Utata wa nyumba mpya ya Diamond waibuka

you have been awarded a trophy keep posting
 
Mmmh

Hapo kwenye copy na mondi mmmmh
 
Habari zilizo chini ya carpet kuhusu nyumba mpya ya mwanamuziki Diamond iliyopo South Africa zinasema kuwa mjengo huo bado haujalipiwa na uko sokoni. Hivyo si Diamond wala Zari wana umiliki halali wa hiyo nyumba

Source: Mange Kimambi
Pole Binamu...!!

Bossylady kwa hiyo bado atakaa kwa Ivan?!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
 
Sidhani kama diamond ni mjinga kiasi cha kutangaza nyumba isiyo yake kweli, km ilikuwa sokoni wamenunua means itatolewa its a matter of time. Mange huwa namsapoti ila linapokuja suala la kumtetea wema upuuzi na kumsimanga zari na kutangaza wanawake wawe gold diggers, na kutetea mishoga, atanisamehe she becomes mpuuzi wa hali ya juu.
 
Huyu mange amezid yy ni nani mpk ajue kila kitu kuna muda anaboa inabid awe anafanya na maisha yake sio kuangalia maisha ya watu
 
Huyo mange mzutii unamuwasha sana mpka chibu amfumue ndio atatulia....hana jipya mbna yeye alidai ndio mtanzania mwenye nyumba usa kumbe kapanga kigogo fresh ya usa
 
Hiyo nyumba mbona Dai anainunua tu maana ni kama 400mil hivi
 
Heehe kumbe una tambua kua mange n kibibi na yeye[emoji28]ana lazimisha umaarufu sana tu kwa kutengeneza skendo na kuchafua watu kwa roho yake mbaya hilo ndo haswa namaanishaaaa
 
Mbona kama umepaniki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…