King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wanamalizana wao kwa wao zambi ya kung'oa kucha na meno itaendelea uwt hamtakaa salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani yako inakutuma kuwa kauwa au ni umbea unakusumbua watanzania wangapi wanakufa unaleta post humu jf au unamaslahi na tiss.Na aliefanya Mauaji lazima apandishwe CHEO tehetehetehetehe nchi hii kweli kuna mambo
Ni kwa sababu wengi hawajui ndo maana kila mtu anaongea lake.We mbona hukusubiri umeanzisha ngonjera za ugonjwa wa akili na ulevi wa kujipaka chakula mwilini? Unataka kutuambia kuwa mttu mzima kukutwa anaelea kisimani ni kifo cha ugonjwa wa kawaida hivyo unawashaa wanaohoji? Kwani huyu marehemu ndio ofisa usalama wa kwanza kufa toka kitengo kianzishwe, mbona hao wengine hawakujadiriwa? There is something fishy here.
Mkuu, hadi sasa watumishi wangapi wa idara wameuawa?Wanamalizana wao kwa wao zambi ya kung'oa kucha na meno itaendelea uwt hamtakaa salama
Bado zamu yako,wewe kama unataka kujua undani kwa nini usiende kuwauliza kuliko kuanza kutudanganya humu jff.Wanamalizana wao kwa wao zambi ya kung'oa kucha na meno itaendelea uwt hamtakaa salama
Chadema hawa....
Wakuu, ni bora huyo kaka yake angeeleza ukweli au inawezekana alimweleza ukweli mwandishi ila aliandika kivyake. Angeeleza kuwa kaka yake alikuwa na matatizo ya akili na pengine hilo ndo lilikuwa chanzo cha yeye kutumbukia kisimani. Pia kuna uwezekano mkubwa kuwa mwandishi hakupata story kamili na ndo kaana anajichanganya wakati wa kuandika. Mara anasema kuwa post mortem ilikuwa imefanyika na wakati huo huo anasema kuwa alipowasiliana na kenyela alimwamnia kuwa uchunguzi unaendelea. Ni vyema angejikita kwanza kujua matokeo ya hio post moterm
Imani yako inakwambia kauawa kwa hiyo umechukua hatua zipi za kumsaidia,marangpi watu wanakutwa wamekufa kwani tiss hawafi au wao ni wadogo zake na yesu kwamba wanapata upendeleo kwa mungu.We mbona hukusubiri umeanzisha ngonjera za ugonjwa wa akili na ulevi wa kujipaka chakula mwilini? Unataka kutuambia kuwa mttu mzima kukutwa anaelea kisimani ni kifo cha ugonjwa wa kawaida hivyo unawashaa wanaohoji? Kwani huyu marehemu ndio ofisa usalama wa kwanza kufa toka kitengo kianzishwe, mbona hao wengine hawakujadiriwa? There is something fishy here.
Mkuu, hapo umenistua kweli. Ila maana chadema walikuwa wanamtumia huyu peter, mgonjwa wa akili kupata taarifa nyeti? Ila sishangai sana maana ndani ya chadema kuna watu wa design hiyo kibao wakiongozwa na tundu lisu. Ina maana kumbe maafisa wanaoripoti kwa dr slaa ni kama huyu mwenye matatizo ya akili? Kweli chadema hamnazo. Ni bora kuhangaika kujenga chama imara kuliko kuhangaika kupata taarifa nyeti kupitia kwa wwtu wenye matatiO ya akili
Wewe mwita usifikiri kila mtu anaakili kama ya kwako unavyotumika kubeba sumu kuuwa watu na kuteka nyara.wewe ndiye utakuwa umehsika na kifo chake kwakuwa inaonekana unamfahamu marehemu na hata hali yake ya kiafya.
Nadhani ni vizuri sasa ukatueleza hapa sababu za kumuua huyo bwana Tyenyi ni zipi?
Wakuu, ni bora huyo kaka yake angeeleza ukweli au inawezekana alimweleza ukweli mwandishi ila aliandika kivyake. Angeeleza kuwa kaka yake alikuwa na matatizo ya akili na pengine hilo ndo lilikuwa chanzo cha yeye kutumbukia kisimani. Pia kuna uwezekano mkubwa kuwa mwandishi hakupata story kamili na ndo kaana anajichanganya wakati wa kuandika. Mara anasema kuwa post mortem ilikuwa imefanyika na wakati huo huo anasema kuwa alipowasiliana na kenyela alimwamnia kuwa uchunguzi unaendelea. Ni vyema angejikita kwanza kujua matokeo ya hio post moterm
Jaman me kuna jambo clijui hapa n usalama wa taifa au wa ccm maana taifa haliko salama huo msiba nwa ccm
Imani yako inakwambia kauawa kwa hiyo umechukua hatua zipi za kumsaidia,marangpi watu wanakutwa wamekufa kwani tiss hawafi au wao ni wadogo zake na yesu kwamba wanapata upendeleo kwa mungu.
wewe ndiye utakuwa umehsika na kifo chake kwakuwa inaonekana unamfahamu marehemu na hata hali yake ya kiafya.
Nadhani ni vizuri sasa ukatueleza hapa sababu za kumuua huyo bwana Tyenyi ni zipi?
Mchezo huo anao dr slaa ambaye amepewa shahada ya kupora wake za watu. Taarifa yako haina mashiko kwa vile hujatueleza jina la huyo aliyeuawa, jina la muuaji na jina la mke wake. Vinginevyo moto wa jehannam unakusubiri kwa kusema uongokuna usalama mwingine mkurya amefariki mwaka jana tena yeye alikosana na bosi wake baada ya bosi wake kusemekana anatembea na mke wake jamaa kuuliza kwa nn unatembea mke wangu bosi akamaindi akapigwa sumu kwisha habari yake