Waulize Dr Kashimba alie na Siri aina ya majeraha ambayo hata Familia ilikataliwa kuona, pia Muulize Mzee Kizota yule mwenye Bar viwanja vya Saba Saba, alikuwa bodi gadi yake, wakimbizi waliokuwepo maeneo ya karibu na ajali wanadai kuona bodi gadi huyo akifyatua risasi, muda mfupi tu baada ya mheshimiwa kutoka nje ta gari kujaribu kukimbia. Muulize Mwalimu Nyerere aliekuwa Rahisi wa Tanzania
Asante kwa picha lakini bado hizo picha hazijibu maswali mengi,ukiangalia vizuri hayo maswali yote yame base kwenye kupata reality kwa mfano taarifa ya polisi inasemaje? lazima kulifanyika uxhunguzi wa kina kubaini chanzo cha ajali hiyo kama unafanywa uchunguzi kwa ajali za watu wa kawaida itakua kwa waziri mkuu?
Asante kwa picha lakini bado hizo picha hazijibu maswali mengi,ukiangalia vizuri hayo maswali yote yame base kwenye kupata reality kwa mfano taarifa ya polisi inasemaje? lazima kulifanyika uxhunguzi wa kina kubaini chanzo cha ajali hiyo kama unafanywa uchunguzi kwa ajali za watu wa kawaida itakua kwa waziri mkuu?
Nakumbuka ilikuwa ni jumapili ya tarehe 15 April 1984 nikiwa Arusha. tulikuwa kanisani kwenye ibada ya jumapili katika kanisa lilo kando ya barabara ya uhuru ( kwasasa karibu na shoprite) waumini wote tulitoka nje ya kanisa kuangalia mwili wa Sokoine ukipitishwa kuelekea Munduli kwa Maziko, nakumbuka jinsi watu walivyokuwa na simanzi wakati huo
nakumbuka ilikuwa ni jumapili ya tarehe 15 april 1984 nikiwa arusha. Tulikuwa kanisani kwenye ibada ya jumapili katika kanisa lilo kando ya barabara ya uhuru ( kwasasa karibu na shoprite) waumini wote tulitoka nje ya kanisa kuangalia mwili wa sokoine ukipitishwa kuelekea munduli kwa maziko, nakumbuka jinsi watu walivyokuwa na simanzi wakati huo
nilikua bado mdogo sana,ila nakumbuka kipindi wanatangaza ndo nilikua natoka RTC kununua sukari ,ndo nikasikia ulikua mshituko na hudhuni sana tulifuatilia mazishi live kupitia RTD.Waulize Dr Kashimba alie na Siri aina ya majeraha ambayo hata Familia ilikataliwa kuona, pia Muulize Mzee Kizota yule mwenye Bar viwanja vya Saba Saba, alikuwa bodi gadi yake, wakimbizi waliokuwepo maeneo ya karibu na ajali wanadai kuona bodi gadi huyo akifyatua risasi, muda mfupi tu baada ya mheshimiwa kutoka nje ta gari kujaribu kukimbia. Muulize Mwalimu Nyerere aliekuwa Rahisi wa Tanzania
Ila ukweli kabiiisa tu ni kwamba hiki kifo cha SOKOINE kilikuwa na mikono ya watu siyo bure.Haiwezekani wanafamilia wakataliwe hata ile kuuosha tu mwili wa MAREHEMU kama vile hakuwa ndugu yao.CCM hii tabia ya kuuana wameianza kitambo saaana na watanzania wanajua kila mauaji yaliyokuwa yakifanywa na hawa wenzetu ila mikwara iliyokuwa inapigwa na government hapo nyuma iliwafanya watu wasihoji chochote juu ya maovu yaliyokuwa yakifanywa.
Usipende kupekuapekua sehemu zenye siri
Pichani ni gari lililosababisha kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Mhe:Edward Moringe Sokoine mnamo Tar 12 Mwezi 04 Mwaka 1984 wakati akitokea kwenye kikao cha Bunge mjini Dodoma kwenda jijini Dar – Es – Salaam
Picha hapo chini ikimuonyesha Baba wa Taifa ambaye naye ni marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akilia kwa uchungu baada ya kuona mwili wa aliyekuwa rafiki yake kipenzi Waziri Edward Sokoine ukiwa umelala milele.
Sokoine alifariki kwa ajali ya gari Jumatano ya Aprili 12, 1984 saa 11:30 jioni wakati akitoka kwenye kikao cha bunge Dodoma kuelekea Dar es Salaam
Mwili wa Edward Moringe Sokoine ulizikwa nyumbani kwao Monduli, mkoani Arusha!
Hayo mengine ni maswali ya hisia tu ambayo kila mwenye hisia zake moyoni hana budi kujiuliza bt all in all apumzike kwa amani milele!
Official version ni kwamba Sokoine alifariki Aprili 12, 1984 Dumila, mkoani Morogoro, baada ya gari lake kugongana na Toyota Land Cruiser pickup (kama hiyo hapo chini) iliyokuwa ikiendeshwa na mkimbizi kutoka Afrika Kusini Dumisani Dube. Mwanachama huyo wa ANC alifikishwa mahakamani akikabiliwa na shtaka la kusababisha kifo kwa uendeshaji hatari, lakini baadae aliachiwa huru.
Asante kwa picha lakini bado hizo picha hazijibu maswali mengi,ukiangalia vizuri hayo maswali yote yame base kwenye kupata reality kwa mfano taarifa ya polisi inasemaje? lazima kulifanyika uxhunguzi wa kina kubaini chanzo cha ajali hiyo kama unafanywa uchunguzi kwa ajali za watu wa kawaida itakua kwa waziri mkuu?