Utawala wa Rais Samia umetia aibu kubwa sana,usipewe msamaha

SSH ni failure, kwa vile anapigiwa vigelegele vya kinafiki mitandaoni na wale haters wa JPM anajiona na yeye eti ana akili, hili ni shimo na litaidondosha Tz yote.

Enzi za dhalimu zimepita mzee, we pambana na hali yako.
 
Yani hapa ndo ninachopendea JF sometimes , ndipo ' ass kissers' wa pande zote za kisiasa na watu objective wanapokutana😀😀...
 
Alaumiwe Magufuli alieendekeza kuendesha nchi bila kuheshimu katiba wala taratibu za nchi..akawafanya kina Karia kuwa wapambe wake wakawa wanatoa lugha za kashfa kuwa Wambura analeta u Tundu Lissu..
 
CCM ni failure ila vyama vingine ni disaster.

Hii nchi ina changamoto nyingi sana.
 
Kisa uzinduzi wa kitabu na sio vingine.

Uzinduzi ulikuwa mubashara na mechi mubashara pia Sasa unadhani raia macho yao yangekuwa wapi?

Ikabidi wafos kupendwa wakazima mechi ili wao waonekane.

Upumbavu tu wa kutojiamini.

R.I.P MZEE BABA MAGUFULI.
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
SSH ni failure, kwa vile anapigiwa vigelegele vya kinafiki mitandaoni na wale haters wa JPM anajiona na yeye eti ana akili, hili ni shimo na litaidondosha Tz yote.
Umemaliza kila kitu.
 
Sema nini, kwa maza tumepigwa. Tusubiri 25 tupindue meza. Chadema mkishindwa round hii basi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…