Mzee huyu alikuwa wa kumhurumia tu. Na alipata wakati mgumu sana, maana Nyerere alikuwa hai bado. Ndio maana Mkapa alipoingia alimfanyia Nyerere mambo ya ajabu sana. Kama Nyerere angekuwapo baada ya miaka mitano ya kwanza ya utawala wa Mkapa, CCM ingeandika historia, asingepitishwa tena. Mkapa alijua hilo. Akajiongeza.