Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
- #21
Yule ni lichawa, kubwa kupita kiasi!Umenikumbusha chawa lucas mwashamba😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ni lichawa, kubwa kupita kiasi!Umenikumbusha chawa lucas mwashamba😀😀
Uchawa uliopita kiasi hadi wanatia kinyaa!Watanzania ni wagonjwa na mbaya zaidi hawatambui kuwa ni wagonjwa.Taifa lina mambo ya kijinga hili,Kuna kundi la vilaza na mazuzu kule makao makuu wanaliita "Bunge tukufu"
Dah inasemekana alijiongeza na yeye akaongezwa.Mzee huyu alikuwa wa kumhurumia tu. Na alipata wakati mgumu sana, maana Nyerere alikuwa hai bado. Ndio maana Mkapa alipoingia alimfanyia Nyerere mambo ya ajabu sana. Kama Nyerere angekuwapo baada ya miaka mitano ya kwanza ya utawala wa Mkapa, CCM ingeandika historia, asingepitishwa tena. Mkapa alijua hilo. Akajiongeza.
shkamoo MSHUA.Ni kweli, nasikitishwa sana na jinsi "waheshimiwa" wanavyozidi kujijengea himaya yao na kujitofautisha na Watanzania wengine. Enzi za Nyerere na Mwinyi nilikuwapo kama kijana chipukizi mkereketwa! 😀 😀 😀
Wakati wa Mwinyi. Mkapa akakataa kuitwa mtukufu Raisi.Neno "mtukufu Rais " lilitumika enzi ipi??
Je bado linatumika?? Kama halitumiki nani aliliondoa??
Kinachoudhi zaidi waheshimiwa wengine hawana mchango wowote wa maana kwa wananchi wala serikali...!Neno ndugu liko poa sana, Mheshimiwa nikujitweza