SSH ni failure, kwa vile anapigiwa vigelegele vya kinafiki mitandaoni na wale haters wa JPM anajiona na yeye eti ana akili, hili ni shimo na litaidondosha Tz yote.
Nchi Hii wananchi wa kawaida wanadharauliwa Sana kwa kweli...dah..Heri afe Punda lakini mzigo ufike...
Kulikua na Ka promo ka kitabu
Ni business as usual; CCM ni ile ile, TFF ni wale wale, na watanzania ni wale wale, tutasahau kuanzia jumatatu.
Mataga wanataka kumhujumu mama! Tunajua hata huyo waziri wa michezo aliteuliwa na MagufuliSijaelewa. Mheshimiwa Samia anahusikaje hapa?
CCM ni failure ila vyama vingine ni disaster.Hilo nakubaliana na wewe kabisa ila hapa nawaning'iniza Lumumba kwa sababu ndio hasa ambao tayari wamesha-prove failure!
Kwamba ni tatizo la kitaifa, binafsi nishawahi kusema mara kadhaa huko nyuma kwamba nchi hii pale Magogoni/Chamwino iwepo CCM, CHADEMA, au ACT bado yatakuwa yale yale tu kwa sababu hata hao wengine wanatoka kwenye jamii ile ile wanayotoka Lumumba!!!
Sema hao wengine nalazimika kuwapa benefit of the doubt, kitu ambacho CCM hawa-deserve!!!
Umemaliza kila kitu.SSH ni failure, kwa vile anapigiwa vigelegele vya kinafiki mitandaoni na wale haters wa JPM anajiona na yeye eti ana akili, hili ni shimo na litaidondosha Tz yote.