G. Activist
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 482
- 125
Wakuu, ni bora huyo kaka yake angeeleza ukweli au inawezekana alimweleza ukweli mwandishi ila aliandika kivyake. Angeeleza kuwa kaka yake alikuwa na matatizo ya akili na pengine hilo ndo lilikuwa chanzo cha yeye kutumbukia kisimani. Pia kuna uwezekano mkubwa kuwa mwandishi hakupata story kamili na ndo kaana anajichanganya wakati wa kuandika. Mara anasema kuwa post mortem ilikuwa imefanyika na wakati huo huo anasema kuwa alipowasiliana na kenyela alimwamnia kuwa uchunguzi unaendelea. Ni vyema angejikita kwanza kujua matokeo ya hio post moterm
Kwahiyo unataka kutuambia marehemu alikuwa na ugonjwa wa akili?? sasa kile kisima si nasikia huwa mnakilinda, sikuhiyo mlimpeleka wapi mlinzi?!
Wewe kama sio Rama basi Ighondu..