Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Hivi wewe unasoma ninachoandika?

Mbona nitakuwa ninarudia kitu kilekile tu!

US anatoa pesa nyingi WHO ndio. Ndiyo maana ya kuwa Superpower, kuwa na ushawishi.

Sasa utakuwa superpower vipi kama unachangia sawa na wenzio?

Kama mke anahudumia familia sawa na mume, hapo mume atakuwaje mkuu wa familia?

Umeelewa hapo nihame, au niendelee kufafanua?

Nahama, kama Trump ana nia njema na Ukraine kwa nini akimbilie kuzuia misaada kabla ya hizo peace talks?

Hivi kuna peace talks gani na mvamizi zaidi ya kumwambia atoe majeshi yake kwenye nchi ya watu?

Hivi unajua kwamba kulikuwa na ushahidi wa wazi wa Urusi kuingilia uchaguzi wa US na kumsaidia Trump kushinda ile awamu yake ya kwanza?

Unajua kuwa bunge la Marekani lilitaka kumu impeach Trump kwa kosa hilo?

Unaweza kumuwekea vikwazo mtu aliekuweka madarakani?, vikwazo gani Trump anaweza kumuwekea BFF wake Vladimil?

Trump ana mpango wa kujitoa NATO, unaelewa kuwa US kujitoa NATO ni kuikabidhi Ulaya nzima at mercy of Russia?

Nguvu pekee dhidi ya Russia ni NATO, US kujitoa na kuivunja NATO, Huoni kuwa ni kumfanya Russia superpower?

Trump anajua yote haya, na anafanya kwa maelekezo toka Moscow.

Trump hakuna raisi pale, rafiki yangu Yoda anapenda kusema Trump ni trojan horse ya Urusi, na yupo sahihi.
Umeanza vizuri nikadhani una akili

Yaani trump apokee maelekezo kutoka Moscow?

Hivi huwa mnapata wapi hizi comedies?
 
Angalia movie inaitwa "War Dogs"
Vita ni biashara, kuna watu wanapiga pesa ndefu kutoka serikali I na wanatumia sehemu pesa hizo "kununua wanasiasa" na kaamua Nani aongoze ambaye atalinda biashara zao!
Ni kweli, sasa hii ndiyo inakuwaje?
 
Umeanza vizuri nikadhani una akili

Yaani trump apokee maelekezo kutoka Moscow?

Hivi huwa mnapata wapi hizi comedies?
Mmmh, kama kitu hujui si uulize.

Walipotaka kumu impeach Trump kwa sababu alisaidiwa na Urusi kuingia madarakani ulikuwa na umri gani?, au ulidhani ni comedy?
 
Serikali ya Donald Trump imeanza kazi kwa kufuta misaada yote ya silaha kwenda kwa Wanamgambo wa Ukraine na Uchunguzi unafuata ili kuwatia mbaroni Majangili yaliyo jichimbia Pentagon kufanya uhalifu na kufadhili magaidi hayo..

BREAKING The US has massively halted arms shipments to Ukraine

The United States has withdrawn all applications for the transit of goods in the interests of Ukraine through Rzeszow, Constanta and Varna.

All shipments of weapons and military equipment to Ukraine have been stopped at NATO bases in Europe.

According to preliminary estimates alone, we are talking about several thousand tons of weapons and military equipment.

All Pentagon employees involved in arms supplies to Kyiv have been fired or suspended.

A large-scale audit of the misuse of funds for aid to Ukraine begins.
Hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi nyingi hapa duniani, hususani kwa nchi ambazo ni dhaifu kijeshi kama hizi nchi zetu za kiAfrika. Ni hatari zaidi kwa nchi ambazo zinapakana na nchi zingine zenye nguvu zaidi ya kiuchumi, kijeshi na zenye Watawala wababe wanaopenda Vita, mathalani majirani zake wote wa Urusi, Rwanda.
Watanzania tusifurahie jambo hili eti kwa sababu Trump anafanya hivyo dhidi ya nchi ya Ukraine ambayo ipo mbali nasi, tukumbuke kwamba tunapakana na nchi ya Rwanda ambayo mtawala wake aliyopo huko anafanana sana na Rais Vladmir Putin kwa misimamo yao. Congo DR ni nchi kubwa sana kuliko Tanzania lakini inahenyeshwa na Rwanda. Aidha, Iran pia ni nchi kubwa sana lakini inahenyeshwa na Israel.
Mwenzako akinyolewa zako tia maji!
 
Kulipa pesa nyingi ndio kuwa na ushawishi.

Labda hujui maana ya ushawishi?

Akijitoa kwny mashirika ya kimataifa kama WHO na NATO atakuwa na ushawishi wa kumshawishi nani?

Yaani umshawishi mtu afuate unachosema wakati huchangii fedha?

Ni kweli China inaweza kuwa na ushawishi kuizidi Urusi lakini lengo la Trump ni kuhakikisha Urusi inanufaika.

Angekuwa na nia ya Urusi na Ukraine kuelewana kwa nini akimbilie kuzuia silaha kwenda Ukraine, tena kwa hati ya dharula?

Kwani Ukraine akiwa na silaha za kujihami hawezi kujadiliana na Putin?

Kwani ni nani aliemvamia mwenzie?

Ndugu utanichosha tu, hata mtoto mdogo anajua kuwa lengo la Trump ni kuibana Ukraine ikose misaada na silaha za kujilinda, ili ikubaliane na atakachotaka Putin.
Acha kuandika ujinga bro
 
Hivi unaelewa maana ya kunegotiate?

Trump anataka Putin achukue baadhi ya mikoa ya Ukraine. Ndiyo kunegotiate. Mara zote amekuwa aking'ang'ana kuongea na Putin, hata akiwa anamuongelea utaona analegeza sauti, utasikia ''i know Vladmil''

Halafu uwe na akili kama mtu mzima, kwa hiyo wewe aliposema tu kusunction ukaona ni big deal sana?

Ulitaka atangaze hadharani kuwa lengo lake ni kuigawa Ukraine kwa Putin?

Sijui hata unaposema hiyo ni US siyo Tanzania unamaanisha nini!

Raisi ni raisi tu hata awe wa Tanzania, ana mamlaka makubwa.

Trump ni takataka, amejitoa WHO, atajitoa NATO, atajitoa WORLD BANK na mashirika mengine ya kimataifa, maana yake US haitakuwa na ushawishi tena, itacease kuwa superpower.

Yote hayo atafanya kwa faida ya mumewe Putin.
Acha kuandika upuuzi bro
 
Unaweza kumpiga vikwazo mumeo?

Putin ni kama vile mume wa Trump.
Marekani sasa inaendeshwa kutoka Moscow.

Wewe hujiulizi mtu umeapishwa leo tu na kukimbilia kuzuia silaha zisiende Ukraine hadi zile zilizoko njiani tayari?

Haraka kiasi hicho ya nini? Tena unafukuzwa na kuwashtaki walioidhinisha silaha zikamsumbue Putin, Why?

Mume bwana Putin ameshaagiza, zuia hizo silaha haraka sana.
Acha kuandika kama mtu mpumbafu
 
B
You are still a boy, Beira Boy, and i usually dont argue with boys!

Hapa najaribu kuongea na TIMING labda anweza kuwa mtu mzima kidogo, TIMING unamjua Kash Patel, aliyeteuliwa kuwa Director wa FBI?

Bunge la US limejipanga kumkataa kwa sababu ana mawasiano ya mara kwa mara na Moscow.
Bro Trump ni mzazi kama walivyo wazazi wetu mimi na wewe kwanini unasema kuwa ni mke wa Putin

Hujui hata maandiko bro, huna hata khofu bro unashindwa kuheshimu hata wazazi?

Hebu fikiria kama ndo angekuwa anaandikwa baba yako kuwa mumuwe ni mwigulu chemba

Kuwa Sirius bas
 
Hizi taarifa za kilabu cha kahawa, Pentagon ina njia zake za kutoa taarifa ambapo hawajatoa taarifa hiyo.

Ndio maana huna source, umejiandikia tu kwa maoni yako.
Source hii hapa
Screenshot_20250122_210347_Firefox.jpg

 
Na urusi alishasema hakuna makubaliano kama maeneo aliyochukua ataambiwa ayarudishe.....anaweza akapunguza ukubwa ila lazima maeneo muhimu aliyoyataka Ukraine yatabaki kwake
Wakubaliane na Ukraine, vinginevyo Trump akigundua shida ni Urusi basi vikwazo vinakuja, kama shida ni Ukraine anakata misaada yote ya kijeshi, Trump akili kubwa
 
Hivi wewe unasoma ninachoandika?

Mbona nitakuwa ninarudia kitu kilekile tu!

US anatoa pesa nyingi WHO ndio. Ndiyo maana ya kuwa Superpower, kuwa na ushawishi.

Sasa utakuwa superpower vipi kama unachangia sawa na wenzio?

Kama mke anahudumia familia sawa na mume, hapo mume atakuwaje mkuu wa familia?

Umeelewa hapo nihame, au niendelee kufafanua?

Nahama, kama Trump ana nia njema na Ukraine kwa nini akimbilie kuzuia misaada kabla ya hizo peace talks?

Hivi kuna peace talks gani na mvamizi zaidi ya kumwambia atoe majeshi yake kwenye nchi ya watu?

Hivi unajua kwamba kulikuwa na ushahidi wa wazi wa Urusi kuingilia uchaguzi wa US na kumsaidia Trump kushinda ile awamu yake ya kwanza?

Unajua kuwa bunge la Marekani lilitaka kumu impeach Trump kwa kosa hilo?

Unaweza kumuwekea vikwazo mtu aliekuweka madarakani?, vikwazo gani Trump anaweza kumuwekea BFF wake Vladimil?

Trump ana mpango wa kujitoa NATO, unaelewa kuwa US kujitoa NATO ni kuikabidhi Ulaya nzima at mercy of Russia?

Nguvu pekee dhidi ya Russia ni NATO, US kujitoa na kuivunja NATO, Huoni kuwa ni kumfanya Russia superpower?

Trump anajua yote haya, na anafanya kwa maelekezo toka Moscow.

Trump hakuna raisi pale, rafiki yangu Yoda anapenda kusema Trump ni trojan horse ya Urusi, na yupo sahihi.
Shida hii nimekwambia Trump kakataa sasa wao kulipa pesa WHO wakati wengine hawalipi kama yeye , anataka kodi za Wamarekani zitumike kwa Wamarekani hili ni suala la kinchi ndio maana wa Marekani wamemchagua, KUHUSU mpango wa kujitoa NATO hili liko wazi kama wanachama wa wengine watashindwa kutimiza kiwango cha uchangiaji ndio atajitoa ila wakitimiza hajitoa sasa hapa napo kuna kipi cha kushangaa, wewe jamaa Trump hawezi kupewa maelekezo na Urusi ambaye sasa hivi anaokoteza askari Korea kaskazini na kusaidiwa silaha na Iran, Mrusi labda atoe maelekezo Burkina Faso sio US
 
Back
Top Bottom