Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Wasanii, uzeni rekodi nzuri mujulikane badala ya kutegemea vituko kama sehemu ya kujitangaza.
Imekuwa ni uchafu tuuuu!
 
Sasa mnasema tu kakamatwa kosa alofanya ni lipi? na sidhani kama ni rahisi tena kukamata Msanii baada ya lile tukio la Nay...pia kama Polisi wana shida naye nadhani wangemuita kuliko kufanya tukio litakalovuta attention za Watu.

Ukute tu ana tofauti na wenzake nyie mbakie ametekwa na Polisi.
 
Wameenda polisi kutoa taarifa,kwa akili yako mtu hawezi kwenda polisi kama anatafuta kiki.
Swala ni haijulikani waliomchukua na ingefahamika tungejua aliko kama ilivyokua kwa Nay istoshe haieleweki sababu ya kuchukuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…