Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Hatari
 
Daaha na yule Wazir wa fedha somebody Muhina kama sjakosea mana ilikua gafla tu Mara kafia South
Huyo ccm iliplay kila kitu walisigana masuala ya hela akaleta msimamo wake wa kiuadilifu kwa sasa ni historia. Hivi unakumbka hata hapa JF watu walihoji tangu lini madelu amegeuka msemaji wa familia ya mgimwa .

Eti yeye anajua kiilichomuua wakati family ya marehemu wanasema hawajui kisa tu walifanya nae kazi BOT. Wakikuona km kikwazo watakuondoa hawashindwi Mungu ana makusudi na Lissu
 
Anzisha uzi wako tafadhali na mambo yako ya ushabik wa kijinga.
 
Una uhakika na haya uliyoandika?
 
Hivi maonyesho ya sabasaba ni tare 7 april?
 
Huu uzi unanza kunitisha hivi kuuliza sio ujinga wajameni hivi Tanzania tuna muda gani wa kisheria kuruhusiwa kutoa classified information kwenye public domain ?

Sheria yenyewe tunayo kweli ?
 
kweli kuna vitoto humu "Imram Kombe" shushu no. moja
Unapoambiwa karma ufanya revenge kwa mda wake na kamwe aliepukiki unatakiwa ukubali . Ni huyo huyo General Imran Kombe Spy Chief by then ndie alieandaa mazingira kama si njia ya kumuondoa yule mmasai kipenzi cha watu.

Malipo yote ni hapa hapa duniani huko ahera ni mengine.
 
Mmmh mkuu wiki tatu nne wakati akina babu seya wameachiwa 9 desemba mkuu
Leo ni 27 ni wiki mbili tu tangu watoke na askari tangu wauawe nadhani ni wiki sasa kipindi hicho babu Sega hakumaliza at a wiki 2 uraiani
 
Mkuu sina shaka na uelewa wako,lakini napata shaka unapohusisha jina Aikael na kuleta uhuru wa kweli toka kwa mabepari!.....kuna dots hujaziunganisha vizuri
 
Kuna Cloves ambazo ni transparent ambazo hata Mtu akivaa anaweza kupita kwny machine au kuchukuliwa fingerprint bila ya mchukuaji kujua kuwa anaechukuliwa kavaa, huenda ndio zilitumika
Wee Pohamba ni Cloves au Gloves? Kweli jasiri aachi asili.
 
Kagame tena, ili iweje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…