Horace Kolimba (Kinana wa wakati huo) akaanza kukinanga Chama na Serikal hadharani akaitwa kujieleza kwny Kamati kuu, Mama Yake Mzazi alimkataza asiende Dodoma lakin Yeye na usomi wake akabeba Makabrasha ya ushahidi wa hoja zake
Alirudishwa kwny sanduku!
Sometime huwa nasema hata Yale maradhi ya Hayati Aboud Jumbe yaliyoanza baada ya kupinduliwa Dodoma Jan, 1984 pengine yalilenga 'kudumisha Muungano'
Nani waliokuwa nyuma ya hii mission?Na waliye mtarget ingempata ingekuwaje?
Na waliye mtarget ingempata ingekuwaje?
Mapinduzi ya Congo sisi Watanzania Yanatuhusu nini? Naomba unielewesheTargeted na aliekuwemo Sabasaba na Hayati Dkt Omar alikuwa ni Joseph Laurent Kabila sio Yoweri Kaguta Museveni!
Kipindi hicho Joseph Kabila alikuwa anapambana na Waasi waliokuwa wanajiita Banyamulenge waliokuwa wamejificha Misitu ya Mashariki ya Congo na lengo Lao lilikuwa kuipindua Serikal
Kiongozi wa Waasi Hao alikuwa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dat Es salaam akiitwa Prof Wamba Dia Wamba!
Nimeshakutafunia, kazi yako ni kuunganisha dots tu
Mapinduzi ya Congo sisi Watanzania Yanatuhusu nn?Naomba unieleweshe
Ukitaka kufundishwa kasome HGL private candidateStory yako inatufundisha ??
Natamani kujua ila nashukuruHilo ni Somo refu sana Ndugu yangu hapa tutatoka nje ya mada!
Pengine Leo Hii tuna Amani Tamzania kwa kuwa Congo Hakuna Amani n.k
hapa kuna jabo llilofichika??Imran Kombe, alipigiwa risasi maeneo ya Maili Sita, Wilaya ya Hai, Kilimanjaro, akidhaniwa ni jambazi.
Mkewe anaitwa Roseleen Kombe.
Kwa wale wasomi wa sheria watakuwa wameiona hii kesi katika Criminal and Civil.
Ila wauaji waliachiwa kwa msamaha mwaka 2012 kama sikosei.
Ila hawakuachiwa wakati wa sherehe ya kitaifa
Targeted na aliekuwemo Sabasaba na Hayati Dkt Omar alikuwa ni Joseph Laurent Kabila sio Yoweri Kaguta Museveni!
Kipindi hicho Joseph Kabila alikuwa anapambana na Waasi waliokuwa wanajiita Banyamulenge waliokuwa wamejificha Misitu ya Mashariki ya Congo na lengo Lao lilikuwa kuipindua Serikal
Kiongozi wa Waasi Hao alikuwa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dat Es salaam akiitwa Prof Wamba Dia Wamba!
Nimeshakutafunia, kazi yako ni kuunganisha dots tu
Inasemekana Imran Kombe alimalizwa kwa mkono wa serikali iliyokuwepo madarakani kwa sabab alikuwa anavujisha siri kwa mpinzani wa wakati ule Mrema. Kuna utata mkubwa wa mauaji yake unabainika kwa maswali yafuatayo:
1. Kama askari walidhani ni mhalifu kwann walimpiga risasi kifuani ilhali hakuwa na silaha na alijisalimisha kwa kunyoosha mikono
2. Walipohukumiwa kunyongwa rais mkapa akabadilisha ikawa kifungo cha maisha na mwaka 2011 wakapata msamaha wakaachiwa. Baada ya gazeti la mwananchi kuandika juu ya msamaha wa Rais kikwete, Rais alikanusha na kusema yeye wakati anaingia alikuta huo msamaha ukiwepo..
Inasemekana kulkuwa na mkono wa Kagame kwny haya mauaji
tutawaelewa tu wee tulia...naona bado spirit haijafika mahala pakembona humueleweki!
Huyo prof Dia wamba aliendesha mapambano akiwa dar au Congo??Targeted na aliekuwemo Sabasaba na Hayati Dkt Omar alikuwa ni Joseph Laurent Kabila sio Yoweri Kaguta Museveni!
Kipindi hicho Joseph Kabila alikuwa anapambana na Waasi waliokuwa wanajiita Banyamulenge waliokuwa wamejificha Misitu ya Mashariki ya Congo na lengo Lao lilikuwa kuipindua Serikal
Kiongozi wa Waasi Hao alikuwa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dat Es salaam akiitwa Prof Wamba Dia Wamba!
Nimeshakutafunia, kazi yako ni kuunganisha dots tu
Mapinduzi ya Congo sisi Watanzania Yanatuhusu nn?Naomba unieleweshe
prof Dia Wamba aliendesha mapambano akiwa dar au congo?Targeted na aliekuwemo Sabasaba na Hayati Dkt Omar alikuwa ni Joseph Laurent Kabila sio Yoweri Kaguta Museveni!
Kipindi hicho Joseph Kabila alikuwa anapambana na Waasi waliokuwa wanajiita Banyamulenge waliokuwa wamejificha Misitu ya Mashariki ya Congo na lengo Lao lilikuwa kuipindua Serikal
Kiongozi wa Waasi Hao alikuwa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dat Es salaam akiitwa Prof Wamba Dia Wamba!
Nimeshakutafunia, kazi yako ni kuunganisha dots tu