Utata kifo cha Afisa Usalama Kijitonyama

Utata kifo cha Afisa Usalama Kijitonyama

Wanamalizana wao kwa wao zambi ya kung'oa kucha na meno itaendelea uwt hamtakaa salama
 
Na aliefanya Mauaji lazima apandishwe CHEO tehetehetehetehe nchi hii kweli kuna mambo
Imani yako inakutuma kuwa kauwa au ni umbea unakusumbua watanzania wangapi wanakufa unaleta post humu jf au unamaslahi na tiss.
 
We mbona hukusubiri umeanzisha ngonjera za ugonjwa wa akili na ulevi wa kujipaka chakula mwilini? Unataka kutuambia kuwa mttu mzima kukutwa anaelea kisimani ni kifo cha ugonjwa wa kawaida hivyo unawashaa wanaohoji? Kwani huyu marehemu ndio ofisa usalama wa kwanza kufa toka kitengo kianzishwe, mbona hao wengine hawakujadiriwa? There is something fishy here.
Ni kwa sababu wengi hawajui ndo maana kila mtu anaongea lake.
 
Wanamalizana wao kwa wao zambi ya kung'oa kucha na meno itaendelea uwt hamtakaa salama
Bado zamu yako,wewe kama unataka kujua undani kwa nini usiende kuwauliza kuliko kuanza kutudanganya humu jff.
 
Amri ya Kinana na Chemba la choo kwa kutoa siri inayohusu Lwakatare na Lissu. Wako wengi mtaua woote?
 
Wakuu, ni bora huyo kaka yake angeeleza ukweli au inawezekana alimweleza ukweli mwandishi ila aliandika kivyake. Angeeleza kuwa kaka yake alikuwa na matatizo ya akili na pengine hilo ndo lilikuwa chanzo cha yeye kutumbukia kisimani. Pia kuna uwezekano mkubwa kuwa mwandishi hakupata story kamili na ndo kaana anajichanganya wakati wa kuandika. Mara anasema kuwa post mortem ilikuwa imefanyika na wakati huo huo anasema kuwa alipowasiliana na kenyela alimwamnia kuwa uchunguzi unaendelea. Ni vyema angejikita kwanza kujua matokeo ya hio post moterm

wewe ndiye utakuwa umehsika na kifo chake kwakuwa inaonekana unamfahamu marehemu na hata hali yake ya kiafya.
Nadhani ni vizuri sasa ukatueleza hapa sababu za kumuua huyo bwana Tyenyi ni zipi?
 
We mbona hukusubiri umeanzisha ngonjera za ugonjwa wa akili na ulevi wa kujipaka chakula mwilini? Unataka kutuambia kuwa mttu mzima kukutwa anaelea kisimani ni kifo cha ugonjwa wa kawaida hivyo unawashaa wanaohoji? Kwani huyu marehemu ndio ofisa usalama wa kwanza kufa toka kitengo kianzishwe, mbona hao wengine hawakujadiriwa? There is something fishy here.
Imani yako inakwambia kauawa kwa hiyo umechukua hatua zipi za kumsaidia,marangpi watu wanakutwa wamekufa kwani tiss hawafi au wao ni wadogo zake na yesu kwamba wanapata upendeleo kwa mungu.
 
Mkuu, hapo umenistua kweli. Ila maana chadema walikuwa wanamtumia huyu peter, mgonjwa wa akili kupata taarifa nyeti? Ila sishangai sana maana ndani ya chadema kuna watu wa design hiyo kibao wakiongozwa na tundu lisu. Ina maana kumbe maafisa wanaoripoti kwa dr slaa ni kama huyu mwenye matatizo ya akili? Kweli chadema hamnazo. Ni bora kuhangaika kujenga chama imara kuliko kuhangaika kupata taarifa nyeti kupitia kwa wwtu wenye matatiO ya akili

Hii hoja watakujibu wenyewe maana wapo wengi humu, bahati mbaya mimi sina ushabiki wa chama chochote sababu waliopo madarakani nimeshawachoka na wanaoomba kuingia bado hawajaoiaminisha kuwa watatufikisha pale tunapopatamani hivyo uwa napiga kura kwa kupima hoja zake bila kujali chama anachotoka. Ila sipendi dhurma na tabia ya watu kubehave kama wataishi milele hapa duniani.
 
wewe ndiye utakuwa umehsika na kifo chake kwakuwa inaonekana unamfahamu marehemu na hata hali yake ya kiafya.
Nadhani ni vizuri sasa ukatueleza hapa sababu za kumuua huyo bwana Tyenyi ni zipi?
Wewe mwita usifikiri kila mtu anaakili kama ya kwako unavyotumika kubeba sumu kuuwa watu na kuteka nyara.
 
Wakuu, ni bora huyo kaka yake angeeleza ukweli au inawezekana alimweleza ukweli mwandishi ila aliandika kivyake. Angeeleza kuwa kaka yake alikuwa na matatizo ya akili na pengine hilo ndo lilikuwa chanzo cha yeye kutumbukia kisimani. Pia kuna uwezekano mkubwa kuwa mwandishi hakupata story kamili na ndo kaana anajichanganya wakati wa kuandika. Mara anasema kuwa post mortem ilikuwa imefanyika na wakati huo huo anasema kuwa alipowasiliana na kenyela alimwamnia kuwa uchunguzi unaendelea. Ni vyema angejikita kwanza kujua matokeo ya hio post moterm

Lizaboni;
Unaonekana unajua undani maana hapo kwenye red umegusia marehemu kuwa na tatizo la Akili, una hakika ama unafurahisha genge, hebu funguka unachokijua. Maana ulichoeleza ni mpango ambao uko nyuma ya pazia uliopangwa kuandikwa katika taarifa kuwa alikuwa na UGONJWA wa AKILI.
 
Imani yako inakwambia kauawa kwa hiyo umechukua hatua zipi za kumsaidia,marangpi watu wanakutwa wamekufa kwani tiss hawafi au wao ni wadogo zake na yesu kwamba wanapata upendeleo kwa mungu.

Ivi nawe ni mnufaika wa standardization ya haya matokeo yaliyotangazwa juzi nini? Kwenye hiyo post uliyoiquote kuna sehemu niliyosema TISS hawafi au nimemeweka wazi kuwa wanakufa bali kinachohojiwa ni aina ya kifo tena ofisini na ofisi ilishasema mtumishi hakufika kazini? Kwa hapa duniani hakuna wa kumsaidia aliyekufa lakini mbinguni yupo, kila aliyeua nafsi ata kama ni yake mwenyewe aandae majibu ya kutosha siku ya haki.
 
huyo atakuwa amegundulika kuvujisha siri na wamemnyamanzisha kiaina. Hawa jamaa taratbu zao huwez kuacha kazi lazma wakuue na wakikugundua mtoboaji wa dili wanakuRIP vle vle. Ndo maana mabele marando na mrema bdo ni wafanyakazi wa TISS na wanalipwa.
 
hiyo kazi ni mbaya sana. mbaya mno.
 
wewe ndiye utakuwa umehsika na kifo chake kwakuwa inaonekana unamfahamu marehemu na hata hali yake ya kiafya.
Nadhani ni vizuri sasa ukatueleza hapa sababu za kumuua huyo bwana Tyenyi ni zipi?

Hapo penye red...Hivi kuna mtu yeyote anaweza kuthibitisha kuwa bwana Tyenyi alikuwa na matatizo ya akili na alikuwa anapata matibabu Hospitali ipi hapa Dar?
 
kuna usalama mwingine mkurya amefariki mwaka jana tena yeye alikosana na bosi wake baada ya bosi wake kusemekana anatembea na mke wake jamaa kuuliza kwa nn unatembea mke wangu bosi akamaindi akapigwa sumu kwisha habari yake
 
kuna usalama mwingine mkurya amefariki mwaka jana tena yeye alikosana na bosi wake baada ya bosi wake kusemekana anatembea na mke wake jamaa kuuliza kwa nn unatembea mke wangu bosi akamaindi akapigwa sumu kwisha habari yake
Mchezo huo anao dr slaa ambaye amepewa shahada ya kupora wake za watu. Taarifa yako haina mashiko kwa vile hujatueleza jina la huyo aliyeuawa, jina la muuaji na jina la mke wake. Vinginevyo moto wa jehannam unakusubiri kwa kusema uongo
 
Back
Top Bottom