Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Ni bwana Oezeama kama sikosei.
Mwamba huyo ni Mchungaji lakini 2019 alikamatwa kwa tuhuma za kukutwa na zaidi ya kilo 20 za unga wa cocaine na pamoja naye pia walikatwa wazungu wawili aliokutwa nao.
Inasemekana bwana yule kafia Gerezani Segerea kwa shinikizo la damu.
Duru za eneo lile zinatabanaisha kushtushwa na taarifa hizo kwa sababu yule bwana ni muda mrefu hakuonekana hadi taarifa za kifo chake kutolewa leo Mahakamani na Wakili.
Mamlaka ichunguze jambo hilo huenda mtuhumiwa katoroshwa.
Isijekuwa alishaishia muda mrefu wanatatufa kutupiga changa la mato.Ni bwana Oezeama kama sikosei.
Mwamba huyo ni Mchungaji lakini 2019 alikamatwa kwa tuhuma za kukutwa na zaidi ya kilo 20 za unga wa cocaine na pamoja naye pia walikamatwa wazungu wawili aliokutwa nao.
Inasemekana bwana yule kafia Gerezani Segerea kwa shinikizo la damu.
Duru za eneo lile zinatabanaisha kushtushwa na taarifa hizo kwa sababu yule bwana ni muda mrefu hakuonekana hadi taarifa za kifo chake kutolewa leo Mahakamani na Wakili.
Mamlaka ichunguze jambo hilo huenda mtuhumiwa katoroshwa.
Dada kaondoka na maiti peke yake? Imeisha hiyoooooView attachment 2463926
Hajatoroshwa huyu dada Antonia ndiye aliondoka na maiti yake!
Huyu mdada naye pia alikuwa mahabusu miaka nane!
Kesi yake ilitajwa kama two weeks ago!
Ala plea bargain amelipa m25!
Ni kesi ya madawa!
Kufa amekufa kweli!
View attachment 2463926
Hajatoroshwa huyu dada Antonia ndiye aliondoka na maiti yake!
Huyu mdada naye pia alikuwa mahabusu miaka nane!
Kesi yake ilitajwa kama two weeks ago!
Ala plea bargain amelipa m25!
Ni kesi ya madawa!
Kufa amekufa kweli!
MochwariKapeleka wapi?
Kwa hio kaondoka na maiti?View attachment 2463931
Huyu mdada ni mnigeria pia!
Kapeleka wapi?
Kwa hio kaondoka na maiti?
Ameondoka vipi na maiti akiwa bado yupo mahabusu?View attachment 2463926
Hajatoroshwa huyu dada Antonia ndiye aliondoka na maiti yake!
Huyu mdada naye pia alikuwa mahabusu miaka nane!
Kesi yake ilitajwa kama two weeks ago!
Ala plea bargain amelipa m25!
Ni kesi ya madawa!
Kufa amekufa kweli!
Ana guu la biaView attachment 2463926
Hajatoroshwa huyu dada Antonia ndiye aliondoka na maiti yake!
Huyu mdada naye pia alikuwa mahabusu miaka nane!
Kesi yake ilitajwa kama two weeks ago!
Ala plea bargain amelipa m25!
Ni kesi ya madawa!
Kufa amekufa kweli!
Exactly Kuna black market nyuma ya pazia mkuuBinafsi nimegundua Madawa ya Kulevya ni Mtandao mgumu sana kupambana nao.
Ni kama vile hadi State House wapo wanao jihusisha na Biashara hiyo.
Imeisha iyoDuuuh