Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa alikuwa mtu wa kupiga chabo watu wakiwa faragha.Siku moja anapiga chabo akakuta mkewe ndiye muhusika halafu anapigwa kinyume na maumbile pendekezwa.Alilia sana na kumwambia yule jamaa anayemshughulikia mkewe aache hivyo.Amemkunja mnooo!Kiwango cha maumivu ya kuchapiwa kinategemea na kiwango cha utundu wa mwanamke wako.
Unawaza jinsi anampa jamaa vile anavyokupa oyaa.
Wewe umejuaje kama hukumfuatilia?Umeletewa tu taarifa?Unaweza ukawa sahihi, ila kufuatiliana watu wazima sio unyama.
MwanaFa nae aliponyanganywa dem, akaamua aimbe bado niponipo sana, akatoa dongo 'wanamegwa na vibabu'Kuchapiwa ni Siri ya ndani
MwanaFA aliwahi kuimba ukimegewa nawe tafuta mnyonge wako ummegee ... sijui hata alikuwa ana maanisha nini 😜
Kama imefikia mkeo kaliwa ni wewe ndo dhaifu, na yeye ndo mwenye tabia mbayaAnakwambia mnaendana eehn? Mnapendana eehn? Anakwambia mume wake hamfikishi na pia kibamia na hajui mambo, na wewe pekee ndio unamuwezea sio.
Vipi ni mtamu eeeehn? Anasema mume wake hana makeke eehn? Mkiwa mchezoni unapiga tu mashuti mwenyewe huna hata haja ya kuhesabu magoli.
Mzuri eeehn? Unamuona mzuri sababu anatunzwa, ukiachiwa haumuwezi fala wewe.
Kijana tunza marinda, utauponza nasema hivi achana na wake za watu utauponza.
# Muda utaongea, mke wa mtu sumu.
Daah sio poa.Kuna jamaa aliuwa mtu wa kupiga chabo watu wakiwa faragha.Siku moja anapiga chabo akakuta mkewe ndiye muhusika halafu anapigwa kinyume na maumbile pendekezwa.Alilia sana na kumwambia yule jamaa anayemshughulikia mkewe aache hivyo.Amemkunja mnooo!
Funguka vizuri kijana upewe mbinu bora ya kumuua mgoni wako.Ukiandika kwa kuzungukazunguka utakwama.Ukweli na uhalisia kujidhihirisha tu kutokana na muda.
Sijui ndio huitwa za mwizi.
Hahaha......inasemekana demu mwenyewe wakati huo alikuwa akimegwa na Marehemu Mzee MachacheMwanaFa nae aliponyanganywa dem, akaamua aimbe bado niponipo sana, akatoa dongo 'wanamegwa na vibabu'
Mbinu bora ni kuachana na malaya hata kama unampenda vipi!Kuna namna ya kumkamata bila kutweza utu wa mtu yeyote?
# Ni aibu ikienda duniani.
Utauponza utapakazwa mafuta huo? Ndio anachomaanisha mleta madaLakini anafuatiliwa kama mtoto ili asiungue na maji ya moto.
Maneno yake hayana muunganiko wenye mtiririko uelewekao.Utauponza utapakazwa mafuta huo? Ndio anachomaanisha mleta mada
Brother, sisi ni wazoefu wa haya maisha, nakwambia ukweli ukifata hayo niliyo kwambia mwanamke hata kama ulimuoa ni Malaya ataacha umalaya wake, tatizo mkisha waoa baadaye mnamuona mwanamke kama ni chakavu, unaanza kua una sex kama unacheza,mwanamke yoyote kufikia kulidhika kwenye sex ni lazima mwanaume awe mwanaume kweli ktk tendo hiloDaah unaweza kuwa sahihi, lakini ubora wa mechi unaamuliwa na nani? Msaliti ni msaliti tu.