Tetesi: Utata mkubwa ripoti ya CAG , kuna uhariri umefanyika



Kungekuwa na kura ya maoni ya kuaminika ikafanyika ndio wangekuamini unamaanisha nini? Sana sana hapa utatukanwa na wanaoendeleza huu mkakati ulioshindwa kabla ya kuanza. Nilipo fanya sala leo viongozi hawakukumbuka hata kuongelea kulikumbuka kuliombea Taifa na Viongozi wake. Nyoyo zao zimekuwa mzito kiasi cha kufanya wasahau wajibu wao huo.
 
We kweli jinga unauliza SGR imeingiza faida wakati haijaanza kufanya kazi
 
Ulitaka aulizwe nani?
 
Watu wanahangaika sana kuposti. Kusifu au kukashifu, mzee alikuwa na mazuri na mapungufu pia..ndivyo binadamu tulivyo...tukubali kulikuwa na mazuri na mabaya. Tatizo lipo kwenye mizani imeegemea upande upi......
Kwenye mabaya
 
Mjinga bibi mkubwa wako kwani umeliazimishwa kusima?
Tuliza mshono wewe kiwewe.
Habari zenu zimekwisha na sasa hivi lazima mtafute ridhiki yenu kwa nguvu na jasho haswaa.

Mkizoea kulishwa kama kinda la ndege shorwe
 
Inabidi waitwe hawa. Wakifungiwa kwa matumizi mabaya ya vyombo vya habari..wanaanza kulia lia.
 
Mnajaza server bure,....!
 
Tuliza mshono wewe kiwewe.
Habari zenu zimekwisha na sasa hivi lazima mtafute ridhiki yenu kwa nguvu na jasho haswaa.

Mkizoea kulishwa kama kinda la ndege shorwe
Shorwe...hahaha ndege wajanja wajanja hawa kuliko mbayuwayu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…