Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

......
Trump ana mpango wa kujitoa NATO, unaelewa kuwa US kujitoa NATO ni kuikabidhi Ulaya nzima at mercy of Russia?

Nguvu pekee dhidi ya Russia ni NATO, US kujitoa na kuivunja NATO, Huoni kuwa ni kumfanya Russia superpower?
Mkuu unamaanisha nin kusema Ulaya nzima itakuwa at mercy ya mrusi?

Pili, kwani Russia akiwa superpower kuna ubaya?

Nachojua ni kwamba Trump hataki kodi za wamarekani ziende kusiko na maslahi ya marekani.
 
Source hii hapaView attachment 3210457
Pravda ni chombo cha habari cha Urusi. Wapo Urusi na taarifa za wazi za Marekani wamezipataje bila wao kuwa na source iliyopo serikali ya Marekani.

TBC inawezaje kutoa taarifa ya kauli au uamuzi wa wazi wa serikali ya Nigeria, bila serikali ya Nigeria kutoa taarifa?
 
Ujinga wa nani? Putin mvamizi mme wa Trump au Ukraine wanaopigana kulinda nchi Yao?
Ama uelewa wako mdogo au unafata mkumbo. Chanzo cha vita kinajulikana, kwanini wakati wa vita baridi na mpaka Sasa marekani hawakutaka Urusi aweke mitambo yake ya nyukilia Cuba .
 
Naelewa namna unavyojisikia mkuu, ndio maana ukaandika kwa herufi kubwa, but ka suspend.

Nadhani sasa ndio muda wa EU, kuonesha uwezo wao, maana walisema wametenga budget ya kuendelea na vita bila U.S support na wame allocate kama 300B US dollar, Tuone walikuwa serious au zilikuwa tishia nyau.
 
Hivi unaelewa maana ya kunegotiate?

Trump anataka Putin achukue baadhi ya mikoa ya Ukraine. Ndiyo kunegotiate. Mara zote amekuwa aking'ang'ana kuongea na Putin, hata akiwa anamuongelea utaona analegeza sauti, utasikia ''i know Vladmil''

Halafu uwe na akili kama mtu mzima, kwa hiyo wewe aliposema tu kusunction ukaona ni big deal sana?

Ulitaka atangaze hadharani kuwa lengo lake ni kuigawa Ukraine kwa Putin?

Sijui hata unaposema hiyo ni US siyo Tanzania unamaanisha nini!

Raisi ni raisi tu hata awe wa Tanzania, ana mamlaka makubwa.

Trump ni takataka, amejitoa WHO, atajitoa NATO, atajitoa WORLD BANK na mashirika mengine ya kimataifa, maana yake US haitakuwa na ushawishi tena, itacease kuwa superpower.

Yote hayo atafanya kwa faida ya mumewe Putin.
Mkuu kote nilikuwa nakubaliliana na wewe, ila ulipoanza kutoa povu la US kujitoa kwenye hayo mashirika nikakushangaa kidogo, kama aliingia kwa hiyari hata kutoka ni hiyari, na sielewi kwanini third party wanaumia kuliko wahusika.
Yeye kaangalia faida na hasara.
kama anajitoa alafu uchumi wake unakuwa na anaendelea ku maintain military base, ushawishiki wake hautapungua kama mnavyodhani
 
Pravda ni chombo cha habari cha Urusi. Wapo Urusi na taarifa za wazi za Marekani wamezipataje bila wao kuwa na source iliyopo serikali ya Marekani.

TBC inawezaje kutoa taarifa ya kauli au uamuzi wa wazi wa serikali ya Nigeria, bila serikali ya Nigeria kutoa taarifa?
Je CNN na Washington Post wanapotoa habari za Russia mbona mnaziamini bila kutia shaka?
 
Serikali ya Donald Trump imeanza kazi kwa kufuta misaada yote ya silaha kwenda kwa Wanamgambo wa Ukraine na Uchunguzi unafuata ili kuwatia mbaroni Majangili yaliyo jichimbia Pentagon kufanya uhalifu na kufadhili magaidi hayo..

BREAKING The US has massively halted arms shipments to Ukraine

The United States has withdrawn all applications for the transit of goods in the interests of Ukraine through Rzeszow, Constanta and Varna.

All shipments of weapons and military equipment to Ukraine have been stopped at NATO bases in Europe.

According to preliminary estimates alone, we are talking about several thousand tons of weapons and military equipment.

All Pentagon employees involved in arms supplies to Kyiv have been fired or suspended.

A large-scale audit of the misuse of funds for aid to Ukraine begins.
Natafuta hii habari niisome au kama ni video nitazame. Unaweza kunisaidia mkuu kama hutojali.
 
Wakubaliane na Ukraine, vinginevyo Trump akigundua shida ni Urusi basi vikwazo vinakuja, kama shida ni Ukraine anakata misaada yote ya kijeshi, Trump akili kubwa
Urusi keshamwambia kama anataka mazungumzo aje kwa heshima.....hio mikwara yake itamshtua Zelensky tu,,,,vikwazo kwa Urusi kwa sasa sio tatizo
 
Urusi keshamwambia kama anataka mazungumzo aje kwa heshima.....hio mikwara yake itamshtua Zelensky tu,,,,vikwazo kwa Urusi kwa sasa sio tatizo
Hili ni jambo la Urusi na Ukraine, yeye Trump ni kaka mkubwa, anataka wamalizane ila atakae leta utata anashuka nae
 
Hujaelewa sababu ya US kujitoa WHO anaona hakuna usawa kwasababu yeye US analipa pesa nyingi kuliko nchi yeyote ndio maana wanajitoa soma kuelewa, PILI kuhusu ushawishi sasa Urusi hafiki hata robo ya ushawishi wa US duniani yuko nyuma sana bora hata Mchina anaweza kusema kitu sio Mrusi, KUMBE hujui kitu lengo la Trump ni kumaliza vita ,Urusi akibisha anapewa vikwazo vikali mpaka akili imkae sawa kwasababu Trump anajua uchumi wa Urusi hauko vizuri, na Ukraine nae akibisha anatolewa nisaada ya kijeshi, kwahiyo Trump anajua UDHAIFU wa kila nchi hapo hawana cha kumsumbua

TRUMP amesha sema sasa akatae halafu ataona nini kinafata

View attachment 3210401
Ila ilianzishwa na US wenyewe kwa faida zao, sasa wameona matumizi yake yamepungua na imekuwa mzigo ndio maana wanajitoa, au pia haiendani na sera za serikali yake
Hata kwenye mkata wa hali ya hewa pia wanajitoa, sababu haiendani na sera za serikali yake, sasa sioni tatizo.

Yaani hii sawa tajiri kujitoa kwenye umoja wa kusaidia wasiojiweza, sasa wasiojiweza wanaanza kumtisha tajiri kuwa usipotusaidia unapoteza umaarufuku wako kwwnye jamii, wanasahau tajiri anachojali ni kutokufilisika na kuongeza utajiri wake ujitoa kwenye umoja flani kwa manufaa yako, alafu watu kuku
 
Ila ilianzishwa na US wenyewe kwa faida zao, sasa wameona matumizi yake yamepungua na imekuwa mzigo ndio maana wanajitoa, au pia haiendani na sera za serikali yake
Hata kwenye mkata wa hali ya hewa pia wanajitoa, sababu haiendani na sera za serikali yake, sasa sioni tatizo.

Yaani hii sawa tajiri kujitoa kwenye umoja wa kusaidia wasiojiweza, sasa wasiojiweza wanaanza kumtisha tajiri kuwa usipotusaidia unapoteza umaarufuku wako kwwnye jamii, wanasahau tajiri anachojali ni kutokufilisika na kuongeza utajiri wake ujitoa kwenye umoja flani kwa manufaa yako, alafu watu kuku
Ni ilani yake ya uchaguzi ndio maana wa Marekani wamemchagua, wameona ana mashiko kwenye hoja zake, hata Mchina ushawishi anao lakini hatoi pesa nyingi kama yeye , ndio maana Trump katumia mwanya huo kufyeka kichaka
 
Umeongea vzr Beira Boy ,kuna watu sijui walilelewa vipi na mitaa ipi...Yani heshima kwao ni kitu cha anasa sana,unaanzaje kudhihaki mtu mzima kama Trump,mwenye familia?
B

Bro Trump ni mzazi kama walivyo wazazi wetu mimi na wewe kwanini unasema kuwa ni mke wa Putin

Hujui hata maandiko bro, huna hata khofu bro unashindwa kuheshimu hata wazazi?

Hebu fikiria kama ndo angekuwa anaandikwa baba yako kuwa mumuwe ni mwigulu chemba

Kuwa Sirius bas
 
Hili ni jambo la Urusi na Ukraine, yeye Trump ni kaka mkubwa, anataka wamalizane ila atakae leta utata anashuka nae
Hio position anayokaa mmarekani ndi mrusi haitaki ndo maana kamwambia aje kwa heshima vikwazo vyake sio jambo geni na hatishiki
 
Tutajua tuwape muda kama katishika au lah
Sio walamba miguu wa wamagharibi hao.......na jamaa wanajua mrusi na china wameingia Africa kutibua mipango yao (Global South) chaguzi nyingi kwa sasa Afrika zina mikono ya pande 2 kwa sasa global north (wamagharibi/mabepari) na global south (wengi wao ni zile nchi zilizokua za kijamaa) hata huu mwaka uchaguzi una elements za hizo pande 2 na anajulikana atakaeshinda,,,.......,,kwahio wakijifanya kuleta ubabe wao wa enzi hizo na wao wanajua pakuwatetemesha. ..AFRICA IS THE NEW FRONTIER
 
Sio walamba miguu wa wamagharibi hao.......na jamaa wanajua mrusi na china wameingia Africa kutibua mipango yao (Global South) chaguzi nyingi kwa sasa Afrika zina mikono ya pande 2 kwa sasa global north (wamagharibi/mabepari) na global south (wengi wao ni zile nchi zilizokua za kijamaa) hata huu mwaka uchaguzi una elements za hizo pande 2 na anajulikana atakaeshinda,,,.......,,kwahio wakijifanya kuleta ubabe wao wa enzi hizo na wao wanajua pakuwatetemesha. ..AFRICA IS THE NEW FRONTIER
Mrusi ameingia Africa kuservive hali ni mbaya, vita ni gharama sana, kwahiyo amekuja Africa kukwepa vikwazo, pesa ambazo alikuwa anapata Ulaya ni nyingi, ndio yupo Africa kwa ajili ya mali halafu anawapa ulinzi na wanajeshi wale wa Wagner ili kukwepa vikwazo, huyu Urusi wa sasa sio yule wa kabla ya vita
 
Back
Top Bottom