Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Usifanye hivyo bana [emoji7] sisi sio waoNakuja chumbani kwako kukukataa leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usifanye hivyo bana [emoji7] sisi sio waoNakuja chumbani kwako kukukataa leo
🤣 haha! Hii itaanza kutrend soonNakuja chumbani kwako kukukataa leo
Kiporo kitapashwa kiliweNakuja chumbani kwako kukukataa leo
dah....mke wa mtu anatongozwa na mume wa mtu. kisha anakwenda kwa mume wa mtu kumpasha na asimjulishe mumewe kuwa subordinate wao amekufuru???Wadau, leo kumesambaa taarifa kwenye vyombo vya habari kutoka kwa kamanda wa polisi Muliro akielezea sababu za kujiua katibu wa Feel Free Church kutokana na uchunguzi wa awali.
Maelezo ya kamanda yanapeleka kwenye hitimisho moja kuwa, Mama Mchungaji (Monica) na marehemu hawakuwa na mahusiano na kwamba katibu amejiua kwa kukataliwa baada ya kuwa akimtongoza Monica. Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake kwa leo kumuhabarisha kuwa hataki kutumiwa jumbe hizo na wala hawezi kuwa nae kwa vile yeye ni mke wa mtu.
UTATA MTUPU…!
Kwa sisi wapenda documentaries za crime, hizi sababu zinaleta utata kuliko majibu. Katika matukio ya vifo kama hivi vinavyohusika mapenzi au fedha, lazima kitu kiitwacho MOTIVE kiwe established.
Katika wahusika wote watatu katika tukio hili, mtu mwenye motive kubwa ni Masanja. Haijalishi alikuwepo nchini au hakuwepo wakati tukio linatokea.
Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?
Je, ni kweli marehemu alijinyonga? Au amenyongwa halafu cover up imefanyika?
Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)
Uzuri kamanda amesema maelezo yake ya leo ni uchunguzi wa awali na bado wanaendelea. Naamini majibu yatapatikana tu, ila Masanja Mkandamizaji aangaliwe kwa ukaribu sana. Ndiye mtu pekee mwenye MOTIVE ya kuchezesha mambo. Simu za wahusika wote zikaguliwe kwa kina, na majibu yatakuwemo humo.
Hili nalo linaleta maswali mengi sana. Kuna jinsi mtu aliye guilty anaact kwa jinsi baada ya tukio kutokea. Huenda hii kusamehe labda alishasemehe siku nyingi baada ya kushtukia mchezo na kuamua ni nini atamfanya katibu.Suspicious no 2
Kwa nini masanja akatuma mtandaoni post ya kumsamehe mkewe siku moja baada ya tukio? Alikuwa na haraka gani? Alikuwa anajua kinachoendelea na kitakachotokea!?
😂😂😂atapost insta amekusameheMmh! Mume wangu Leo nimeonda kwa Joseph nyumban kwake kumwambia sitaki awe akinitongoza?
Siku hiyo Mmasai wangu atanichinja!!!
Hii imeongeza utata zaidi kusema ukweli. Hii ya mke wa mtu kwenda nyumbani kwa mume wa mtu kumtaarifu kuwa hamtaki wala hawezi kuwa nae.Hili tukio la Katibu wa Kanisa lina utata sana, na Polisi nao wanaleta majibu kama haya sasa..!
Ndio lengo lao haswa.Mtavunja Unyumba Wa Watu
Siku hizi wanawake wamelegea sana.Kweli RPC unatoa maelezo hayo!!!
Kaongeza utata sana ....dah
Mwanamke yeyote serious mwanaume anakutongoza Mara moja tu unampa jibu na hatorudia tena...
Mkuu kwa majibu hayo ya polisi kwa nchi hii. Hilo limepita tayari. Sahauni. Hakuna uchunguzi mwingine hapo. Nani ajisumbue. Na hapo kazi kubwa ilikuwa ni kumsafisha tu huyo mama. Na hata kama ni kumsafisha asitakate hilo hawalijui,ili mradi tu yamepita maji. Hiyo imekwishaWadau, leo kumesambaa taarifa kwenye vyombo vya habari kutoka kwa kamanda wa polisi Muliro akielezea sababu za kujiua katibu wa Feel Free Church kutokana na uchunguzi wa awali.
Maelezo ya kamanda yanapeleka kwenye hitimisho moja kuwa, Mama Mchungaji (Monica) na marehemu hawakuwa na mahusiano na kwamba katibu amejiua kwa kukataliwa baada ya kuwa akimtongoza Monica. Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake kwa leo kumuhabarisha kuwa hataki kutumiwa jumbe hizo na wala hawezi kuwa nae kwa vile yeye ni mke wa mtu.
UTATA MTUPU…!
Kwa sisi wapenda documentaries za crime, hizi sababu zinaleta utata kuliko majibu. Katika matukio ya vifo kama hivi vinavyohusika mapenzi au fedha, lazima kitu kiitwacho MOTIVE kiwe established.
Katika wahusika wote watatu katika tukio hili, mtu mwenye motive kubwa ni Masanja. Haijalishi alikuwepo nchini au hakuwepo wakati tukio linatokea.
Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?
Je, ni kweli marehemu alijinyonga? Au amenyongwa halafu cover up imefanyika?
Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)
Uzuri kamanda amesema maelezo yake ya leo ni uchunguzi wa awali na bado wanaendelea. Naamini majibu yatapatikana tu, ila Masanja Mkandamizaji aangaliwe kwa ukaribu sana. Ndiye mtu pekee mwenye MOTIVE ya kuchezesha mambo. Simu za wahusika wote zikaguliwe kwa kina, na majibu yatakuwemo humo.
Sas hyu kijan kafanywaje jmn mnk hkn taarifa kamili kamili kila kitu Ni utata utata ,kweli hata mm siamini kuwa aliamua kumtumia mam mtu mzima kwenda kumkanya want angetaarifu tu masaanj kisha masanja kufuta kazi na kuto onekana maene ya kazUkifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?[emoji1752][emoji1545]
GENTAMYCINEKatibu mtetezi,his side is silent.