Utauponza kijana, narudia utauponza!

Utauponza kijana, narudia utauponza!

Kama imefikia mkeo kaliwa ni wewe ndo dhaifu, na yeye ndo mwenye tabia mbaya

Mwanaume yoyote anaye timiza mahitaji ya chakula, kulala, kuvaa kwa mwanamke na akiingia kwenye mechi anapiga mzigo mpaka mwanamke anaamka asbh anatembea anayumba, hawezi huyo mwanamke ku cheet hata siku moja
Mkuu umeoa au unaongea tu. Uwezi kumpanda hivyo mtu kila siku. Malaya ni malaya tu haridhiki.
 
Mbinu bora ni kuachana na malaya hata kama unampenda vipi!
Ila wewe kufanya umalaya ni halali. Unafanya umalaya hadi unalala hukohuko, kisingizio kazi.

Mwanamke anajua yote ufanyayo. Kwa kuwa hawezi kukukamata, anaamua na yeye atamfute wa kumpoza moyo anapohitaji.

Visa vya mk...nd hulipwa kwa mk....nd.

Kama hupendi kumegewa tulizana na mkeo. Mpe hadi aseme amridhika.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Ila wewe kufanya umalaya ni halali. Unafanya umalaya hadi unalala hukohuko, kisingizio kazi.

Mwanamke anajua yote ufanyayo. Kwa kuwa hawezi kukukamata, anaamua na yeye atamfute wa kumpoza moyo anapohitaji.

Visa vya mk...nd hulipwa kwa mk....nd.

Kama hupendi kumegewa tulizana na mkeo. Mpe hadi aseme amridhika.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Umeandika utadhani umewahi kuniona nafanya ujinga.Wewe kaa na limalaya lako ufe kihoro.Malaya hana utetezi.
 
Tayari hapa
370615.jpg
 
Back
Top Bottom