dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
aiseeMaisha magumu Hadi uku freemason hawajatulipa mwezi wa Saba huu
Pwahahahaha!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseeMaisha magumu Hadi uku freemason hawajatulipa mwezi wa Saba huu
Nafsi katika muktadha upi?Je una nafsi /roho?
Nini maana ya muktadha?Nafsi katika muktadha upi?
Muktadha ni katika hali fulani ,mfano ya kidini, kitamaduni, kihistoria, kisaikolojia, kiflsafa na nk.Nini maana ya muktadha?
Fafanua unaelewa nini kuhusu nafsi kulingana na maana ya muktadha kama ulivyotangulia kufafanua.Muktadha ni katika hali fulani ,mfano ya kidini, kitamaduni, kihistoria, kisaikolojia, kiflsafa na nk.
Katika muktadha wa kisaiklojia nafsi ina maanisha hisia ,fikra na matendo ya mtu .Fafanua unaelewa nini kuhusu nafsi kulingana na maana ya muktadha kama ulivyotangulia kufafanua.
Hisia maana yake nini?Katika muktadha wa kisaiklojia nafsi ina maanisha hisia ,fikra na matendo ya mtu .
Fikra ni mchakato wa kiakili wa kutafakari na kuchambua na kuzingatia jambo fulani.Hisia maana yake nini?
Na pia fikra mana yake nini?
Unaweza kuthibitisha kwamba hivyo vitu vipo?Fikra ni mchakato wa kiakili wa kutafakari na kuchambua na kuzingatia jambo fulani.
Hisia hali ya kimhemko ,inayotokea kwa mtu kama furaha huzuni hasira na nk ambayo huchochewa na mabadiliko ya hormone.
Siwezi thibitisha niniUMenena neno la busara na ungeishia hapa ingependeza sana
Kama haupo na huwez thibitisha ni kwann uanze kuita watu matapel ?
UKitaka kutukanwa na wana JF mwisho wa habar yako wakutane na "INAENDELEA" au "NARUDI KUMALIZIA"Duh, ulivyohitimisha sasa!
Kwa hiyo mkuu umeamua kujihami kimtindo?UKitaka kutukanwa na wana JF mwisho wa habar yako wakutane na "INAENDELEA" au "NARUDI KUMALIZIA"
😂
Eeh ndioKwa hiyo mkuu umeamua kujihami kimtindo?
Maisha magumu Hadi uku freemason hawajatulipa mwezi wa Saba huu