Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Kitendo Cha mke wa masanja kwenda kwa katibu na mwanamke mwingine ni ushahidi mzuri Sana. Walienda kufanya Nini kwa my anayemsumbua kwanini wasikutane kanisani au neutral place?. Kama ni mauaji mtuhumiwa wa Kwanza ni masanja na huyo mke wake.
Na Je huyo mkewe alihusishwa... Kama alihusishwa Je maoni yake yalikuaje? Maana style hii inaonekana kama ilikua kichambo, na kama ndivo ilivo Je huyu mama alikua na Nia ya kuvunja hiyo ndoa au... Yaani haingii akili lini mke kwenda mwenyewe bila mume au baraza la wazee... Huyu mama aliekwenda nae anamengi yakutuambia... This is real cheap investigation...
 
Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)
Noma sana!
 
Wazee Kuna dem anamiliki traako laini, ananitaka na mimi nimeshaoa na amjua wife.

Sasa nampiga chini ili nione Kama atajinyonga.
 
Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?[emoji1752][emoji1545]
Huenda mama mchungaji hawezi kuongea (ana kigugumizi), hivyo alimuomba mama mtu mzima waende kwa dogo ili akamsaidie kusema kwa dogo kuwa amekataa ombi lake (ombi la kutongozwa). Lakini unatongozwa na dogo uliyemzidi umri, kama hutaki, unashindwa kumuambia 'we dogo koma', mpaka uende na mtu nzima?! Nonsense!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RPC nampongeza majibu yake yako highly professionally both kisheria na kipolisi

Yeye sio hakimu au jaji statement yake iko very Proffessional. Imekaa vizuri mno

Yuko vizuri kichwani
 
Shida ya masanja anataka vyote, uaskofu, ubunge, uanasiasa, uchawa, utangazaji, biashara. Ndio maana ndoa imeingia dosari maana nafasi hamna.
Pia kwa totozi alikuwa hajambo...
Malipo hapahapa duniani
 
Hapo ukute wanamlinda Masanja
Mke wa marehem yupo wapi aongee
Kwanini marehemu asimtaje mke wake kwenye msamaha?

Kwanini mke wa Masanja katajwa mara nyingi?

Au mke wa marehemu ndiye kafanya hivyo?

Au Masanja ndiye kafanya hivo ili sababu ya talaka ipatikane?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
RPC nampongeza majibu yake yako highly professionally both kisheria na kipolisi

Yeye sio hakimu au jaji statement yake iko very Proffessional. Imekaa vizuri mno

Yuko vizuri kichwani
Huenda uko sahihi. 😃 Hasa pale kamanda aliposema, kuwa mama mchungaji aliambatana na mama mtu mzima kwenda nyumbani kwa marehemu kumwambia kuwa hamtaki na hataki messages zake. Mambo ya kitaalamu haya, mke wa mtu anasindikizwa nyumbani kwa mume wa mtu kwenda kumkataa🤣
 
Kwanini marehemu asimtaje mke wake kwenye msamaha?

Kwanini mke wa Masanja katajwa mara nyingi?

Au mke wa marehemu ndiye kafanya hivyo?

Au Masanja ndiye kafanya hivo ili sababu ya talaka ipatikane?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mkuu hapo zimejaa motives tupu. Ila ukipanga kwenye list, masanja anatakiwa awe namba moja. Ni either ikubaliwe kuwa walikuwa na mahusiano na marehemu alijiua baada ya kuachwa au kuna kitu kinafichwa. You can’t have it both ways.
 
Au alifumaniwa?
Hili nalo inabidi tuanze kulifikiria pia. Sasa ni nani aliwafuma? Inasemekana Mwanawane hayupo nchini na wala hakuwepo wakati haya yanatokea. Au alituma watu wakafumanie na kumaliza juu kwa juu? Maswali ni mengi
 
Hili nalo inabidi tuanze kulifikiria pia. Sasa ni nani aliwafuma? Inasemekana Mwanawane hayupo nchini na wala hakuwepo wakati haya yanatokea. Au alituma watu wakafumanie na kumaliza juu kwa juu? Maswali ni mengi
Huenda kaenda huko ili ajitoe kabisa kwenye msala.. Asihusishwe
 
Hili nalo inabidi tuanze kulifikiria pia. Sasa ni nani aliwafuma? Inasemekana Mwanawane hayupo nchini na wala hakuwepo wakati haya yanatokea. Au alituma watu wakafumanie na kumaliza juu kwa juu? Maswali ni mengi
La kutuma watu akiwepo huyo mama mtu mzima linawezekana.

Asingeweza kutulia au kukaa kimya iwapo alijua mali inadukuliwa
 
Back
Top Bottom