Utata wa Kifo Cha Hayati Sokoine

Utata wa Kifo Cha Hayati Sokoine

Miaka ya 1977 hadi 1989, Mhe Lowassa alikuwa akifanya kazi kama mwajiriwa wa chama cha TANU na baadaye CCM, alikuwa Kada wa Chama. Mwaka 1984 wakati Sokoine anafariki Mhe Lowassa alikuwa Uingereza akichukua Masters ya Development Studies, University of BATH.


Nashukuru kwa majibu mazuri Mkuu!
Je? Aliweza kuja na kushiriki mazishi ya Sokoine kweli?
 
Itakuwa umechanganya Sokoine na Chacha wangwe, Chacha Aliuawa na wahafidhina ila Sokoine alikufa kwenye ajali ya kawaida ya gari!


Wewe ndondocha tunapekuwa mambo ya maana unatuletea akili yako finyu kama ulivyo.
Toka kwenye thread hii kama unashindwa kuleta mawazo yenye ncha hapa mj....ing..a wee!

UNANIUDHI WEWE HUJUI TU!
 
Wewe ndondocha tunapekuwa mambo ya maana unatuletea akili yako finyu kama ulivyo.
Toka kwenye thread hii kama unashindwa kuleta mawazo yenye ncha hapa mj....ing..a wee!

UNANIUDHI WEWE HUJUI TU!

Una uwezo wa kupekua jambo likapekulika wewe?
 
Waulize Dr Kashimba alie na Siri aina ya majeraha ambayo hata Familia ilikataliwa kuona, pia Muulize Mzee Kizota yule mwenye Bar viwanja vya Saba Saba, alikuwa bodi gadi yake, wakimbizi waliokuwepo maeneo ya karibu na ajali wanadai kuona bodi gadi huyo akifyatua risasi, muda mfupi tu baada ya mheshimiwa kutoka nje ta gari kujaribu kukimbia. Muulize Mwalimu Nyerere aliekuwa Rahisi wa Tanzania

Na VIPI CLEOPA DAVID MSUYA ambaye alikuwa anagoma kupekuliwa kwa ULANGUZI yeye na RAFIKI ZAKE wa KIHINDI? HUO NDIO ULIKUWA UGOMVI MKUU

Sio eti RAHISI wa TANZANIA... Acheni kupindisha Maneno Wanakijiji
 
Una uwezo wa kupekua jambo likapekulika wewe?
Ha ha ha!
Unanikumbusha nafikiri mwaka 1972/3 wakati waandshi wa habari wawili, Carl Bernstein na Bob Woodward walipokuwa wanachunguza kashfa ya Rais Nixon, walipewa kavu kavu walipoenda ofisi moja nyeti.

Wao walienda kwa sheria ya uhuru wa magazeti, na wakasema"we want to know the truth about the Watergate scandal"
Huko walimkuta ofisa mmoja mkali kweli kweli akawajibu, " can you HANDLE the truth?"

Jamaa walipoelewa wakaishia.

Katika hili la Sokoine, the truth can be explosive, let bygones be bygones.
 
kwa kifupi kifo cha Sokoine kilipangwa kitaalam kuliko wengi tujuavyo. Sokoine alipigwa lisasi kwanza ndo akagongwa na gari ili kupoteza ushahidi....hata uchunguzi wa dactari ulithibitisha kuwa mwili ulikuwa na tobo ya lisasi, na alivytaka kutoa taarifa akafungwa mdomo, vinginevyo na yeye angemalizwa. Hizi habari huwezi zipata kwa vitabu wala aticles

ila utazipata kwenye kahawa? right?
 
Mkuu mbona mnazidi kuleta majibu yenye utata. kwanza unasema gari iliyosababisha ajali ndio hii apo juu (Toyota Land Cruser) alafu ushaidi mwingine huu hapa chini unaonyesha gari ingine iliyosababisha ajali.

Pichani ni gari lililosababisha kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Mhe:Edward Moringe Sokoine mnamo Tar 12 Mwezi 04 Mwaka 1984 wakati akitokea kwenye kikao cha Bunge mjini Dodoma kwenda jijini Dar – Es – Salaam

sokoine.jpg

Hili gari lililopondeka ni Mercedes-Benz 200 (series 123) aliyokuwa akisafiria Sokoine. Hapa ni baada ya kugongana na pickup iliyokuwa ikiendeshwa na Dumisani Dube. Mercedes-Benz aliyokuwa akitembelea waziri mkuu enzi hizo lilikuwa na gari la kawaida sana ikilinganishwa na hizi Toyota Land Cruiser V8 na magari mengine ya kifahari yanayotumiwa na viongozi wa sasa.
 
Ni kweli mkuu sokoine amesha kufa ila yawezekana hujui umuhimu wa kuwa na taarifa kamili kwenye vifo vilivyoo jaa utata kwa maslahi binafsi ama ya umma, sometimes ni very risk kudadisi haya mambo but inabidi tu iwe hivyo kutokana na mambo kadha wa kadha.

kaka kilicho wazi ni kuwa sokoine alikufa kwenye ajali! wakati ule tuliokuwepo tulikuwa tunaiamini sana serikali yetu, sidhani kama kuna yeyote hapa atakayekupa taarifa tofauti na hii ya ajali, those times government was real a government, kama kulikuwa na siri nyingine nyuma ya ajali, amini hakuna atakayekupa, usalama wa taifa ulikuwa imara sana (nyakati zile tulikuwaga tunasema serikali ina masikio marefu) kumaanisha hata ukiongea mambo yako kwa siri utakamatwa tu! so usijidanganye hapa, no ONE KNOWS exactly what the issue was! usalama wa taifa wa wakati ule walikuwa wamefundwa kwelikweli, siri ni SIRI KWELI!
 
Mwambie atafute kwanza utata ishu nzima ya Daudi Balali. Ilitokea juzi juzi tu wakati yeye keshazaliwa.

We jamaa unakomaa na ishu ya balali wakati mada ina muhusu sokoine we niaje bana? kama hauna cha kuchangia si upige kimya tu.
 
Nashukuru kwa majibu mazuri Mkuu!
Je? Aliweza kuja na kushiriki mazishi ya Sokoine kweli?

Mchawi huwa ana hofu sana kushiriki mazishi ya mtu ambaye alishiriki kumwua...... tetesi ni kwamba Lowassa, Cleopa, Kawawa ndiyo waliompoteza Sokoine kwakuwa alikuwa kinara wa kupiga vita uhujumu uchuni
 
Mchawi huwa ana hofu sana kushiriki mazishi ya mtu ambaye alishiriki kumwua...... tetesi ni kwamba Lowassa, Cleopa, Kawawa ndiyo waliompoteza Sokoine kwakuwa alikuwa kinara wa kupiga vita uhujumu uchuni

Nimesha anza kupata connection ya utajiri wa lowassa,ila kwa kawawa napata shida kuamini kidogo alishiriki hii kitu kwa madhumuni gani? maana kama ni kwa lengo la kufanya biashara ya kilanguzi mbona mzee mfaume kafa hana hata hela ya kununulia shuka?
 
Pichani ni gari lililosababisha kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Mhe:Edward Moringe Sokoine mnamo Tar 12 Mwezi 04 Mwaka 1984 wakati akitokea kwenye kikao cha Bunge mjini Dodoma kwenda jijini Dar – Es – Salaam

sokoine.jpg



Hiyo gari aliyopata nayo ajali sokoine imehifadhiwa makumbusho au wapi?
 
Last edited by a moderator:
Mimi binafsi kila nikifuatilia movie hii huwa inaniuma sana, yaani unalia kabisaaaaaaa, yaani hii movie ni kama ya Titanic ambayo stering anauwawa.
Kila nkisoma habari za hii movie huwa nakumbuka msemo huu, "Tanzania has lost a rightful hair"
Swali moja nmelipenda can we handle the truth?, kwa wakati ule nadhani isingewezekana.
 
Back
Top Bottom