Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Ah mkali gwala hii! Mambo ya udetective haya. Unasamehe mkeo kutongozwa na kumkataa mtongozaji?
Yaani kama unaakili za kiditective kumaliza hii movie ni rahisi sana, wanajiingiza kwa kwenye mtego kwa maneno yao tu.
 
Oshiiii
 

Attachments

  • Screenshot_20221004_214402.jpg
    Screenshot_20221004_214402.jpg
    75.8 KB · Views: 9
Katika ule ujumbe aliocha mwendazake (kama ni wake kweli?) Alisema atamis zana moments walizokua pamoja ni zipo hizo?
 
Kuhusu mlango kufungwa kwa ndani mtu kama ni funguo ndogo anaweza ufunga kwa nje na funguo kurushwa ndani ili ionekane kajifungia.na hospitalini wamesema kuwa hakuwa na alama yeyote ya mapambano kabla y kifo chake zaidi ya kujinyonga.
Hiyo sio justification, kwani kuna ugumu gani kwa muuaji kuwa na funguo zingine za huo mlango na kumuacha maremu na funguo zake ndani yeye akafunga na zake na kuondoka nazo.
 
Bora hata ya hawa mafia wanakuachia dhana dhania kibao kuliko wale shambulio la kijinga la Dodoma ambalo hata kwa akili tu ya kifisi tayari unajua marehemu ndie sterling master.
 
Katika ule ujumbe aliocha mwendazake (kama ni wake kweli?) Alisema atamis zana moments walizokua pamoja ni zipo hizo?
Ujumbe unaonyesha kuku aliliwa manyoya SAsa labda alitaka kuchonga mzinga.
Ila hii ya kukodi mtu mzima akamuonye mwendazake kwa demu matured uleta shaka,si angekula tu block na kufukuzwa asikae ikulu.
 
Naona hapa Masanja anatumia mbinu ya kutotaka kuhojiwa. Na bila kujua kuwa wenye uelewa mpana tunajua kuwa mtu yeyote mwenye mawazo ya kujiua basi anao uwezo wa kuua mtu mwingine vilevile.

Anyway mambo yasiwe mengi, ngoja tunywe mtori nyama zipo chini
 
Katibu kaniudhi kweli angemuendea na mke wa mc pili pili au mwijaku ili kuhitimisha kwa three some ya maana kbsa hao vijana wanajidai Sana

Kijna ameniudhi San mnk kwamab kitendo tu Cha yeye kuwa noticed au spotted bas angeelekea kanisa la pilipili kuhakikisha kwamb anapata nafsi nyingine ya ukatibu au mzee wa kanisa then awachakate

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Na kwa nini amsamehe mkewe kama ilikuwa anatongozwa tu? Je mke kutongozwa ni kosa la mke mpaka asamehewe? Hapa kuna maswali yasiyo na majibu. Angesema amemsamehe marehemu hapo kidogo ingeleta mantiki.

Lakini kumsamehe mtongizwaji ambaye alikuwa anakataa mahusiano kwa kulinda heshima ya mmewe ni kosa kubwa alilofanya Masanja katika kupanga mipango yake. Ningekuwa askari sasa hivi Masanja angekuwa anajibu maswali hayo kwa kuanzia uchunguzi.
Ur a great thinker.

GENTAMYCINE njoo ujifunze kufikiri
 
Nimeona mnataka kumframe tu mke wa masanja, alienda na mwanamke mtu mzima baada ya kuona Huyo katibu amezidi, sasa nawauliza mlitaka aende na mwanaume mtu mzima ndio akili zenu ziridhike?! …..mmeshaambiwa mawasiliano yanaonesha hawakua wapenzi bado hamridhiki kwa kuwa mke wa Masanja na Muliro ni ndugu mpaka Muliro amprotect monica?
 
Wadau, leo kumesambaa taarifa kwenye vyombo vya habari kutoka kwa kamanda wa polisi Muliro akielezea sababu za kujiua katibu wa Feel Free Church kutokana na uchunguzi wa awali.

Maelezo ya kamanda yanapeleka kwenye hitimisho moja kuwa, Mama Mchungaji (Monica) na marehemu hawakuwa na mahusiano na kwamba katibu amejiua kwa kukataliwa baada ya kuwa akimtongoza Monica. Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake kwa leo kumuhabarisha kuwa hataki kutumiwa jumbe hizo na wala hawezi kuwa nae kwa vile yeye ni mke wa mtu.

UTATA MTUPU…!

Kwa sisi wapenda documentaries za crime, hizi sababu zinaleta utata kuliko majibu. Katika matukio ya vifo kama hivi vinavyohusika mapenzi au fedha, lazima kitu kiitwacho MOTIVE kiwe established.
Katika wahusika wote watatu katika tukio hili, mtu mwenye motive kubwa ni Masanja. Haijalishi alikuwepo nchini au hakuwepo wakati tukio linatokea.

Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?

Je, ni kweli marehemu alijinyonga? Au amenyongwa halafu cover up imefanyika?

Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)

Uzuri kamanda amesema maelezo yake ya leo ni uchunguzi wa awali na bado wanaendelea. Naamini majibu yatapatikana tu, ila Masanja Mkandamizaji aangaliwe kwa ukaribu sana. Ndiye mtu pekee mwenye MOTIVE ya kuchezesha mambo. Simu za wahusika wote zikaguliwe kwa kina, na majibu yatakuwemo humo.
Mke wa marehemu Katibu je? Hana Motive?
 
Watoto wa Masanja wapimwe DNA na chombo huru. Kama katibu hana chake pale mniite mbwa.
 
Nimeona mnataka kumframe tu mke wa masanja, alienda na mwanamke mtu mzima baada ya kuona Huyo katibu amezidi, sasa nawauliza mlitaka aende na mwanaume mtu mzima ndio akili zenu ziridhike?! …..mmeshaambiwa mawasiliano yanaonesha hawakua wapenzi bado hamridhiki kwa kuwa mke wa Masanja na Muliro ni ndugu mpaka Muliro amprotect monica?
Kuna watu wanamajibu yao ambayo walitaka wayasikie iliwafurahie, kwa kifupi marehemu anapata watetezi kama wote ilihali alitongoza mke wa mwenzie wakati na yeye anamke wake.
 
Nimeona mnataka kumframe tu mke wa masanja, alienda na mwanamke mtu mzima baada ya kuona Huyo katibu amezidi, sasa nawauliza mlitaka aende na mwanaume mtu mzima ndio akili zenu ziridhike?! …..mmeshaambiwa mawasiliano yanaonesha hawakua wapenzi bado hamridhiki kwa kuwa mke wa Masanja na Muliro ni ndugu mpaka Muliro amprotect monica?
Ukisema hawakuwa na mapenzi masanja ataulizwa kwann alipost kuwa kamsamehe mkewe bora usema walikuwa nayo angalau kuna kausalama kwa mume.
 
Back
Top Bottom