Utauponza kijana, narudia utauponza!

Utauponza kijana, narudia utauponza!

Kiwango cha maumivu ya kuchapiwa kinategemea na kiwango cha utundu wa mwanamke wako.
Unawaza jinsi anampa jamaa vile anavyokupa oyaa.
Kuna jamaa alikuwa mtu wa kupiga chabo watu wakiwa faragha.Siku moja anapiga chabo akakuta mkewe ndiye muhusika halafu anapigwa kinyume na maumbile pendekezwa.Alilia sana na kumwambia yule jamaa anayemshughulikia mkewe aache hivyo.Amemkunja mnooo!
 
Anakwambia mnaendana eehn? Mnapendana eehn? Anakwambia mume wake hamfikishi na pia kibamia na hajui mambo, na wewe pekee ndio unamuwezea sio.

Vipi ni mtamu eeeehn? Anasema mume wake hana makeke eehn? Mkiwa mchezoni unapiga tu mashuti mwenyewe huna hata haja ya kuhesabu magoli.

Mzuri eeehn? Unamuona mzuri sababu anatunzwa, ukiachiwa haumuwezi fala wewe.

Kijana tunza marinda, utauponza nasema hivi achana na wake za watu utauponza.

# Muda utaongea, mke wa mtu sumu.
Kama imefikia mkeo kaliwa ni wewe ndo dhaifu, na yeye ndo mwenye tabia mbaya

Mwanaume yoyote anaye timiza mahitaji ya chakula, kulala, kuvaa kwa mwanamke na akiingia kwenye mechi anapiga mzigo mpaka mwanamke anaamka asbh anatembea anayumba, hawezi huyo mwanamke ku cheet hata siku moja
 
Kuna jamaa aliuwa mtu wa kupiga chabo watu wakiwa faragha.Siku moja anapiga chabo akakuta mkewe ndiye muhusika halafu anapigwa kinyume na maumbile pendekezwa.Alilia sana na kumwambia yule jamaa anayemshughulikia mkewe aache hivyo.Amemkunja mnooo!
Daah sio poa.
 
Daah unaweza kuwa sahihi, lakini ubora wa mechi unaamuliwa na nani? Msaliti ni msaliti tu.
Brother, sisi ni wazoefu wa haya maisha, nakwambia ukweli ukifata hayo niliyo kwambia mwanamke hata kama ulimuoa ni Malaya ataacha umalaya wake, tatizo mkisha waoa baadaye mnamuona mwanamke kama ni chakavu, unaanza kua una sex kama unacheza,mwanamke yoyote kufikia kulidhika kwenye sex ni lazima mwanaume awe mwanaume kweli ktk tendo hilo

Ndo mana nowdays wanawake wengi ni Malaya tu hata wake za watu kwa sababu ya madhaifu ya wanaume zao

Lakini amini usiamini mwanamke akifanywa sawa sawa, na akawa na uhakika wa kula na kulala bila shida, hawezi kwenda nje. Ila kama huamini kazi yako ni kulaumu mtu aliye piga mwanamke wako, utajikuta unaishia jela tu na ndo utamuacha analiwa zaidi
 
Back
Top Bottom