Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Horace Kolimba (Kinana wa wakati huo) akaanza kukinanga Chama na Serikal hadharani akaitwa kujieleza kwny Kamati kuu, Mama Yake Mzazi alimkataza asiende Dodoma lakin Yeye na usomi na ujuaji wake akabeba Makabrasha ya ushahidi wa hoja zake
Alirudishwa kwny sanduku!

Sometime huwa nasema hata Yale maradhi ya Hayati Aboud Jumbe yaliyoanza baada ya kupinduliwa Dodoma Jan, 1984 pengine yalilenga 'kudumisha Muungano'
Pohamba umepatwa na nini au umempokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi katika maisha yako [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Just a joke bro, don't take it seriuosly
 
Kakobe yeye anaweza akatapika mpaka nyongo ila kamwe atakua anatwanga maji kwenye kinu . Hivi mnakumbuka ule waraka wa kakobe aliomuandikia Khalfani Kipindi kile akidai umetoka kwa Mungu ? Tatizo mnasahau labda changamoto za kimaisha !

Siku atakapotoa neno mwanakitengo a.k.a Dar archbishop hapo ndipo nitajua tunaelekea ukombozi kupitia pia viongozi wa dini Ila kwasasa there is nothing going on. Take it from me bila katiba mpya ccm itatawala milele
hiyo katiba kupatikana sasa ndio shughuli [emoji17]
 
Sio kwamba alimunderestimate, wanajisahau wakizani zile power walizokuwa nazo bado zipo, hili kosa pia mkwere alilifanya kwa sizonje ila alipobipiwa faster akarudi kwenye mstali, sasa imebaki anatoa mipasho tu.
Ha ha ha nimekuelewa sana mkuu, ni kama mzazi kwa mtoto hudhani ataweza kum control mtoto hata akikua na kuwa na familia, kumbe mtoto akikua huwa anamaamuzi yake na mshua hubaki kutoa ushauri tu ambao unaweza ukafuatwa au usifuatwe ha ha
 
Haha mmakua hakuwataka boys2men!! Alimpa dossier Kali kinana na Mangula wawashughulikie!! Kilichotokea ni historia!! Mzee akasalimu amri katikati ya pambano!!!


Nimekumbuka kitu hapa.

Prof, Dr, halafu mvulana akawa wa tatu, ila sijui nini tena!
 
Mkuu bado ujanishawishi inshu ya BABU SEYA naona Hamna mausiano na KIKWETE ila siasa tu imeingizwa .labda nikuhulize swali hivi inshu ya SEYA haina mahusiano na siasa za Kongo kwa kabila maana baada ya BABU SEYA kutoka jera baada ya week kama tatu nne hivi tukapata msiba huko Kongo wanajeshi wetu 12 wameuwawa na wengine kama 40 majeruwi uwoni kama kuna kitu nyuma ya panzia

Hivi ni kipi kilianza? Ni Msiba au msamaha? Wakati mwingine unapo andika Jambo lolote uhakikishe una uhakika nalo haipendezi kuandika uwongo.
 
Nyie hebu kila mmoja amuingilie mwenzie PM mmalizane kiu zenyu huko, mnaturefushia huu uzi kwa malumbano ya adolescence.


povu la nini?

kama hujui kaa kimya.

yawezekana hayo majibizano ndiyo yame update uzi na ukaweza kuona hayo unayosema mazuri.

Ama kweli kuna watu na miti
 
Sio kwamba alimunderestimate, wanajisahau wakizani zile power walizokuwa nazo bado zipo, hili kosa pia mkwere alilifanya kwa sizonje ila alipobipiwa faster akarudi kwenye mstali, sasa imebaki anatoa mipasho tu.


Mkuu nimekuheshimu hizi habari si za kitoto
 
Kakobe yeye anaweza akatapika mpaka nyongo ila kamwe atakua anatwanga maji kwenye kinu . Hivi mnakumbuka ule waraka wa kakobe aliomuandikia Khalfani Kipindi kile akidai umetoka kwa Mungu ? Tatizo mnasahau labda changamoto za kimaisha !

Siku atakapotoa neno mwanakitengo a.k.a Dar archbishop hapo ndipo nitajua tunaelekea ukombozi kupitia pia viongozi wa dini Ila kwasasa there is nothing going on. Take it from me bila katiba mpya ccm itatawala milele
Mzee katiba mpya ambayo tunaitaka sisi sote wananchi wa Tanzania ni ngumu kuipata... Ila usishangae tukapata katiba mpya ambayo itawaweka watu kwenye kigoda kwa muda mrefu....
 
hiyo katiba kupatikana sasa ndio shughuli [emoji17]
Wananchi wakiamua watapata katiba yao pale ambapo wataamka kutoka usingizini . Watu wanahisi kudai katiba ni suala la Mbowe na Hashim Rungwe hilo ni suala la wote hata kwa sisi diaspora .

When we will change our minds and attitudes tutapata katiba siyo hicho cha chama kimoja.
 
Hii ID ni Pohamba au imehakiwa?

Anway, sasa mkuu, mbona mtoa mada anadai mzee kadanja 7/4 akitokea sabasaba wakati sabasaba ni tareh 7/7?
Punguza maji kwenye kichwa chako, sherehe za ufunguzi za sabasaba na kugawa zawadi huwa hazifanyiki kwenye kilele cha tarehe, huwa kabla ya 7/7
 
Wananchi wakiamua watapata katiba yao pale ambapo wataamka kutoka usingizini . Watu wanahisi kudai katiba ni suala la Mbowe na Hashim Rungwe hilo ni suala la wote hata kwa sisi diaspora .

When we will change our minds and attitudes tutapata katiba siyo hicho cha chama kimoja.
sure, ila Diaspora wengi ni wanafki sio wa kuwategemea hata.
 
Back
Top Bottom