Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Serikali ya Donald Trump imeanza kazi kwa kufuta misaada yote ya silaha kwenda kwa Wanamgambo wa Ukraine na Uchunguzi unafuata ili kuwatia mbaroni Majangili yaliyo jichimbia Pentagon kufanya uhalifu na kufadhili magaidi hayo..

BREAKING The US has massively halted arms shipments to Ukraine

The United States has withdrawn all applications for the transit of goods in the interests of Ukraine through Rzeszow, Constanta and Varna.

All shipments of weapons and military equipment to Ukraine have been stopped at NATO bases in Europe.

According to preliminary estimates alone, we are talking about several thousand tons of weapons and military equipment.

All Pentagon employees involved in arms supplies to Kyiv have been fired or suspended.

A large-scale audit of the misuse of funds for aid to Ukraine begins.
Hizi taarifa za kilabu cha kahawa, Pentagon ina njia zake za kutoa taarifa ambapo hawajatoa taarifa hiyo.

Ndio maana huna source, umejiandikia tu kwa maoni yako.
 
Serikali ya Donald Trump imeanza kazi kwa kufuta misaada yote ya silaha kwenda kwa Wanamgambo wa Ukraine na Uchunguzi unafuata ili kuwatia mbaroni Majangili yaliyo jichimbia Pentagon kufanya uhalifu na kufadhili magaidi hayo..

BREAKING The US has massively halted arms shipments to Ukraine

The United States has withdrawn all applications for the transit of goods in the interests of Ukraine through Rzeszow, Constanta and Varna.

All shipments of weapons and military equipment to Ukraine have been stopped at NATO bases in Europe.

According to preliminary estimates alone, we are talking about several thousand tons of weapons and military equipment.

All Pentagon employees involved in arms supplies to Kyiv have been fired or suspended.

A large-scale audit of the misuse of funds for aid to Ukraine begins.
Source? Sioni hiyo habari mbona
 
Unaandika maneno haya na hujawai hata kufika U.S hujui hata Whitehouse Wala Jengo la Pentagon lilipo unaandika kisa limekuja wazo lako kichwani la kijinga hujawai fika hata Kremlin Wala hata Russia huijui
Sasa kuna haja ya kufika US kujua kuwa Urusi kawekewa vikwazo? kazi ya vyombo vya habari nj ipi? mpaka hapa tunapo andika Urusi ana vikwazo kibao kawekewa na US pamoja nchi nyingi za ulaya hakuna siri, NDIO maana Trump anataka Urusi akubaliane na Ukraine kumaliza vita, ikitokea Putin analeta utata anaongeza vikwazo, shida hufatilii mambo yako wazi

82B6245C-1660-4023-A187-5440940ED2B6.png
 
Kulipa pesa nyingi ndio kuwa na ushawishi.

Labda hujui maana ya ushawishi?

Akijitoa kwny mashirika ya kimataifa kama WHO na NATO atakuwa na ushawishi wa kumshawishi nani?

Yaani umshawishi mtu afuate unachosema wakati huchangii fedha?

Ni kweli China inaweza kuwa na ushawishi kuizidi Urusi lakini lengo la Trump ni kuhakikisha Urusi inanufaika.

Angekuwa na nia ya Urusi na Ukraine kuelewana kwa nini akimbilie kuzuia silaha kwenda Ukraine, tena kwa hati ya dharula?

Kwani Ukraine akiwa na silaha za kujihami hawezi kujadiliana na Putin?

Kwani ni nani aliemvamia mwenzie?

Ndugu utanichosha tu, hata mtoto mdogo anajua kuwa lengo la Trump ni kuibana Ukraine ikose misaada na silaha za kujilinda, ili ikubaliane na atakachotaka Putin.
Hujaelewa sababu ya US kujitoa WHO anaona hakuna usawa kwasababu yeye US analipa pesa nyingi kuliko nchi yeyote ndio maana wanajitoa soma kuelewa, PILI kuhusu ushawishi sasa Urusi hafiki hata robo ya ushawishi wa US duniani yuko nyuma sana bora hata Mchina anaweza kusema kitu sio Mrusi, KUMBE hujui kitu lengo la Trump ni kumaliza vita ,Urusi akibisha anapewa vikwazo vikali mpaka akili imkae sawa kwasababu Trump anajua uchumi wa Urusi hauko vizuri, na Ukraine nae akibisha anatolewa nisaada ya kijeshi, kwahiyo Trump anajua UDHAIFU wa kila nchi hapo hawana cha kumsumbua

TRUMP amesha sema sasa akatae halafu ataona nini kinafata

E55C3E1B-FB1F-4FAA-9461-3BBEC0F3504B.png
 
Trump amewez kuchez na akili zenu ndogo kwa kauli mbili ambazo zinawasumbua team Russia and team Ukraine (NATO)
__Kama putin aliambiw amalz vta kwa mapatano na Ukraine
__ Ndan ya muda mfupi ame stop misaada ya kivita kwenda ukraine kwa 100%

Swali :- Ni nan anamaliza hyo vta ?
A:- trump mwenyew
B:- putin
C:- Ukraine

Critical
Tujifunze kuhusianisha na kufikir critical
 
Nobel haitolewi kijinga hivi.
Unajua ya kwamba iddi amin aliwahi kuahidiwa tuzo ya Nobel na israel ikiwa atawaachia mateka raia wao?

Sasa Iddi na Donald unadhan nani anastahili.
 
Hujaelewa sababu ya US kujitoa WHO anaona hakuna usawa kwasababu yeye US analipa pesa nyingi kuliko nchi yeyote ndio maana wanajitoa soma kuelewa, PILI kuhusu ushawishi sasa Urusi hafiki hata robo ya ushawishi wa US duniani yuko nyuma sana bora hata Mchina anaweza kusema kitu sio Mrusi, KUMBE hujui kitu lengo la Trump ni kumaliza vita ,Urusi akibisha anapewa vikwazo vikali mpaka akili imkae sawa kwasababu Trump anajua uchumi wa Urusi hauko vizuri, na Ukraine nae akibisha anatolewa nisaada ya kijeshi, kwahiyo Trump anajua UDHAIFU wa kila nchi hapo hawana cha kumsumbua

TRUMP amesha sema sasa akatae halafu ataona nini kinafata

View attachment 3210401
Hivi wewe unasoma ninachoandika?

Mbona nitakuwa ninarudia kitu kilekile tu!

US anatoa pesa nyingi WHO ndio. Ndiyo maana ya kuwa Superpower, kuwa na ushawishi.

Sasa utakuwa superpower vipi kama unachangia sawa na wenzio?

Kama mke anahudumia familia sawa na mume, hapo mume atakuwaje mkuu wa familia?

Umeelewa hapo nihame, au niendelee kufafanua?

Nahama, kama Trump ana nia njema na Ukraine kwa nini akimbilie kuzuia misaada kabla ya hizo peace talks?

Hivi kuna peace talks gani na mvamizi zaidi ya kumwambia atoe majeshi yake kwenye nchi ya watu?

Hivi unajua kwamba kulikuwa na ushahidi wa wazi wa Urusi kuingilia uchaguzi wa US na kumsaidia Trump kushinda ile awamu yake ya kwanza?

Unajua kuwa bunge la Marekani lilitaka kumu impeach Trump kwa kosa hilo?

Unaweza kumuwekea vikwazo mtu aliekuweka madarakani?, vikwazo gani Trump anaweza kumuwekea BFF wake Vladimil?

Trump ana mpango wa kujitoa NATO, unaelewa kuwa US kujitoa NATO ni kuikabidhi Ulaya nzima at mercy of Russia?

Nguvu pekee dhidi ya Russia ni NATO, US kujitoa na kuivunja NATO, Huoni kuwa ni kumfanya Russia superpower?

Trump anajua yote haya, na anafanya kwa maelekezo toka Moscow.

Trump hakuna raisi pale, rafiki yangu Yoda anapenda kusema Trump ni trojan horse ya Urusi, na yupo sahihi.
 
Unaweza kumpiga vikwazo mumeo?

Putin ni kama vile mume wa Trump.
Marekani sasa inaendeshwa kutoka Moscow.

Wewe hujiulizi mtu umeapishwa leo tu na kukimbilia kuzuia silaha zisiende Ukraine hadi zile zilizoko njiani tayari?

Haraka kiasi hicho ya nini? Tena unafukuzwa na kuwashtaki walioidhinisha silaha zikamsumbue Putin, Why?

Mume bwana Putin ameshaagiza, zuia hizo silaha haraka sana.
Angalia movie inaitwa "War Dogs"
Vita ni biashara, kuna watu wanapiga pesa ndefu kutoka serikali I na wanatumia sehemu pesa hizo "kununua wanasiasa" na kaamua Nani aongoze ambaye atalinda biashara zao!
 
Serikali ya Donald Trump imeanza kazi kwa kufuta misaada yote ya silaha kwenda kwa Wanamgambo wa Ukraine na Uchunguzi unafuata ili kuwatia mbaroni Majangili yaliyo jichimbia Pentagon kufanya uhalifu na kufadhili magaidi hayo..

BREAKING The US has massively halted arms shipments to Ukraine

The United States has withdrawn all applications for the transit of goods in the interests of Ukraine through Rzeszow, Constanta and Varna.

All shipments of weapons and military equipment to Ukraine have been stopped at NATO bases in Europe.

According to preliminary estimates alone, we are talking about several thousand tons of weapons and military equipment.

All Pentagon employees involved in arms supplies to Kyiv have been fired or suspended.

A large-scale audit of the misuse of funds for aid to Ukraine begins.
Mungu ampe maisha marefu trump
 
Back
Top Bottom