Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Hii ishu ingepita bila maswali kama polisi wangeondoa hiko kitendo cha mama mchungaji kwenda nyumbani kwa katibu ili kumkataa. Ukifikiria hapo, ni kuwa mama mchungaji huenda alikuwa amechoka na haya mahusiano yake na katibu kwa hiyo akamchukua huyo mmama (ili amsaidie kumalizana na katibu huku mambo yakibakia kuwa siri) na baada ya hili katibu akajinyonga. Kinyume na hilo mumewe anahusika. The rest of the story doesn’t make sense. Watu wanaoachwa ndo wanajiua sio wanaokataliwa
 
Na huenda kifo chake hakihusiani kabisa na mapenzi,pengine siku yake ndiyo ilikuwa imefika

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
labda inawezekana pia. Hii ikawa ni cover na mambo yanaweza kuwa yakawa yanahusiana na siri za kanisa. Uchunguzi wa ziada unahitajika na sio kumsafishia njia masanja😂 mambo yanaonekana katibu na mama mchungaji walikuwa wanafikishana kileleni mwa mlima Sayuni
 
Sas hyu kijan kafanywaje jmn mnk hkn taarifa kamili kamili kila kitu Ni utata utata ,kweli hata mm siamini kuwa aliamua kumtumia mam mtu mzima kwenda kumkanya want angetaarifu tu masaanj kisha masanja kufuta kazi na kuto onekana maene ya kaz
It was a kind of negotiations! Win win situation.. Angefutwa kazi bila sababu ya maana angemwaga ugali
 
This saga is non of my business. Waendelee na wapambane na maisha yao
 
Kweli RPC unatoa maelezo hayo!!!
Kaongeza utata sana ....dah
Mwanamke yeyote serious mwanaume anakutongoza Mara moja tu unampa jibu na hatorudia tena...
Si ndiyo hawa hawa wanao tuambia eti "mahabusu amejinyonga mikononi mwao kwa kutumia dekio"!! Unajiuliza dekio na kujinyonga mtuhumiwa kituoni hapo hapo, wapi na wapi! Na siyo tukio moja!! Ni zaidi ya matukio mawili! Na sababu za kifo tunaambiwa ni dekio!

Hawa jamaa huwa wanatuchukulia kama mang'ombe vile.
 
Wadau, leo kumesambaa taarifa kwenye vyombo vya habari kutoka kwa kamanda wa polisi Muliro akielezea sababu za kujiua katibu wa Feel Free Church kutokana na uchunguzi wa awali.

Maelezo ya kamanda yanapeleka kwenye hitimisho moja kuwa, Mama Mchungaji (Monica) na marehemu hawakuwa na mahusiano na kwamba katibu amejiua kwa kukataliwa baada ya kuwa akimtongoza Monica. Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake kwa leo kumuhabarisha kuwa hataki kutumiwa jumbe hizo na wala hawezi kuwa nae kwa vile yeye ni mke wa mtu.

UTATA MTUPU…!

Kwa sisi wapenda documentaries za crime, hizi sababu zinaleta utata kuliko majibu. Katika matukio ya vifo kama hivi vinavyohusika mapenzi au fedha, lazima kitu kiitwacho MOTIVE kiwe established.
Katika wahusika wote watatu katika tukio hili, mtu mwenye motive kubwa ni Masanja. Haijalishi alikuwepo nchini au hakuwepo wakati tukio linatokea.

Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?

Je, ni kweli marehemu alijinyonga? Au amenyongwa halafu cover up imefanyika?

Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)

Uzuri kamanda amesema maelezo yake ya leo ni uchunguzi wa awali na bado wanaendelea. Naamini majibu yatapatikana tu, ila Masanja Mkandamizaji aangaliwe kwa ukaribu sana. Ndiye mtu pekee mwenye MOTIVE ya kuchezesha mambo. Simu za wahusika wote zikaguliwe kwa kina, na majibu yatakuwemo humo.
Kwa hiyo we una unamtetea mzinifu!!!
 
inawezekana ww ndio hujawaelewa police kwanza kabisa kamanda amekubali kulikua na mahusiano ya mawasiliano baina ya victim (marehemu) na mke wa mwanawane
2 kamanda hajatoa direct code kama kondoo ili liwa kwa mkate na divai madhabahuni (mbususu)
3 kitendo cha kondoo kwenda na mama mtu mzima kuvunja penzi haiitaji degree ya Harvard kujua apo kulia na strong relationship behind the mwanawane back
4 kitu kinacho fanya hii nshu kua suicide and not murder ni testimony ya victim hakuna cover up operation yoyote kweny murder ukaacha ushaid directly unaokurudia ww mwenyew (Jina la MONICA) hii unaonesha jamaa ka commit suicide kwa free will yake
big question is kwa nn jaman ajiue kwa penz la kuiba na mke anae all in all
mayday mayday one idiot down I repeat one idiot down no need for back up
over
 
Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?[emoji1752][emoji1545]
Tena mke mwenyewe ana sura kama Kibu Dennis kakosa goli la wazi dakika ya tisini na mbili simba wakiwa nyuma kwa goli moja
 
Hakika hii taarifa imeibua maswali mengine makubwa zaidi
 
Wadau, leo kumesambaa taarifa kwenye vyombo vya habari kutoka kwa kamanda wa polisi Muliro akielezea sababu za kujiua katibu wa Feel Free Church kutokana na uchunguzi wa awali.

Maelezo ya kamanda yanapeleka kwenye hitimisho moja kuwa, Mama Mchungaji (Monica) na marehemu hawakuwa na mahusiano na kwamba katibu amejiua kwa kukataliwa baada ya kuwa akimtongoza Monica. Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake kwa leo kumuhabarisha kuwa hataki kutumiwa jumbe hizo na wala hawezi kuwa nae kwa vile yeye ni mke wa mtu.

UTATA MTUPU…!

Kwa sisi wapenda documentaries za crime, hizi sababu zinaleta utata kuliko majibu. Katika matukio ya vifo kama hivi vinavyohusika mapenzi au fedha, lazima kitu kiitwacho MOTIVE kiwe established.
Katika wahusika wote watatu katika tukio hili, mtu mwenye motive kubwa ni Masanja. Haijalishi alikuwepo nchini au hakuwepo wakati tukio linatokea.

Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?

Je, ni kweli marehemu alijinyonga? Au amenyongwa halafu cover up imefanyika?

Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)

Uzuri kamanda amesema maelezo yake ya leo ni uchunguzi wa awali na bado wanaendelea. Naamini majibu yatapatikana tu, ila Masanja Mkandamizaji aangaliwe kwa ukaribu sana. Ndiye mtu pekee mwenye MOTIVE ya kuchezesha mambo. Simu za wahusika wote zikaguliwe kwa kina, na majibu yatakuwemo humo.

Kitendo Cha mke wa masanja kwenda kwa katibu na mwanamke mwingine ni ushahidi mzuri Sana. Walienda kufanya Nini kwa my anayemsumbua kwanini wasikutane kanisani au neutral place?. Kama ni mauaji mtuhumiwa wa Kwanza ni masanja na huyo mke wake.
 
Wadau, leo kumesambaa taarifa kwenye vyombo vya habari kutoka kwa kamanda wa polisi Muliro akielezea sababu za kujiua katibu wa Feel Free Church kutokana na uchunguzi wa awali.

Maelezo ya kamanda yanapeleka kwenye hitimisho moja kuwa, Mama Mchungaji (Monica) na marehemu hawakuwa na mahusiano na kwamba katibu amejiua kwa kukataliwa baada ya kuwa akimtongoza Monica. Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake kwa leo kumuhabarisha kuwa hataki kutumiwa jumbe hizo na wala hawezi kuwa nae kwa vile yeye ni mke wa mtu.

UTATA MTUPU…!

Kwa sisi wapenda documentaries za crime, hizi sababu zinaleta utata kuliko majibu. Katika matukio ya vifo kama hivi vinavyohusika mapenzi au fedha, lazima kitu kiitwacho MOTIVE kiwe established.
Katika wahusika wote watatu katika tukio hili, mtu mwenye motive kubwa ni Masanja. Haijalishi alikuwepo nchini au hakuwepo wakati tukio linatokea.

Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?

Je, ni kweli marehemu alijinyonga? Au amenyongwa halafu cover up imefanyika?

Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)

Uzuri kamanda amesema maelezo yake ya leo ni uchunguzi wa awali na bado wanaendelea. Naamini majibu yatapatikana tu, ila Masanja Mkandamizaji aangaliwe kwa ukaribu sana. Ndiye mtu pekee mwenye MOTIVE ya kuchezesha mambo. Simu za wahusika wote zikaguliwe kwa kina, na majibu yatakuwemo humo.
uko sahihi.
 
Tena mke mwenyewe ana sura kama Kibu Dennis kakosa goli la wazi dakika ya tisini na mbili simba wakiwa nyuma kea
Acha bana chuki zako.. Kwako mbaya ila kwa masanja mzuri.. Au unataka definition yako ya uzuri ifiti kwa kila mtu... 😳😳
 
Vyovyote
Hakuna siku hapa
Duniani majibu yakaridhisha kila mmoja
Masanja kagomgewa mjue hivyo
 
Wadau, leo kumesambaa taarifa kwenye vyombo vya habari kutoka kwa kamanda wa polisi Muliro akielezea sababu za kujiua katibu wa Feel Free Church kutokana na uchunguzi wa awali.

Maelezo ya kamanda yanapeleka kwenye hitimisho moja kuwa, Mama Mchungaji (Monica) na marehemu hawakuwa na mahusiano na kwamba katibu amejiua kwa kukataliwa baada ya kuwa akimtongoza Monica. Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake kwa leo kumuhabarisha kuwa hataki kutumiwa jumbe hizo na wala hawezi kuwa nae kwa vile yeye ni mke wa mtu.

UTATA MTUPU…!

Kwa sisi wapenda documentaries za crime, hizi sababu zinaleta utata kuliko majibu. Katika matukio ya vifo kama hivi vinavyohusika mapenzi au fedha, lazima kitu kiitwacho MOTIVE kiwe established.
Katika wahusika wote watatu katika tukio hili, mtu mwenye motive kubwa ni Masanja. Haijalishi alikuwepo nchini au hakuwepo wakati tukio linatokea.

Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?

Je, ni kweli marehemu alijinyonga? Au amenyongwa halafu cover up imefanyika?

Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)

Uzuri kamanda amesema maelezo yake ya leo ni uchunguzi wa awali na bado wanaendelea. Naamini majibu yatapatikana tu, ila Masanja Mkandamizaji aangaliwe kwa ukaribu sana. Ndiye mtu pekee mwenye MOTIVE ya kuchezesha mambo. Simu za wahusika wote zikaguliwe kwa kina, na majibu yatakuwemo humo.
Msiwaonee polisi. Wenzenu ni form IV failures.
 
Back
Top Bottom