka kutuaminisha kuwa mtu huyo aliuawa na kutumbukizwa kwenye kisima hicho. Akili za kusoma changanya na za kwako
 
Ninaamini kuwa humu jf tuna watu wa usalama wanaofanya kazi pale makao makuu kijitonyama. Ni vema wakatueleza ukweli wa hili tukio

yaani TISS waje hapa jf kukupa maelezo kwamba mwenzao wamemuua au unataka nini waseme? Halafu hapa wajitambulishe kama nani,japo TISS kwa sasa imekuwa kama jumuiya kwenye chama tawala lakini najua hawawezi kufikia hatua ya kuingia jf na kujibu hoja au shutuma wakati wasemaji wao wapo na taratibu za utoaji taarifa naamini wanazo.
 
Na aliefanya Mauaji lazima apandishwe CHEO tehetehetehetehe nchi hii kweli kuna mambo
 
Kwani tss hawafi kwa ugonjwa akifa tss nongwa.
Mkuu, ni kwa vile kuna watu humu jf wanadhani kuwa watumishi wa tiss si sehemu ya jamii hii. Hata kama amekufa kwa sababu zinazojulikana lazima watacook
 
yaani TISS waje hapa jf kukupa maelezo kwamba mwenzao wamemuua au unataka nini waseme? Halafu hapa wajitambulishe kama nani,japo TISS kwa sasa imekuwa kama jumuiya kwenye chama tawala lakini najua hawawezi kufikia hatua ya kuingia jf na kujibu hoja au shutuma wakati wasemaji wao wapo na taratibu za utoaji taarifa naamini wanazo.
Basi tusubiri taarifa ya polisi.
 
Na aliefanya Mauaji lazima apandishwe CHEO tehetehetehetehe nchi hii kweli kuna mambo
Mkuu, kwani huyo peter alikuwa na cheo gani kiasi cha mtu aliyemuua kupata cheo. Najua hapo umefikiria kwa kutumia masaburi. Kwa hiyo kama alijiua atapandishwaje cheo ilhali amekufa?
 
Either utoto au kupenda sifa kupita kiasi kunakufanya uongee vitu ambavyo only family member wanatakiwa kuongea. Hasa ukizingatia kuwa ni wakati wa msiba. UWT hauwezi kuwa na mfanyakazi ambaye ana upungufu kwenye akili, ile kazi sio sawa na kazi yako ya kutoa comments humu na kwenda kuosha viatu vya Mwigulu Nchemba na kuvuta buku saba. No matter what, kifo sio jambo la kukebehi hata kama kwa kufanya hivyo unahisi utamfurahisha boss wako. Furahia kifo cha adui yako lakini sio kukashifu, kukebehi na kuweka tabia zako za kitoto

Hapo kwenye RED mbona kuna watu wanasema kuna kitengo hicho yaani "Vichaa feki" lakini pia niliambiwa kuwa hawa jamaa right from the beggining waambiwa ukifanya makosa (baadhi) huku juu (duniani) mahakama ya kushughulikia hayo haipo hivyo wanatakiwa kuwa makini
 
Kuna kingereza ambacho hakieleweki hapo?
ilitakiwa uiweke kwa kiswahili,mimi nilijua umequote kwenye gazeti la kingereza,kumbe umeamua tu,ujue jamii siku hizi ina kila aina ya member ,hata wale wasiopandisha kimombo.
 
Watu wengine wehu kweli kwa hiyo mleta post anataka kutuambia nini kama watu mmeishiwa hoja si mkae kimya taarifa yenyewe ya kusemekana halafu unalazimisha iwe kweli.
 
Mkuu, akili za kuambiwa changanya na za kwako. Ni bora ungefanya kautafiti japo kidogo ili ujue marehemu alikuwa anakaa wapi na wapi alikuwa anafanyia kazi. Then hapo ndo utajua uhalisia wa jambo hilo

Nimeshachanganya na zangu na kupata majibu yanayoniridhisha. Tunajua Kombe alishutumiwa kuwa alikuwa ana ukaribu na Lyatonga na kumvujishia nyeti nyingi, sitashangaa nikisikia jamaa alikuwa rafiki wa kile chama cha Kinondoni Manyanya. Ila hakuna siri inayodumu milele mwisho wa siku mambo yatawekwa wazi na waliotumwa watawajbika ingawa wale wa Kombe walihukumiwa kifo kimagumashi kisha wakaachiwa kwa msamaha na waliowatuma lakini kuna hukumu ya Mungu ambayo haina ujanjaujanja, dunia ni mapito tu.
 
Basi tusubiri taarifa ya polisi.

We mbona hukusubiri umeanzisha ngonjera za ugonjwa wa akili na ulevi wa kujipaka chakula mwilini? Unataka kutuambia kuwa mttu mzima kukutwa anaelea kisimani ni kifo cha ugonjwa wa kawaida hivyo unawashaa wanaohoji? Kwani huyu marehemu ndio ofisa usalama wa kwanza kufa toka kitengo kianzishwe, mbona hao wengine hawakujadiriwa? There is something fishy here.
 
Nimeshachanganya na zangu na kupata majibu yanayoniridhisha. Tunajua Kombe alishutumiwa kuwa alikuwa ana ukaribu na Lyatonga na kumvujishia nyeti nyingi, sitashangaa nikisikia jamaa alikuwa rafiki wa kile chama cha Kinondoni Manyanya. Ila hakuna siri inayodumu milele mwisho wa siku mambo yatawekwa wazi na waliotumwa watawajbika ingawa wale wa Kombe walihukumiwa kifo kimagumashi kisha wakaachiwa kwa msamaha na waliowatuma lakini kuna hukumu ya Mungu ambayo haina ujanjaujanja, dunia ni mapito tu.
Mkuu, hapo umenistua kweli. Ila maana chadema walikuwa wanamtumia huyu peter, mgonjwa wa akili kupata taarifa nyeti? Ila sishangai sana maana ndani ya chadema kuna watu wa design hiyo kibao wakiongozwa na tundu lisu. Ina maana kumbe maafisa wanaoripoti kwa dr slaa ni kama huyu mwenye matatizo ya akili? Kweli chadema hamnazo. Ni bora kuhangaika kujenga chama imara kuliko kuhangaika kupata taarifa nyeti kupitia kwa wwtu wenye matatiO ya akili
 
Back
Top Bottom