Utata wa siku 3 za Yesu na hesabu zetu

Utata wa siku 3 za Yesu na hesabu zetu

Je Yesu alikufa siku tatu kama alivyojitabiria au siku tatu (masaa 72) hazikufika au hakumaanisha siku tatu kamili? ( siku tatu za Yesu zilikuwa za masaa 72?)
Mathayo 12: 40 '' Kwa maana kama vile Yona+ alivyokuwa katika tumbo la yule samaki mkubwa siku tatu mchana na usiku, ndivyo Mwana wa binadamu+ atakavyokuwa katika moyo wa dunia+ siku tatu mchana na usiku'' (Mathew 12:40For as Jonah was three days and three nights in the belly of a huge fish, so the Son of Man will be three days and three nights in the heart of the earth.)
Kumbuka hili ni jibu la Yesu wakati akitaka kuwathibitishia mafarisayo na walimu waliotaka ishara kutoka kwake Mathayo12.38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.” . Hivyo akatumia mfano wa Yohana kwa kuwaambia atakaa chini ya moyo wa ardhi kama alivyokaa Yona kwa siku tatu. Kwa hiyo hii ilibaki mioyoni mwao kama kipimo cha ukweli wake. Angefufuka kabla siku hizo tatu hazijafika mafarisayo wasingemuelewa. Wangemuita muongo na hakutoka kwa Mungu.

Kuna waalimu hufundisha kuwa Yesu alisulubiwa Ijumaa na wanaiita Ijumaa kuu ( Good Friday) na akafufuka Jumapili asubuhi na mapema.Je kuna ukweli hapo? Tukiamini kwamba Yesu alikufa Ijumaa mchana na akazikwa jioni kabla ya Sabato na kufufuka Jumapili asubuhi sana, Je siku Tatu zilitimia?
Kwa hesabu hizi alilala ijumaa usiku, akashinda jumamosi mchana na jumamosi usiku.
Je hizo ni siku tatu mchana na usiku kwa maana ya three days and three nights.


Wajuzi wa mambo tuelimishane hii ipoje
Mmmh
 
Je Yesu alikufa siku tatu kama alivyojitabiria au siku tatu (masaa 72) hazikufika au hakumaanisha siku tatu kamili? ( siku tatu za Yesu zilikuwa za masaa 72?)
Mathayo 12: 40 '' Kwa maana kama vile Yona+ alivyokuwa katika tumbo la yule samaki mkubwa siku tatu mchana na usiku, ndivyo Mwana wa binadamu+ atakavyokuwa katika moyo wa dunia+ siku tatu mchana na usiku'' (Mathew 12:40For as Jonah was three days and three nights in the belly of a huge fish, so the Son of Man will be three days and three nights in the heart of the earth.)
Kumbuka hili ni jibu la Yesu wakati akitaka kuwathibitishia mafarisayo na walimu waliotaka ishara kutoka kwake Mathayo12.38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.” . Hivyo akatumia mfano wa Yohana kwa kuwaambia atakaa chini ya moyo wa ardhi kama alivyokaa Yona kwa siku tatu. Kwa hiyo hii ilibaki mioyoni mwao kama kipimo cha ukweli wake. Angefufuka kabla siku hizo tatu hazijafika mafarisayo wasingemuelewa. Wangemuita muongo na hakutoka kwa Mungu.

Kuna waalimu hufundisha kuwa Yesu alisulubiwa Ijumaa na wanaiita Ijumaa kuu ( Good Friday) na akafufuka Jumapili asubuhi na mapema.Je kuna ukweli hapo? Tukiamini kwamba Yesu alikufa Ijumaa mchana na akazikwa jioni kabla ya Sabato na kufufuka Jumapili asubuhi sana, Je siku Tatu zilitimia?
Kwa hesabu hizi alilala ijumaa usiku, akashinda jumamosi mchana na jumamosi usiku.
Je hizo ni siku tatu mchana na usiku kwa maana ya three days and three nights.


Wajuzi wa mambo tuelimishane hii ipoje
SOMA HAPA LABDA PATASAIDIA

When Was Jesus Christ Crucified and Resurrected?
Did He Really Die on Good Friday and Come Back to Life on Easter Sunday?

Jesus Christ said He would be in the grave for three days and three nights. How can you count that from Good Friday afternoon to Easter Sunday morning

In Matthew 12:38, some of the scribes and Pharisees asked Jesus for a sign to prove He was the Messiah. But Jesus told them that the only sign He would give was that of the prophet Jonah: “For as Jonah was three days and three nights in the belly of the great fish, so will the Son of Man be three days and three nights in the heart of the earth” (Matthew 12:40).
But how can we fit “three days and three nights” between a Friday-afternoon crucifixion and a Sunday-morning resurrection? This traditional view allows for Jesus to have been entombed for only a day and a half

Infographic: Three Days & Three Nights - The Chronology of Jesus Christ’s Death, Burial and Resurrection
The choice of a Sunday date for Easter is based on the assumption that Christ rose from the grave early on a Sunday morning. The popular belief is that Christ was crucified on a Friday and rose on a Sunday. But neither of these suppositions is true. A close reading of the Bible makes that quite clear.

Some believe that Christ’s “three days and three nights” statement does not require a literal span of 72 hours, reasoning that a part of a day can be reckoned as a whole day. Thus, since Jesus died in the afternoon, they think the remainder of Friday constituted the first day, Saturday the second and part of Sunday the third. However, only two nights—Friday night and Saturday night—are accounted for in this explanation. Something is obviously wrong with the traditional view regarding when Christ was in the tomb.
Jonah 1:17, to which Christ referred, states specifically that “Jonah was in the belly of the fish three days and three nights.” We have no basis for thinking that Jesus meant only two nights and one day, plus parts of two days. If Jesus were in the tomb only from late Friday afternoon to early Sunday morning, then the sign He gave that He was the prophesied Messiah was not fulfilled.
Let’s carefully examine the details from the Gospels. When we do, we uncover the real story of how Jesus’ words were fulfilled precisely.

Two Sabbaths mentioned
Notice the events outlined in Luke 23. Jesus’ moment of death, as well as His hasty burial because of the oncoming Sabbath that began at sundown, is narrated in Luke 23:46-53. Luke 23:54 then states, “That day was the Preparation, and the Sabbath drew near.”
Many have assumed that it is the weekly Sabbath mentioned here, and that Jesus was therefore crucified on a Friday. But John 19:31 shows that this approaching Sabbath “was a high day”—not the weekly Sabbath (Friday sunset to Saturday sunset) but the first day of Unleavened Bread, which is one of God’s annual high, or Sabbath, days (Exodus 12:16-17; Leviticus 23:6-7). These annual Holy Days could—and usually did—fall on days of the week other than the regular weekly Sabbath day.
This high-day Sabbath was Wednesday night and Thursday, since Luke 23:56shows that the women, after seeing Christ’s body being laid in the tomb just before sunset, “returned and prepared spices and fragrant oils” for the final preparation of the body.
Such work would not have been done on a Sabbath day since it would have been considered a violation of the Sabbath. This is verified by Mark’s account, which states, “Now when the Sabbath was past, Mary Magdalene, Mary the mother of James, and Salome bought spices [which they would not have purchased on the high-day Sabbath], that they might come and anoint Him” (Mark 16:1).
The women had to wait until this annual “high day” Sabbath was over before they could buy and prepare the spices to be used for anointing Jesus’ body. Then, after purchasing and preparing the spices and oils on Friday, “they rested on the Sabbath according to the commandment” (Luke 23:56). This second Sabbath mentioned in the Gospel accounts is the regular weekly Sabbath, observed from Friday sunset to Saturday sunset.
By comparing details in both Gospels—where Mark tells us the women bought spices after the Sabbath and Luke relates that they prepared the spices before resting on the Sabbath—we can clearly see that two different Sabbaths are mentioned. The first, as John 19:31 tells us, was a “high day”—the first day of the Feast of Unleavened Bread—which, in A.D. 31, fell on a Thursday. The second was the weekly seventh-day Sabbath.


Sign of the Messiah
After the women rested on the regular weekly Sabbath, they went to Jesus’ tomb early on the first day of the week (Sunday), “while it was still dark” (John 20:1), and found that He had already been resurrected (Matthew 28:1-6; Mark 16:2-6; Luke 24:1-3).
When we consider the details in all four Gospel accounts, the picture is clear. Jesus was crucified and entombed late on Wednesday afternoon, just before a Sabbath began at sunset. However, that was a high-day Sabbath, lasting from Wednesday sunset to Thursday sunset that week, rather than the regular weekly Sabbath, lasting from Friday sunset to Saturday sunset.
He remained in the tomb from Wednesday at sunset until Saturday at sunset, when He rose from the dead. While no one witnessed His resurrection (which took place inside a sealed tomb), it had to have happened near sunset on Saturday, three days and three nights after His body was entombed. It could not have happened on Sunday morning, because when Mary Magdalene came to the tomb that morning before sunrise, “while it was still dark,” she found the stone rolled away and the tomb empty.
We can be assured that the length of His entombment that Jesus gave as proof He was the Messiah was exactly as long as He foretold. Jesus rose precisely three days and three nights after He was placed in the tomb.
Because most people do not understand the biblical high days Jesus Christ and His followers kept, they fail to understand the chronological details so accurately preserved for us in the Gospels.
 
SOMA HAPA LABDA PATASAIDIA

When Was Jesus Christ Crucified and Resurrected?
Did He Really Die on Good Friday and Come Back to Life on Easter Sunday?

Jesus Christ said He would be in the grave for three days and three nights. How can you count that from Good Friday afternoon to Easter Sunday morning

In Matthew 12:38, some of the scribes and Pharisees asked Jesus for a sign to prove He was the Messiah. But Jesus told them that the only sign He would give was that of the prophet Jonah: “For as Jonah was three days and three nights in the belly of the great fish, so will the Son of Man be three days and three nights in the heart of the earth” (Matthew 12:40).
But how can we fit “three days and three nights” between a Friday-afternoon crucifixion and a Sunday-morning resurrection? This traditional view allows for Jesus to have been entombed for only a day and a half

Infographic: Three Days & Three Nights - The Chronology of Jesus Christ’s Death, Burial and Resurrection
The choice of a Sunday date for Easter is based on the assumption that Christ rose from the grave early on a Sunday morning. The popular belief is that Christ was crucified on a Friday and rose on a Sunday. But neither of these suppositions is true. A close reading of the Bible makes that quite clear.

Some believe that Christ’s “three days and three nights” statement does not require a literal span of 72 hours, reasoning that a part of a day can be reckoned as a whole day. Thus, since Jesus died in the afternoon, they think the remainder of Friday constituted the first day, Saturday the second and part of Sunday the third. However, only two nights—Friday night and Saturday night—are accounted for in this explanation. Something is obviously wrong with the traditional view regarding when Christ was in the tomb.
Jonah 1:17, to which Christ referred, states specifically that “Jonah was in the belly of the fish three days and three nights.” We have no basis for thinking that Jesus meant only two nights and one day, plus parts of two days. If Jesus were in the tomb only from late Friday afternoon to early Sunday morning, then the sign He gave that He was the prophesied Messiah was not fulfilled.
Let’s carefully examine the details from the Gospels. When we do, we uncover the real story of how Jesus’ words were fulfilled precisely.

Two Sabbaths mentioned
Notice the events outlined in Luke 23. Jesus’ moment of death, as well as His hasty burial because of the oncoming Sabbath that began at sundown, is narrated in Luke 23:46-53. Luke 23:54 then states, “That day was the Preparation, and the Sabbath drew near.”
Many have assumed that it is the weekly Sabbath mentioned here, and that Jesus was therefore crucified on a Friday. But John 19:31 shows that this approaching Sabbath “was a high day”—not the weekly Sabbath (Friday sunset to Saturday sunset) but the first day of Unleavened Bread, which is one of God’s annual high, or Sabbath, days (Exodus 12:16-17; Leviticus 23:6-7). These annual Holy Days could—and usually did—fall on days of the week other than the regular weekly Sabbath day.
This high-day Sabbath was Wednesday night and Thursday, since Luke 23:56shows that the women, after seeing Christ’s body being laid in the tomb just before sunset, “returned and prepared spices and fragrant oils” for the final preparation of the body.
Such work would not have been done on a Sabbath day since it would have been considered a violation of the Sabbath. This is verified by Mark’s account, which states, “Now when the Sabbath was past, Mary Magdalene, Mary the mother of James, and Salome bought spices [which they would not have purchased on the high-day Sabbath], that they might come and anoint Him” (Mark 16:1).
The women had to wait until this annual “high day” Sabbath was over before they could buy and prepare the spices to be used for anointing Jesus’ body. Then, after purchasing and preparing the spices and oils on Friday, “they rested on the Sabbath according to the commandment” (Luke 23:56). This second Sabbath mentioned in the Gospel accounts is the regular weekly Sabbath, observed from Friday sunset to Saturday sunset.
By comparing details in both Gospels—where Mark tells us the women bought spices after the Sabbath and Luke relates that they prepared the spices before resting on the Sabbath—we can clearly see that two different Sabbaths are mentioned. The first, as John 19:31 tells us, was a “high day”—the first day of the Feast of Unleavened Bread—which, in A.D. 31, fell on a Thursday. The second was the weekly seventh-day Sabbath.


Sign of the Messiah
After the women rested on the regular weekly Sabbath, they went to Jesus’ tomb early on the first day of the week (Sunday), “while it was still dark” (John 20:1), and found that He had already been resurrected (Matthew 28:1-6; Mark 16:2-6; Luke 24:1-3).
When we consider the details in all four Gospel accounts, the picture is clear. Jesus was crucified and entombed late on Wednesday afternoon, just before a Sabbath began at sunset. However, that was a high-day Sabbath, lasting from Wednesday sunset to Thursday sunset that week, rather than the regular weekly Sabbath, lasting from Friday sunset to Saturday sunset.
He remained in the tomb from Wednesday at sunset until Saturday at sunset, when He rose from the dead. While no one witnessed His resurrection (which took place inside a sealed tomb), it had to have happened near sunset on Saturday, three days and three nights after His body was entombed. It could not have happened on Sunday morning, because when Mary Magdalene came to the tomb that morning before sunrise, “while it was still dark,” she found the stone rolled away and the tomb empty.
We can be assured that the length of His entombment that Jesus gave as proof He was the Messiah was exactly as long as He foretold. Jesus rose precisely three days and three nights after He was placed in the tomb.
Because most people do not understand the biblical high days Jesus Christ and His followers kept, they fail to understand the chronological details so accurately preserved for us in the Gospels.
Mkuu nimegundua vitu kadhaa kwenye bandiko lako.
Kwanza -kwamba Yesu hakusulubiwa Ijumaa ,ni nyuma ya hapo, hivyo hata ijumaa kuu au Good friday ni siyo halali au haina ukweli kwa kuwa Yesu hakufufuka siku hiyo. Je kuna haja ya kuwa na Ijumaa? kwa nini inalazimishwa uwepo wake. Wakristo tujadili hili.
Pili -kwamba wale waioenda kaburini ,ilikuwa ni jumapili kukiwa bado na giza ,na walikuta kaburi likiwa wazi, Yesu akiwa ameishafufuka, hivyo hakuna anayejua alifufuka muda gani. Unamaanisha hii jumapili nayo ni ya mashaka. Wakristo wenzangu, Kwa yeyote anayejua uhakika wa hii jumapili kuwa ndio Yesu alifufuka atusaidie. Biblia inasema wale wanawake walienda Jumapili wakakuta Yesu hayupo kaburini. Je uhakika kuwa Yesu alifufuka siku hiyo tunautoa wapi? Tujadiliane
 
Infographic: Three Days & Three Nights - The Chronology of Jesus Christ’s Death, Burial and Resurrection
The choice of a Sunday date for Easter is based on the assumption that Christ rose from the grave early on a Sunday morning. The popular belief is that Christ was crucified on a Friday and rose on a Sunday. But neither of these suppositions is true. A close reading of the Bible makes that quite clear.

Some believe that Christ’s “three days and three nights” statement does not require a literal span of 72 hours, reasoning that a part of a day can be reckoned as a whole day. Thus, since Jesus died in the afternoon, they think the remainder of Friday constituted the first day, Saturday the second and part of Sunday the third. However, only two nights—Friday night and Saturday night—are accounted for in this explanation. Something is obviously wrong with the traditional view regarding when Christ was in the tomb.
Jonah 1:17, to which Christ referred, states specifically that “Jonah was in the belly of the fish three days and three nights.” We have no basis for thinking that Jesus meant only two nights and one day, plus parts of two days. If Jesus were in the tomb only from late Friday afternoon to early Sunday morning, then the sign He gave that He was the prophesied Messiah was not fulfilled.

QUR'AN IMESEMA KWELI: (4:157- 8)
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemwuawa Masihi Issa Mwana wa Maryamu, Mtume wa mweyezi mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsulubu, bali walifananishwa tu. Na hakika walio khitilafiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.

Bali Mwenyezi Mungu alimtukuza (kwa kumnyanyua) kwake, na hakika Mwenyezi ni Mwenye nguvu, Mwenye hekima.

NB: Hakuna sababu ya kuamini dhana! haikuwa mpango wa Mungu!
 
Infographic: Three Days & Three Nights - The Chronology of Jesus Christ’s Death, Burial and Resurrection
The choice of a Sunday date for Easter is based on the assumption that Christ rose from the grave early on a Sunday morning. The popular belief is that Christ was crucified on a Friday and rose on a Sunday. But neither of these suppositions is true. A close reading of the Bible makes that quite clear.

Some believe that Christ’s “three days and three nights” statement does not require a literal span of 72 hours, reasoning that a part of a day can be reckoned as a whole day. Thus, since Jesus died in the afternoon, they think the remainder of Friday constituted the first day, Saturday the second and part of Sunday the third. However, only two nights—Friday night and Saturday night—are accounted for in this explanation. Something is obviously wrong with the traditional view regarding when Christ was in the tomb.
Jonah 1:17, to which Christ referred, states specifically that “Jonah was in the belly of the fish three days and three nights.” We have no basis for thinking that Jesus meant only two nights and one day, plus parts of two days. If Jesus were in the tomb only from late Friday afternoon to early Sunday morning, then the sign He gave that He was the prophesied Messiah was not fulfilled.

QUR'AN IMESEMA KWELI: (4:157- 8)
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemwuawa Masihi Issa Mwana wa Maryamu, Mtume wa mweyezi mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsulubu, bali walifananishwa tu. Na hakika walio khitilafiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.

Bali Mwenyezi Mungu alimtukuza (kwa kumnyanyua) kwake, na hakika Mwenyezi ni Mwenye nguvu, Mwenye hekima.

NB: Hakuna sababu ya kuamini dhana! haikuwa mpango wa Mungu!
Mkuu Koran ni kitabu kiliandikwa miaka mamia baada ya Yesu, hakiwezi kuwa na taarifa za kweli kuhusu Yesu. Yaani hicho kimejaa mawazo ya Mtume tu na chuki zake dhidi ya wayahudi-ni kopy ya Biblia +mawazo ya kubuni mtume
 
N kweli mkuu walikuwa wanahesabu kwa utaratibu kwamba jua likizama siku inaisha na nyingine inaanza.Kwa hiyo kama alizikwa Ijumaa jioni na kufufuka jumapili asubuhi siku tatu hazifiki
HIyo unayoambiwa ni Ijumaa yaweza kuwa ilikuwa alhamis jioni mara baada ya jua kuzama.Kwa hesabu za wayahudi na hata wasabato hiyo tayari ni ijumaa. Rejea mjumbe mmoja hapo juu alivyokufafanulia jinsi wayahudi walivyohesabu siku.
 
Hivi Mfano
Rais Trump akija Tanzania kwa ziara ya siku mbili, akifika leo unategemea ataondoka lini.
Ukijibu hapo naamini jibu la siku tatu za Yesu utakuwa umepata tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usha
Kwa kawaida siku kwa wa yahudi ilikuwa na masaa 12 sio 24 hivyo alikufa ijumaa saa tisa mpaka saa 12 ijumaa ilikuwa siku ya kwanza jumamosi saa 12 iliisha siku ya pili na tayari ilianza jumapili yaani siku ya 3 kwa hesabu hizo Yesu alifufuka siku ya Tatu jumapili


Sent from my iPhone using JamiiForums
Naomba ushahidi wa hili Suala kuwa wayahudi walihesabu siku kwa masaa 12 na sio 24
Na Kama ni hivyo ina Maana Baadhi ya siku zilikuwa ni Usiku pekee bila mchana au mchana pekee bila usiku.
 
Hivi Mfano
Rais Trump akija Tanzania kwa ziara ya siku mbili, akifika leo unategemea ataondoka lini.
Ukijibu hapo naamini jibu la siku tatu za Yesu utakuwa umepata tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi huwa wanahesabu yale masaa ya kazi. Kama wewe unavyo hesabu siku tano za kazi kwani unafanya masaa yote 24?
 
Kwa kawaida siku kwa wa yahudi ilikuwa na masaa 12 sio 24 hivyo alikufa ijumaa saa tisa mpaka saa 12 ijumaa ilikuwa siku ya kwanza jumamosi saa 12 iliisha siku ya pili na tayari ilianza jumapili yaani siku ya 3 kwa hesabu hizo Yesu alifufuka siku ya Tatu jumapili


Sent from my iPhone using JamiiForums
Siyo kweli mkuu. Walikuwa wanahesabu kwa utaratibu huu , jua likizama ,siku inaanza na nyingine inaisha. Kwa mfano sabato inaanza ijumaa jua likizama na inaisha jumamosi jua likizama. Na hayo ni masaa 24 na siyo 12
 
Kuna baadhi ya vitu havifanyiwi hesabu kwa kutumia namba kamili, ndio maana kukawa na somo la MAKADIRIO!..
Mojawapo ni hilo, toka Ijumaa mpaka Jumapili ni siku tatu kikawaida. Sawa na birthday yako (ukizaliwa leo tarehe 16 saa 4 Usiku ina maana utakuwa unaiadhimisha ikifika tarehe 16 saa 4 usiku?)
Ha ha ha!
 
Mtazamo wangu maana wanasema siku ya 3 akafufuka

Ijumaa inaisha saa 6 usiku...kwa iyo ilikuwa bado siku ya kwanza
Jumamosi inaisha saa 6 usiku kwa iyo ilikuwa kama siku ya pili
Jumapili ambayo ni siku ya tatu kabala ya saa6 usiku akafufuka

Mtazamo ni huo


If it isn’t perfect ,it’s not good enough
Huo utaratibu wa kuhesabu siku kuanzia saa 6 usiku ulianzishwa na Warumi ,haukuwepo wakati wa Yesu
 
Ukiesabu masaa, ata masaa 48 hayafiki, mfano kutoka ijumaa saa sita mpaka jmos saa sita ni 24hrs, kutoka jmos saa sita iyi mpaka jpl asubui ni karibu 18hrs, sasa apo nin haswa unataka, japo nnavyo ona ni kama walihesabu siku bila kuzingatia masaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi Wazee wa Kanisa washaniambia hivyo kwamba ni siku tatu na huo ndio msimamo wangu hadi pale wazee wa kanisa watakaponiambia vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna baadhi ya vitu havifanyiwi hesabu kwa kutumia namba kamili, ndio maana kukawa na somo la MAKADIRIO!..
Mojawapo ni hilo, toka Ijumaa mpaka Jumapili ni siku tatu kikawaida. Sawa na birthday yako (ukizaliwa leo tarehe 16 saa 4 Usiku ina maana utakuwa unaiadhimisha ikifika tarehe 16 saa 4 usiku?)

Kumbuka hapa jamaa walikuwa hawana imani naye na hivyo anataka kuwaaminisha ( kwa kuwapa ishara ambayo itakapotokea wamwamini) kwa ishara ya kukaa kaburini kama Yona alivyokaa tumboni mwa samaki

Soma vizuri zile aya za biblia zinasema, Siku tatu mchana na usiku ( three days and three nights)

Mathayo 12:38-40 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+ 39 Akajibu, akawaambia: “Kizazi kiovu na chenye uzinzi+ kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakuna ishara kitakachopewa isipokuwa ishara ya nabii Yona.+ 40 Kwa maana kama vile Yona+ alivyokuwa katika tumbo la yule samaki mkubwa siku tatu mchana na usiku, ndivyo Mwana wa binadamu+ atakavyokuwa katika moyo wa dunia+ siku tatu mchana na usiku.

kwa lugha ya kikoloni nadhani inaeleweka vizuri zaidi. ( Three days and three nights)

38Then some of the Pharisees and teachers of the law said to him, "Teacher, we want to see a miraculous sign from you."39He answered, "A wicked and adulterous generation asks for a miraculous sign! But none will be given it except the sign of the prophet Jonah.40For as Jonah was three days and three nights in the belly of a huge fish, so the Son of Man will be three days and three nights in the heart of the earth.
 
Mkuu Koran ni kitabu kiliandikwa miaka mamia baada ya Yesu, hakiwezi kuwa na taarifa za kweli kuhusu Yesu. Yaani hicho kimejaa mawazo ya Mtume tu na chuki zake dhidi ya wayahudi-ni kopy ya Biblia +mawazo ya kubuni mtume

Siamini kama una-uthibitisho wa hicho unachokisema: Nikukumbushe tu kuwa hata Biblia iliandikwa miaka kadhaa baada ya kuondoka Yesu. Mfano: Yohana aliandika injili miaka yake ya 90 akiwa mzee sana na baada ya kuondoka yesu kitambo. Hao watatu wengineo walikopiana. Ndiyo maana unakuta Biblia imejaa Descrepancy nyingi. Christmas utata mtupu, pasaka utata mtupu.
Ilikuwa ni wajibu Mwenyezi Mungu kupitia Qur'an asahihishe mkanganyiko uliojitokeza Kwani Quran ni ufunuo wa Mungu kwa kinywa Cha Muhammad.
Ndiyo Pia utaona Kuna mengi Biblia imekalia kimya lakini Qur'an imeyazungumza.
Mfano: 1. Kuongea kwa Yesu utotoni. 2. Uchaguzi wa Mariam juu ya Nani amlee 3. Kuletewa chakula kutoka mbingu Mariamu. 4. Kuzaa chini ya Shina la mtende. nk.

Labda pia nikushangae kwa wewe kuwapenda wayahudi waliomuua Mungu wako! Tukio lenye utata ambao ndiyo shina na mjadala huu.
 
Hivi ili iitwe siku ni lazima yapite masaa 72? Unaposikia ziara ya Rais flani siku mbili anakuja leo anaondoka kesho huwa yamefika masaa 48?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini kama una-uthibitisho wa hicho unachokisema: Nikukumbushe tu kuwa hata Biblia iliandikwa miaka kadhaa baada ya kuondoka Yesu. Mfano: Yohana aliandika injili miaka yake ya 90 akiwa mzee sana na baada ya kuondoka yesu kitambo. Hao watatu wengineo walikopiana. Ndiyo maana unakuta Biblia imejaa Descrepancy nyingi. Christmas utata mtupu, pasaka utata mtupu.
Ilikuwa ni wajibu Mwenyezi Mungu kupitia Qur'an asahihishe mkanganyiko uliojitokeza Kwani Quran ni ufunuo wa Mungu kwa kinywa Cha Muhammad.
Ndiyo Pia utaona Kuna mengi Biblia imekalia kimya lakini Qur'an imeyazungumza.
Mfano: 1. Kuongea kwa Yesu utotoni. 2. Uchaguzi wa Mariam juu ya Nani amlee 3. Kuletewa chakula kutoka mbingu Mariamu. 4. Kuzaa chini ya Shina la mtende. nk.

Labda pia nikushangae kwa wewe kuwapenda wayahudi waliomuua Mungu wako! Tukio lenye utata ambao ndiyo shina na mjadala huu.
Hizo krismas na pasaka ni sherehe za kipagani tu ,hazipo kibiblia , kwani wewe umeziona zimeandikwa kwenye Biblia hadi useme zina utata?
Wayahudi walimuua Yesu? Wayahudi hawakuwa na huo uwezo wa kumuua Mungu mkuu

Yohana10:17-18
''Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu''
 
Back
Top Bottom