Utauponza kijana, narudia utauponza!

Utauponza kijana, narudia utauponza!

Anakwambia mnaendana eehn? Mnapendana eehn? Anakwambia mume wake hamfikishi na pia kibamia na hajui mambo, na wewe pekee ndio unamuwezea sio.

Vipi ni mtamu eeeehn? Anasema mume wake hana makeke eehn? Mkiwa mchezoni unapiga tu mashuti mwenyewe huna hata haja ya kuhesabu magoli.

Mzuri eeehn? Unamuona mzuri sababu anatunzwa, ukiachiwa haumuwezi fala wewe.

Kijana tunza marinda, utauponza nasema hivi achana na wake za watu utauponza.

# Muda utaongea, mke wa mtu sumu.
Ukishamalizana na huyo kijana leta video yake basi tuone akiwa anacharazwa viboko ashike adab😀
 
Mbona jazba sana mkuu, mkeo ameliwa nini?
Kitu kama hicho.
Ila,wanaume wakati mwingine naonaga wana mapungufu. Ukiachilia mbali yote hayo aliyotaja. Mkeo kaliwa kwa ridhaa yake,hajabakwa. Mwenye kumla ana kosa gani? Kama kamlia kwako,lazima ameitwa. Kama ni kwingine,lazima mke amejipeleka,na akijua anachoenda kufanya. Kwani, yeye hapo atamuweza? Dunia ya leo hakuna mke wangu. Ni mke wetu.
Hasira zimpande,mwishoe ajikute anaishia jera,abaki anakazwa kisawasawa,kwenye mji wake sasa tena, si kupelekwa gesti.
 
Kitu kama hicho.
Ila,wanaume wakati mwingine naonaga wana mapungufu. Ukiachilia mbali yote hayo aliyotaja. Mkeo kaliwa kwa ridhaa yake,hajabakwa. Mwenye kumla ana kosa gani? Kama kamlia kwako,lazima ameitwa. Kama ni kwingine,lazima mke amejipeleka,na akijua anachoenda kufanya. Kwani, yeye hapo atamuweza? Dunia ya leo hakuna mke wangu. Ni mke wetu.
Hasira zimpande,mwishoe ajikute anaishia jera,abaki anakazwa kisawasawa,kwenye mji wake sasa tena, si kupelekwa gesti.
Kuna uhalali wa kula mke wa mtu? Mkuu.
 
Kama imefikia mkeo kaliwa ni wewe ndo dhaifu, na yeye ndo mwenye tabia mbaya

Mwanaume yoyote anaye timiza mahitaji ya chakula, kulala, kuvaa kwa mwanamke na akiingia kwenye mechi anapiga mzigo mpaka mwanamke anaamka asbh anatembea anayumba, hawezi huyo mwanamke ku cheet hata siku moja
Yaani ufanye yote hayo kumridhisha mwanamke? Huna kazi za kufanya.
 
Brother, sisi ni wazoefu wa haya maisha, nakwambia ukweli ukifata hayo niliyo kwambia mwanamke hata kama ulimuoa ni Malaya ataacha umalaya wake, tatizo mkisha waoa baadaye mnamuona mwanamke kama ni chakavu, unaanza kua una sex kama unacheza,mwanamke yoyote kufikia kulidhika kwenye sex ni lazima mwanaume awe mwanaume kweli ktk tendo hilo

Ndo mana nowdays wanawake wengi ni Malaya tu hata wake za watu kwa sababu ya madhaifu ya wanaume zao

Lakini amini usiamini mwanamke akifanywa sawa sawa, na akawa na uhakika wa kula na kulala bila shida, hawezi kwenda nje. Ila kama huamini kazi yako ni kulaumu mtu aliye piga mwanamke wako, utajikuta unaishia jela tu na ndo utamuacha analiwa zaidi
Huko anakoenda anapata vyote ulivyotaja hapo juu?
 
Back
Top Bottom