Utata wa Mabehewa 'Mapya' ya SGR yaliyowasili ulishamalizwa kitambo na Rais Samia, msiwe na shaka hatujapigwa!

Utata wa Mabehewa 'Mapya' ya SGR yaliyowasili ulishamalizwa kitambo na Rais Samia, msiwe na shaka hatujapigwa!

Mteja ni mfalme, akiomba kutengenezewa kitu kipya kwa muundo wa zamani, unamtengenezea.
P
Mteja ni nani ? Mimi na wewe mlipa Kodi ambao tunashangaa na hatukupendezwa au mla 10% mlamba asali ?

Vyovyote vile hawa jamaa wamekosea either hawakujua watanzania tunataka nini au wanaendelea kufunika makosa na uozo; bora wakubali kwamba kosa lilitendeka, kama kawaida yao watafute mbuzi wa kumtoa kafara (watanzania watasahau na wataendelea na maisha) kama vile ambavyo Symbion na Dowans zinakufa na kufufuka
 
Mteja ni nani ? Mimi na wewe mlipa Kodi ambao tunashangaa na hatukupendezwa au mla 10% mlamba asali ?

Vyovyote vile hawa jamaa wamekosea either hawakujua watanzania tunataka nini au wanaendelea kufunika makosa na uozo; bora wakubali kwamba kosa lilitendeka, kama kawaida yao watafute mbuzi wa kumtoa kafara (watanzania watasahau na wataendelea na maisha) kama vile ambavyo Symbion na Dowans zinakufa na kufufuka
@Pascalmayalla ameshakuwa chawa sasahivi ni mwendo wa kutetea wizi tu
 
Back
Top Bottom