Utata wa Mabehewa 'Mapya' ya SGR yaliyowasili ulishamalizwa kitambo na Rais Samia, msiwe na shaka hatujapigwa!

Utata wa Mabehewa 'Mapya' ya SGR yaliyowasili ulishamalizwa kitambo na Rais Samia, msiwe na shaka hatujapigwa!

Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Dunia nzima, issues za Afya, Elimu, Maji, Umeme, Gesi, Usafiri na Usafirishaji ni issues zenye maslahi makubwa sana kwa taifa, hivyo leo tunaendelea na ile issue ya mabehewa yetu yaliyowasili hivi karibuni kama ni mapya au ni used, mitumba, yaliyotumika, yakafanyiwa ukarabati na kutiwa nakshi nakshi, tukaletewa tukiambiwa ni mapya, brand new kutoka kiwandani, ndio maana yameshushwa na nailoni zake tuya 'b' sisi wenyewe!.

Hii ni story mwendelezo, anzia hapa Hongera TRL kwa Mabehewa Mapya. SGR ni Reli Mpya ya Kisasa; Je, Mabehewa Haya ni Mapya ya Kisasa? Hakuna Ubaya Kutumia Mitumba, Ila Tuambiwe Ukweli!

Huu utata kuhusu haya mabehewa 'mapya' ya SGR yaliyowasili nchini hivi karibuni kutokea nchini Korea Kusini, yakiwa mapya kwenye manailoni kabisa, huku yakiwa na muundo wa kizamani, hali iliyopelekea watu kujiuliza, je, ni mapya kweli au ni used yaliyofanyiwa ukarabati na kuwekewa nakshi nakshi, kumbe ulishamalizwa kitambo sana na Rais mwenyewe, Mama Samia Suluhu Hassan, hali iliyopelekea sisi baadhi yenu kuhoji kama tumepigwa tena kama kwenye Rada! Hivyo msiwe na wasiwasi wala msiwe na mashaka kabisa, harujapigwa!

Hebu msikilize mwenyewe Rais Mama Samia,

Kama Mhe. Rais, aliisha zungumza haya, kigugumizi cha nini kwa hawa viongozi wetu wengine kuubainisha ukweli huu kama Rais wetu, Mama Samia?.

Kati ya vitu vitakavyomfanya Samia anarikiwe sana na Tanzania ya Samia kupata ustawi, ni kitendo cha huyu Mama kuwa mkweli toka ndani ya nafsi yake!. Ubarikiwe sana Mama Samia, tell the truth, and the truth will set you free!.

Hii maana yake ni mambo mawili;
1. Kuna vichwa na mabehewa mapya ambayo tumeagiza na tunatengezewa, kwa sababu it will take time, tumeagiza pia vichwa na mabehewa used kwa kuanzia ambayo tumenunua. Hivyo vichwa na mabehewa used ni kutoka nchini Ujerumani.

2. Rais amesema mzigo utakao anza kuwasili ni used. Kwa vile haya yaliyowasili kutoka Korea ya Kusini ni mabehewa 'mapya' kutoka kiwandani, na unapoagiza, unaagiza according to specifications zako, hizo box bodies mnazoziona ndiyo specifications zetu tulizoagiza, hivyo haya ni mabehewa mapya kutoka kiwandani, japo muundo wake ni wa kizamani sana.

3. Ina maana zile vichwa viwili na mabehewa 30 used kutoka Eurowagons ya Uturuki, iliyonunua Ujerumani nao utafika.

4. Kama ni kweli haya mabehewa ni mapya, Tanzania inaweza kuingia kwenye Guiness Book of Record kuwa ni nchi ya kwanza Duniani kuundiwa mabehewa kwa muda mfupi ajabu. Hivyo hiki kiwanda cha Korea, sasa ndiyo kiwanda kinachounda mabehewa kwa haraka zaidi kuliko viwanda vyote duniani.

5. Waziri Mkuu. Mhe. Kasim Majaliwa Majaliwa, alipotembelea nchini Korea Kusini kukagua kazi ya uundaji mabehewa yetu 'mapya' toka kampuni ya Sung Shin Rolling Stock Technology Company (SSRST) na hiki ndicho Waziri Mkuu alichokisema


Hii maana yake, mabehewa haya ni mapya kabisa kutoka kiwandani!.

6. Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kampuni ya EUROWAGON ya kutoka Turkey ziliingia makubaliano Oktoba 2020 kwa ajili ya ujenzi (ukarabati na utiaji nakshi) wa vichwa viwili vya treni ya umeme na mabehewa 30 ya abiria ambao ulitegemewa kukamilika ifikapo Novemba 2021. ( mkataba huu ulikuwa ni wa vichwa na mabehewa used!)

7. TRC ilisitisha mkataba huo Februari 25, 2022 kwa madai kwamba EUROWAGON wamechelewesha kazi na
baada ya kuvunja mkataba huo Februari 25, 2022 na EUROWAGON, TRC wakaingia mkataba mpya na kampuni nyingine kwa ajili ya ukarabati wa mabehewa na kutia nakshi. Kampuni hizo ni Zeller KG Engineer (Austria), Baltic Port Service GmbH na Lueckemeir Transport Logistics GmbH (Germany)

8. TRC hawakununua vichwa na mabehewa mapya kwa ajili ya SGR, isipokuwa, EUROWAGON waliopewa zabuni walinunua vichwa 2 na mabehewa 30 used kutoka kampuni ya Reli inayomilikiwa na serikali ya Germany, DB Regio, ili kuvikarabati na kuvitia nakshi nakshi, kisha vilisajiliwa kuwa mali ya TRC.

9. TRC ilisitisha mkataba na kuwataarifu kwa barua Februari 25, 2022 na kuendelea na kazi ya kukamilisha ukarabati unaotarajiwa kukamilika Agosti mwaka 2022,” ambayo ilikamika.

10. Kwa mujibu wa Tanzania Railways Corporation, taarifa waliyoeleza kwa waandishi wa habari June 15, 2022, walisema Mkataba kati yao na EUROWAGON unaipa TRC haki ya kuchukua jukumu la kukamilisha ukarabati iwapo mzabuni atashindwa kuzingatia masharti ya mkataba, hivyo vichwa hivyo 2 na mabehewa 30 used kutoka Ujerumani tayari ni mali ya TRC!.

11. Hivyo kitendo cha kisitisha mkataba mmoja na huku tayari mzigo ni wako, halafu ukaingia mkataba mwingine na mzigo kuwasili nchini ni ndani ya miezi 5 tuu!, this goes without saying, mzigo wa mabehewa uliotua nchini!, ama ni mzigo ule ule wa used za Uerowagons ama kweli haya ni mabehewa mapya kabisa ya dukani, yaliyokuwa yakisubiri mnunuzi, baada ya kununuliwa kiwandani kabisa South Korea's Sung Shin Rolling Stock Technology Company (SSRST) na yametiwa nakshi nakshi na kuletwa nchini!, ama haya ni yale yale mabehewa mitumba ya EUROWAGON, hivyo hoja za jee mabehewa haya ni mapya ama used, bado zinaendelea hadi TRC waseme yalipo mabehewa used ya Ujerumani!

12. Japo ule mkataba wa EUROWAGON uliovunjwa ulikuwa ni vichwa na mabehewa used, by the time mkataba unavunjwa, hao EUROWAGONS waliisha lipwa malipo ya awali na kuvununua hivyo vichwa na mabehewa 30, ambayo tayari ni mali ya TRC, Watanzania tuna haki ya kuelezwa, hivyo vichwa na mabehewa ya EUROWAGONS, vilinunuliwa wapi, viliundwa lini, wapi?, vimetumika wapi na kwa muda gani kabla TRC hatujauziwa?

13. Watanzania tuelezwe ukweli gharama halisi za manunuzi ya hayo mabehewa mtumba ya Euroeagons kule Ujerumani, kuyasafirisha mpaka Korea Kusini, gharama za ukarabati na naksh naksh na gharama za usafirishaji mpaka yamepokelewa nchini, ili tufanyiwe a comparative analysis, kama tungenunua vichwa na mabehewa mapya, tungetumia gharama kiasi gani, compared na kununua vichwa na mabehewa used ili tujue tumeokoa fedha kiasi gani kwa kununua hii mitumba used?

14. Japo gharama za kununua vitu vipya ni juu ila gharama za maintenance ni ndogo, unaweza kununua kitu used kwa bei poa kumbe ni kitu chakavu sana choka mbaya, hivyo gharama ya maintenance ikawa juu kuliko hata ungenunua kipya!.

15. Ukiingia mkataba wa manunuzi, kwa matengenezo, mzigo ukanunuliwa, delivery ndio ikachelewa, huwezi kuvunja mkataba huo ukabaki salama, hivyo kesi ikifunguliwa, Tanzania tunashindwa hata kabla kesi haijaanza!.

16. Tulivunja mkataba wa Dowans, wanasheria wetu wakatuhakikishia hatutashitakiwa!, tukashitakiwa!, wanasheria wetu wakatuhakikishia tutashinda!, tukashindwa na tukadaiwa tozo ya Dowans, wanasheria wetu wakatuhakikishia hatutalipa na hawatatufanya lolote!, tena kuna wakajiapisha "over my dead body", hatulipi!.
ukweli ni kwa tumelipa every cent kisiri siri bila Watanzania kuelezwa, bila Bunge kujulishwa na kuidhinisha, bila CAG kudhibiti na kukagua!. Kwanini hatuambiwi ukweli?.

17. Tulipo vunja mkataba wa Dowans, Zitto akashauri tuitaifishe ile mitambo, waheshimiwa Wabunge wetu wakagoma kuwa Tanzania hatununui mitambo chakavu, mitambo mitumba, na kweli kwa wakati huo hatukuwa na sheria ya kununua mitambo chakavu.

18. Tulivunja mkataba ule wa Dowans kwasababu ya gharama kubwa cha capacity charges na umeme wenyewe!, Mitambo ile Dowans ikanunuliwa na Simbion, tukaingia nao mkataba ule ule wa Dowans!, kwa capacity charge ile ile!, watu wale wale walio ikataa dowams, ndio hao hao danced to the tune na Hilary Clinton kuzindua Simbion!, kwa mkataba ule ule tuliovunja!, kwa gharama zile zile!, na capacity charge ile ile!, na tukawalipa!.

19. JPM alipoingia tukavunja tena na mkataba wa Simbion, tukashitakiwa, tukashindwa, tukadaiwa, JPM akagoma kulipa!, ila baada tuu ya JPM kuitwa kule alipoitwa huku nyuma, sisi hao hao, sio tuu tumelipa!, bali pia tumeinunua ile mitambo ya Simbion kwa bei ya ajabu!, sasa mitambo ile tuliosema ni chakavu, mtumba, na serikali yetu hatununui, mitambo chakavu, sasa ndio tumeinunua!, sasa mitambo ile ya Simbion ni mitambo yetu, ni mali yetu! na malipo yote yaliisha fanyika chap chap fasta fasta!, bila bajeti yake kuombwa popote!, bila Bunge letu kuijadili, kuipitisha na kuidhinisha, bila CAG kuidhinisha malipo hayo!, na haya yote yamefanyika bila sisi Watanzania kuambiwa!, kwanini vitu vikubwa kama hivi hatuambiwi?.

20. Kichwa chetu kipya cha ukweli na mabehewa yake ni hiki.View attachment 2432020
Kitawasili kutoka Hyundai mwaka 2024.

Hitimisho
Namalizia kwa msisitizo, hakuna ubaya wowote kununua vifaa used na kutumia vitu used!, tena vingine ni vizuri, imara, bora, na madhubuti kuliko hata vipya!, na Watanzania walio wengi, kutokana na low purchasing power due to umasikini uliotopea, wengi wetu affordability yetu ni mitumba kuanzia magari, nguo hadi mitambo, hivyo tumezoea, tunachohitaji ni kuambiwa ukweli tuu!,
Tunacho demand ni kuelezwa ukweli tuu, tusiletewe mitumba hapa tukaelezwa ni mpya!, tukawa tumenunua mitumba kwa bei ya mpya!.

NB. Makala hizi ni free kutumiwa na gazeti, jarida, mtandao wowote, hazina copyright, ila source na mwandishi

Wasalaam
Paskali


You have very limited understanding of these matters.

Hyundai has a contract for MEUs but the picture you posted on here is not EMU.
 
You have very limited understanding of these matters.

Hyundai has a contract for MEUs but the picture you posted on here is not EMU.
Kuzungumzia jambo lolote, sio lazima uwe mtaalamu, hiyo very limited undestanding of these matters, its all that is needed na sisi wananchi wa kawaida na ndio maana tunauliza!.

Hyundai wana contract gani, sijui, watatuletea nini, sijui, hizo MEUs na EMU sizijui ni nini, ninacho jua, wale Eurowagons walipewa tenda kutuletea vichwa 2 na mabehewa 30 ya mtumba kutoka Ujerumani, pesa yote ya kuinunua hiyo mitumba, waliisha lipwa na mitumba wakainunua na kuikarabati 50%, mkataba wao ukavunjwa, hivyo TRC wakachukua mzigo wao, wakampa mtu mwingine kumalizia ile kazi.

Wakati huo Kampuni ya Hyundai ya Korea Kusini ndio wenye tenda ya kutuletea brand new vichwa na mabehewa yake, sasa kilicholetwa ni nini na kitacholetwa ni nini, mimi ni mwananchi tuu wa kawaida wala sihitaji kujua sijui MEUs sijui EMU, hizo tumewaachia nyinyi wataalamu, ila pamoja na kutokuwa mtaalamu, tuna uwezo wa kuona na kutofautisha mpya na mtumba, box body na mchongoko!.
P
 
Wasalaam
Paskali
Paskali

As a lawyer, investigative journalist na mzalendo halisi, opinion yko ni nini juu ya thread yangu hapa chini, now that tunaambiwa more reserve za Helium zimegunduliwa?

Kumbuka kwamba Tanzania itakuwa nchi ya kwanza duniani kuchimba Helium, maana supply ya Helum kwa sasa inatokana na industrial chemical processes, ambayo sisi tukichimba tutaua hiyo source kwa kuwa kuchimba ni rahisi kuliko kuzalisha kwa chemical process

Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Mere speculation? See here
Reference: In Photos: Massive Underground Helium Reserve Found in Tanzania
Reference: That huge helium deposit under Tanzania is even bigger than we thought
Reference: Tanzania could become top helium producer - African Business Magazine

You can also refer to this thread
Habari njema kwa nchi, gesi nyingine ya Helium yagunduliwa Bonde la Ziwa Nyasa. Tanzania kuwa muuzaji kinara Duniani
 
CCM ni ile ile, oh ni ile ileeeee!
Utata wa kivuko kipya awamu Magufuli…

1669900901650.png

Na sasa utata wa mabehewa mapya awamu ya aliyekuwa makamu wa Magufuli na mrithi wake! Kazi iendeleee!
 
Kuzungumzia jambo lolote, sio lazima uwe mtaalamu, hiyo very limited undestanding of these matters, its all that is needed na sisi wananchi wa kawaida na ndio maana tunauliza!.

Hyundai wana contract gani, sijui, watatuletea nini, sijui, hizo MEUs na EMU sizijui ni nini, ninacho jua, wale Eurowagons walipewa tenda kutuletea vichwa 2 na mabehewa 30 ya mtumba kutoka Ujerumani, pesa yote ya kuinunua hiyo mitumba, waliisha lipwa na mitumba wakainunua na kuikarabati 50%, mkataba wao ukavunjwa, hivyo TRC wakachukua mzigo wao, wakampa mtu mwingine kumalizia ile kazi.

Wakati huo Kampuni ya Hyundai ya Korea Kusini ndio wenye tenda ya kutuletea brand new vichwa na mabehewa yake, sasa kilicholetwa ni nini na kitacholetwa ni nini, mimi ni mwananchi tuu wa kawaida wala sihitaji kujua sijui MEUs sijui EMU, hizo tumewaachia nyinyi wataalamu, ila pamoja na kutokuwa mtaalamu, tuna uwezo wa kuona na kutofautisha mpya na mtumba, box body na mchongoko!.
P

Let me keep it pretty simple by saying:

There are many train contracts given by the government to various companies across the world including freight wagons from companies, such as: China Railway Rolling Stock Corporation (CRRC).

In the passenger train contract, there are three types of contracts: there is first class, second class and third class. Those arrived from Korea are a third class.

Hyundai Rotem was awarded a contract to manufacture high-speed trains (EMUs) Electrical Multiple Units (First Class).
First Class
1669900513120.png

The Germans have a contract to repair second-hand double-decker trains (Second Class).

Second Class
1669901019511.png

Nafikiri nimeeleweka.
 
Let me keep it pretty simple by saying:

There are many train contracts given by the government to various companies across the world including freight wagons from companies, such as: China Railway Rolling Stock Corporation (CRRC).

In the passenger train contract, there are three types of contracts: there is first class, second class and third class. Those arrived from Korea are a third class.

Hyundai Rotem was awarded a contract to manufacture high-speed trains (EMUs) Electrical Multiple Units (First Class).


The Germans have a contract to repair second-hand double-decker trains (Second Class).



Nafikiri nimeeleweka.
Sijui ni kilevi gani unatumia lakini hii taarifa yako ni B/S. Sijui unajaribu kutetea nini but this up here is HOGWASH!
 
Let me keep it pretty simple by saying:

There are many train contracts given by the government to various companies across the world including freight wagons from companies, such as: China Railway Rolling Stock Corporation (CRRC).

In the passenger train contract, there are three types of contracts: there is first class, second class and third class. Those arrived from Korea are a third class.

Hyundai Rotem was awarded a contract to manufacture high-speed trains (EMUs) Electrical Multiple Units (First Class).
Huu
The Germans have a contract to repair second-hand double-decker trains (Second Class).

Nafikiri nimeeleweka.
Huu ndio uzuri wa jf, tuna wataalamu humu wa karibu kila fani!. Nimeelimika sana!, thanks.
1. Leo ndio mara yangu ya kwanza kujua kuhusu EMUs na kirefu cha EMUs
2. Ndio nimejua kumbe tutaletewa treni mpya na watu mbalimbali.
3. Ndio nimejua kumbe treni zetu, zitakuja hadi za double deka!.
4. Ndio nimejua kuwa kumbe zaidi ya hizi scepa zilizotangulia, kuna mtumba wa maana tuu utawasili!.
Umeeleweka sana na umesaidia sana, pia tusaidie kuhusu haya mabehewa, ni mapya au used?.
P
 
Paskali

As a lawyer, investigative journalist na mzalendo halisi, opinion yko ni nini juu ya thread yangu hapa chini, now that tunaambiwa more reserve za Helium zimegunduliwa?

Kumbuka kwamba Tanzania itakuwa nchi ya kwanza duniani kuchimba Helium, maana supply ya Helum kwa sasa inatokana na industrial chemical processes, ambayo sisi tukichimba tutaua hiyo source kwa kuwa kuchimba ni rahisi kuliko kuzalisha kwa chemical process

Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

Mere speculation? See here
Reference: In Photos: Massive Underground Helium Reserve Found in Tanzania
Reference: That huge helium deposit under Tanzania is even bigger than we thought
Reference: Tanzania could become top helium producer - African Business Magazine

You can also refer to this thread
Habari njema kwa nchi, gesi nyingine ya Helium yagunduliwa Bonde la Ziwa Nyasa. Tanzania kuwa muuzaji kinara Duniani
Asante nitapitia na kuchangia.
P
 
Huu ndio uzuri wa jf, tuna wataalamu humu wa karibu kila fani!. Nimeelimika sana!, thanks.
1. Leo ndio mara yangu ya kwanza kujua kuhusu EMUs na kirefu cha EMUs
2. Ndio nimejua kumbe tutaletewa treni mpya na watu mbalimbali.
3. Ndio nimejua kumbe treni zetu, zitakuja hadi za double deka!.
4. Ndio nimejua kuwa kumbe zaidi ya hizi scepa zilizotangulia, kuna mtumba wa maana tuu utawasili!.
Umeeleweka sana na umesaidia sana, pia tusaidie kuhusu haya mabehewa, ni mapya au used?.
P
Nimesoma hapo juu kuna mtu kasema wewe nilawyer na mwandishi mchunguzi, ni kweli?? sasa kama wewe ni mwandishi mchunguzi how come hujui EMUs au unanichora?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Dunia nzima, issues za Afya, Elimu, Maji, Umeme, Gesi, Usafiri na Usafirishaji ni issues zenye maslahi makubwa sana kwa taifa, hivyo leo tunaendelea na ile issue ya mabehewa yetu yaliyowasili hivi karibuni kama ni mapya au ni used, mitumba, yaliyotumika, yakafanyiwa ukarabati na kutiwa nakshi nakshi, tukaletewa tukiambiwa ni mapya, brand new kutoka kiwandani, ndio maana yameshushwa na nailoni zake tuya 'b' sisi wenyewe!.

Hii ni story mwendelezo, anzia hapa Hongera TRL kwa Mabehewa Mapya. SGR ni Reli Mpya ya Kisasa; Je, Mabehewa Haya ni Mapya ya Kisasa? Hakuna Ubaya Kutumia Mitumba, Ila Tuambiwe Ukweli!

Huu utata kuhusu haya mabehewa 'mapya' ya SGR yaliyowasili nchini hivi karibuni kutokea nchini Korea Kusini, yakiwa mapya kwenye manailoni kabisa, huku yakiwa na muundo wa kizamani, hali iliyopelekea watu kujiuliza, je, ni mapya kweli au ni used yaliyofanyiwa ukarabati na kuwekewa nakshi nakshi, kumbe ulishamalizwa kitambo sana na Rais mwenyewe, Mama Samia Suluhu Hassan, hali iliyopelekea sisi baadhi yenu kuhoji kama tumepigwa tena kama kwenye Rada! Hivyo msiwe na wasiwasi wala msiwe na mashaka kabisa, harujapigwa!

Hebu msikilize mwenyewe Rais Mama Samia,

Kama Mhe. Rais, aliisha zungumza haya, kigugumizi cha nini kwa hawa viongozi wetu wengine kuubainisha ukweli huu kama Rais wetu, Mama Samia?.

Kati ya vitu vitakavyomfanya Samia anarikiwe sana na Tanzania ya Samia kupata ustawi, ni kitendo cha huyu Mama kuwa mkweli toka ndani ya nafsi yake!. Ubarikiwe sana Mama Samia, tell the truth, and the truth will set you free!.

Hii maana yake ni mambo mawili;
1. Kuna vichwa na mabehewa mapya ambayo tumeagiza na tunatengezewa, kwa sababu it will take time, tumeagiza pia vichwa na mabehewa used kwa kuanzia ambayo tumenunua. Hivyo vichwa na mabehewa used ni kutoka nchini Ujerumani.

2. Rais amesema mzigo utakao anza kuwasili ni used. Kwa vile haya yaliyowasili kutoka Korea ya Kusini ni mabehewa 'mapya' kutoka kiwandani, na unapoagiza, unaagiza according to specifications zako, hizo box bodies mnazoziona ndiyo specifications zetu tulizoagiza, hivyo haya ni mabehewa mapya kutoka kiwandani, japo muundo wake ni wa kizamani sana.

3. Ina maana zile vichwa viwili na mabehewa 30 used kutoka Eurowagons ya Uturuki, iliyonunua Ujerumani nao utafika.

4. Kama ni kweli haya mabehewa ni mapya, Tanzania inaweza kuingia kwenye Guiness Book of Record kuwa ni nchi ya kwanza Duniani kuundiwa mabehewa kwa muda mfupi ajabu. Hivyo hiki kiwanda cha Korea, sasa ndiyo kiwanda kinachounda mabehewa kwa haraka zaidi kuliko viwanda vyote duniani.

5. Waziri Mkuu. Mhe. Kasim Majaliwa Majaliwa, alipotembelea nchini Korea Kusini kukagua kazi ya uundaji mabehewa yetu 'mapya' toka kampuni ya Sung Shin Rolling Stock Technology Company (SSRST) na hiki ndicho Waziri Mkuu alichokisema


Hii maana yake, mabehewa haya ni mapya kabisa kutoka kiwandani!.

6. Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kampuni ya EUROWAGON ya kutoka Turkey ziliingia makubaliano Oktoba 2020 kwa ajili ya ujenzi (ukarabati na utiaji nakshi) wa vichwa viwili vya treni ya umeme na mabehewa 30 ya abiria ambao ulitegemewa kukamilika ifikapo Novemba 2021. ( mkataba huu ulikuwa ni wa vichwa na mabehewa used!)

7. TRC ilisitisha mkataba huo Februari 25, 2022 kwa madai kwamba EUROWAGON wamechelewesha kazi na
baada ya kuvunja mkataba huo Februari 25, 2022 na EUROWAGON, TRC wakaingia mkataba mpya na kampuni nyingine kwa ajili ya ukarabati wa mabehewa na kutia nakshi. Kampuni hizo ni Zeller KG Engineer (Austria), Baltic Port Service GmbH na Lueckemeir Transport Logistics GmbH (Germany)

8. TRC hawakununua vichwa na mabehewa mapya kwa ajili ya SGR, isipokuwa, EUROWAGON waliopewa zabuni walinunua vichwa 2 na mabehewa 30 used kutoka kampuni ya Reli inayomilikiwa na serikali ya Germany, DB Regio, ili kuvikarabati na kuvitia nakshi nakshi, kisha vilisajiliwa kuwa mali ya TRC.

9. TRC ilisitisha mkataba na kuwataarifu kwa barua Februari 25, 2022 na kuendelea na kazi ya kukamilisha ukarabati unaotarajiwa kukamilika Agosti mwaka 2022,” ambayo ilikamika.

10. Kwa mujibu wa Tanzania Railways Corporation, taarifa waliyoeleza kwa waandishi wa habari June 15, 2022, walisema Mkataba kati yao na EUROWAGON unaipa TRC haki ya kuchukua jukumu la kukamilisha ukarabati iwapo mzabuni atashindwa kuzingatia masharti ya mkataba, hivyo vichwa hivyo 2 na mabehewa 30 used kutoka Ujerumani tayari ni mali ya TRC!.

11. Hivyo kitendo cha kisitisha mkataba mmoja na huku tayari mzigo ni wako, halafu ukaingia mkataba mwingine na mzigo kuwasili nchini ni ndani ya miezi 5 tuu!, this goes without saying, mzigo wa mabehewa uliotua nchini!, ama ni mzigo ule ule wa used za Uerowagons ama kweli haya ni mabehewa mapya kabisa ya dukani, yaliyokuwa yakisubiri mnunuzi, baada ya kununuliwa kiwandani kabisa South Korea's Sung Shin Rolling Stock Technology Company (SSRST) na yametiwa nakshi nakshi na kuletwa nchini!, ama haya ni yale yale mabehewa mitumba ya EUROWAGON, hivyo hoja za jee mabehewa haya ni mapya ama used, bado zinaendelea hadi TRC waseme yalipo mabehewa used ya Ujerumani!

12. Japo ule mkataba wa EUROWAGON uliovunjwa ulikuwa ni vichwa na mabehewa used, by the time mkataba unavunjwa, hao EUROWAGONS waliisha lipwa malipo ya awali na kuvununua hivyo vichwa na mabehewa 30, ambayo tayari ni mali ya TRC, Watanzania tuna haki ya kuelezwa, hivyo vichwa na mabehewa ya EUROWAGONS, vilinunuliwa wapi, viliundwa lini, wapi?, vimetumika wapi na kwa muda gani kabla TRC hatujauziwa?

13. Watanzania tuelezwe ukweli gharama halisi za manunuzi ya hayo mabehewa mtumba ya Euroeagons kule Ujerumani, kuyasafirisha mpaka Korea Kusini, gharama za ukarabati na naksh naksh na gharama za usafirishaji mpaka yamepokelewa nchini, ili tufanyiwe a comparative analysis, kama tungenunua vichwa na mabehewa mapya, tungetumia gharama kiasi gani, compared na kununua vichwa na mabehewa used ili tujue tumeokoa fedha kiasi gani kwa kununua hii mitumba used?

14. Japo gharama za kununua vitu vipya ni juu ila gharama za maintenance ni ndogo, unaweza kununua kitu used kwa bei poa kumbe ni kitu chakavu sana choka mbaya, hivyo gharama ya maintenance ikawa juu kuliko hata ungenunua kipya!.

15. Ukiingia mkataba wa manunuzi, kwa matengenezo, mzigo ukanunuliwa, delivery ndio ikachelewa, huwezi kuvunja mkataba huo ukabaki salama, hivyo kesi ikifunguliwa, Tanzania tunashindwa hata kabla kesi haijaanza!.

16. Tulivunja mkataba wa Dowans, wanasheria wetu wakatuhakikishia hatutashitakiwa!, tukashitakiwa!, wanasheria wetu wakatuhakikishia tutashinda!, tukashindwa na tukadaiwa tozo ya Dowans, wanasheria wetu wakatuhakikishia hatutalipa na hawatatufanya lolote!, tena kuna wakajiapisha "over my dead body", hatulipi!.
ukweli ni kwa tumelipa every cent kisiri siri bila Watanzania kuelezwa, bila Bunge kujulishwa na kuidhinisha, bila CAG kudhibiti na kukagua!. Kwanini hatuambiwi ukweli?.

17. Tulipo vunja mkataba wa Dowans, Zitto akashauri tuitaifishe ile mitambo, waheshimiwa Wabunge wetu wakagoma kuwa Tanzania hatununui mitambo chakavu, mitambo mitumba, na kweli kwa wakati huo hatukuwa na sheria ya kununua mitambo chakavu.

18. Tulivunja mkataba ule wa Dowans kwasababu ya gharama kubwa cha capacity charges na umeme wenyewe!, Mitambo ile Dowans ikanunuliwa na Simbion, tukaingia nao mkataba ule ule wa Dowans!, kwa capacity charge ile ile!, watu wale wale walio ikataa dowams, ndio hao hao danced to the tune na Hilary Clinton kuzindua Simbion!, kwa mkataba ule ule tuliovunja!, kwa gharama zile zile!, na capacity charge ile ile!, na tukawalipa!.

19. JPM alipoingia tukavunja tena na mkataba wa Simbion, tukashitakiwa, tukashindwa, tukadaiwa, JPM akagoma kulipa!, ila baada tuu ya JPM kuitwa kule alipoitwa huku nyuma, sisi hao hao, sio tuu tumelipa!, bali pia tumeinunua ile mitambo ya Simbion kwa bei ya ajabu!, sasa mitambo ile tuliosema ni chakavu, mtumba, na serikali yetu hatununui, mitambo chakavu, sasa ndio tumeinunua!, sasa mitambo ile ya Simbion ni mitambo yetu, ni mali yetu! na malipo yote yaliisha fanyika chap chap fasta fasta!, bila bajeti yake kuombwa popote!, bila Bunge letu kuijadili, kuipitisha na kuidhinisha, bila CAG kuidhinisha malipo hayo!, na haya yote yamefanyika bila sisi Watanzania kuambiwa!, kwanini vitu vikubwa kama hivi hatuambiwi?.

20. Kichwa chetu kipya cha ukweli na mabehewa yake ni hiki.View attachment 2432020
Kitawasili kutoka Hyundai mwaka 2024.

Hitimisho
Namalizia kwa msisitizo, hakuna ubaya wowote kununua vifaa used na kutumia vitu used!, tena vingine ni vizuri, imara, bora, na madhubuti kuliko hata vipya!, na Watanzania walio wengi, kutokana na low purchasing power due to umasikini uliotopea, wengi wetu affordability yetu ni mitumba kuanzia magari, nguo hadi mitambo, hivyo tumezoea, tunachohitaji ni kuambiwa ukweli tuu!,
Tunacho demand ni kuelezwa ukweli tuu, tusiletewe mitumba hapa tukaelezwa ni mpya!, tukawa tumenunua mitumba kwa bei ya mpya!.

NB. Makala hizi ni free kutumiwa na gazeti, jarida, mtandao wowote, hazina copyright, ila source na mwandishi

Wasalaam
Paskali


(Njaa huondoa maarifa) japo ulishasema una sifu. Cc.PASCHAL
 
Mkuu Paskali, umeeleza kwa kirefu sana, na tumekuelewa, ila sasa unajichanganya mwenyewe na unafananua tatizo ambalo silo linalolalamikiwa.

Kitu kinacholalamikiwa na watu sio kwamba wameona mabehewa used ambayo wanadhani yamenunuliwa kwa bei ya mabehewa mapya, bali wameona mabehewa mapya ambayo yana muonekano wa mabehewa used au design ya mwaka 47.

Na inawezekana tatizo ni design ya upakaji rangi tu. TRC wamekosea sana hizo rangi, ziko dull mno! Walipaswa kufanya consultation juu ya rangi sio Bodi ya TRC kuamua.

Kumbuka kwamba mabehewa used hayatakuja kutoka Korea, bali Ujerumani au Uturuki - na sijui kama huo mpango wa mabehewa used bado upo. (by the way, sio policy ya serikali kutonunua vitu used? Tulibadilisha?)

Sasa TRC na viongozi wanajichanganya kwa sababu wanaona sura ya mabehewa mapya kutoka Korea hairidhishi ukichukulia kwamba design na sura za mabehewa kwa karne hii ni tofauti sana na haya tunayopokea toka Korea. Nakiri kwamba kwa ndani yana mwonekano mzuri sana, lakini kwa nje ni design ya kizamani sana. Ni sawa na kutengeneza bodi mpya ya Landrover Station Wagon 109 leo 2022, lakini ndani uiwekee injini na viti vya Land Rover Defender ya 2022 halafu ukamuuzie mtu. Watu watamwambia umepigwa!

Nadhani umeelewa tatizo liko wapi

Watu walitarajia mabehewa kama ngoma hii hapa chini. Unaingia kwenye treni unasema Dreamliner za Magufuli kitu gani bwana!

View attachment 2432565
Niliwahi kuuliza, kwani mabehewa kama haya yanatengenezwa kwa shilling ngapi hadi TRC washindwe kuyaagiza wakati wamejenga vituo vya kusifika?.
 
Nimesoma hapo juu kuna mtu kasema wewe nilawyer na mwandishi mchunguzi, ni kweli?? sasa kama wewe ni mwandishi mchunguzi how come hujui EMUs au unanichora?
Ni kweli amini usiamini hakuna mtu yoyote anayejua kila kitu!, amini usiamini, take it from me, leo ndio nimejua kirefu cha EMUs .
P
 
Nimesoma hapo juu kuna mtu kasema wewe nilawyer na mwandishi mchunguzi, ni kweli?? sasa kama wewe ni mwandishi mchunguzi how come hujui EMUs au unanichora?
Kama umeshindwa kumuelewa Pascal Mayalla
Basi utashindwa kabisa kumuelewa popoma fulani aliyesomea CUBA kutoka nchini VENEZUELA
anaitwa GENTAMYCINE

Msome tena Vizuri Pascal Mayalla utamuelewa vema

Sisi tuliosomea CUBA hatupatagi shida katika kuelewa
 
Bw. Kadogosa na waziri wake walishaliweka vizuri suala hili kwamba:
- Hizo bullet train ambazo vichwa vyake vimechongoka kama risasi ni train za mwendo kasi sana. Spidi yake inakaribia spidi ya ndege ya bombardier. Yani kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza unatumia saa mbili tu. Ni mbadala wa ndege. Zenye spidi kali zaidi zinakuwa hazina hata magurudumu wala axle, zinaelea juu ya reli kwa magneto. Huwa hazibebi behewa nyingi na bado hakujawa na bullet trains za mizigo. Ni kwa ajili ya abiria ku connect mji na mji, si za masafa marefu. Bei yake ya nauli ni karibu sawa na ile ya ndege. Hata bei ya kuzinunua ni kubwa sana. Na hata hii electric SGR yetu haikujengwa kupitisha bullet trains za spidi hizo. Kutahitajika modification.

  • Train zinazotufaa sisi ni hizo conventional ambazo spidi yake haizidi 160 km per hour. Zenye uwezo wa kuvuta behewa 100 zenye abiria 8,000 kwa wakati mmoja. Train ya mizigo itaweza kubeba mzigo unaobebwa na semi trailer 500 kwa wakati mmoja kwa spidi ya 120 km per hour. Ni train za kazi na za nauli nafuu sana. Umbo la vichwa vyake halihitaji huo mchongoko wa kukata hewa kama ulivyo ule wa airplane. Umbo la vichwa vyake kwa spidi ya 160 kph ni sawa tu kama la bus la YuTong au la shangingi.
  • Hizo bullet trains watanzania wengi hawataziweza kuzipanda, kwanza wataziogopa na bei yake hawataimudu. Hata hivyo serikali imesikia shauku ya baadhi ya watanzania kutaka kupanda hizo bullet trains. Italeta chache kwa ajili hasa ya ku connect Dar es Salaam na Dodoma. Zinakuwa kati ya moja wapo ya hizi hapa chini.

 
Bw. Kadogosa na waziri wake walishaliweka vizuri suala hili kwamba:
- Hizo bullet train ambazo vichwa vyake vimechongoka kama risasi ni train za mwendo kasi sana. Spidi yake inakaribia spidi ya ndege ya bombardier. Yani kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza unatumia saa mbili tu. Ni mbadala wa ndege. Hazina hata magurudumu wala axle, zinaelea juu ya reli kwa magneto. Nyingi hazibebi behewa nyingi. Ni za ku connect mji na mji, si za masafa marefu. Bei yake ya nauli ni karibu sawa na ile ya ndege. Hata bei ya kuzinunua ni kubwa sana. Na hata hii electric SGR yetu haikujengwa kupitisha bullet trains za spidi hizo. Kutahitajika modification.
Kama kweli walitamka maneno hayo hawafai kabisa kuwa viongozi wa TRC, maana hata mambo ya msingi kuhusu industry ya reli hawajui.
  • Kwa hiyo zile train ICE Germany zenye vichwa vya kuchongoka hazitumii reli?
  • Bullet train itasafiri kati ya Dar na Morogoro, umbali wa km 180, kwa masaa mawili?
  • Bullet train zinasafiri kati ya mji na mji, si masafa marefu?
  • Watanzania ni wajinga kiasi cha kusema wanataka SGR yetu itumiwe na bullet trains?
Hayo ndio maneno ya Kadogosa na Waziri wake? Basi ni vihiyo sijapata kuona.
 
Train zetu zitakuwa na urefu wa zaidi kilomita 3 kama hizi hapa chini. Ni trains za hapa kazi tu.



 
Mkuu Paskali, umeeleza kwa kirefu sana, na tumekuelewa, ila sasa unajichanganya mwenyewe na unafananua tatizo ambalo silo linalolalamikiwa.

Kitu kinacholalamikiwa na watu sio kwamba wameona mabehewa used ambayo wanadhani yamenunuliwa kwa bei ya mabehewa mapya, bali wameona mabehewa mapya ambayo yana muonekano wa mabehewa used au design ya mwaka 47.

Na inawezekana tatizo ni design ya upakaji rangi tu. TRC wamekosea sana hizo rangi, ziko dull mno! Walipaswa kufanya consultation juu ya rangi sio Bodi ya TRC kuamua.

Kumbuka kwamba mabehewa used hayatakuja kutoka Korea, bali Ujerumani au Uturuki - na sijui kama huo mpango wa mabehewa used bado upo. (by the way, sio policy ya serikali kutonunua vitu used? Tulibadilisha?)

Sasa TRC na viongozi wanajichanganya kwa sababu wanaona sura ya mabehewa mapya kutoka Korea hairidhishi ukichukulia kwamba design na sura za mabehewa kwa karne hii ni tofauti sana na haya tunayopokea toka Korea. Nakiri kwamba kwa ndani yana mwonekano mzuri sana, lakini kwa nje ni design ya kizamani sana. Ni sawa na kutengeneza bodi mpya ya Landrover Station Wagon 109 leo 2022, lakini ndani uiwekee injini na viti vya Land Rover Defender ya 2022 halafu ukamuuzie mtu. Watu watamwambia umepigwa!

Nadhani umeelewa tatizo liko wapi

Watu walitarajia mabehewa kama ngoma hii hapa chini. Unaingia kwenye treni unasema Dreamliner za Magufuli kitu gani bwana!

View attachment 2432565
Mabehewa ni mapya sema design hio ni y zamani
 
Back
Top Bottom