Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Unapata eneo nchi ya ugenini kwa kuvuruga uchumi wako, eneo ambalo halikuingizia chochote zaidi ya majumba chakavu , unachukua magofu na machuma tu hapo hakuna kitu Urusi atanufaika kwasasa, wakati huo kavuruga uchumi
Ndo nakwambia tumia mifano ya hizi nchi 2 Ujerumani na Mrusi nani kwa sasa kafunga viwanda vingi nchini kwake? Na nani anapitia wakati mgumu kwa sasa kiuchumi na kisiasa nchini kwake kati ya hizo nchi 2 maana Ujerumani ndo ilikua powerhouse ya Ulaya magharibi ila kapigika kuliko hata huyo mrusi hadi wakina volkswagen wanawaza kufunga viwanda
 
Trump hana maslahi na mrusi wala ulaya maslahi yake ni mashariki ya kati na ndo maana anataka kumalizana na upande huo afocus na mashariki ya kati tu....kuendelea kukimbizana na mrusi ameshajua ni kupoteza resources ambazo maswahiba wake Israel na Saudia wanazihitaji pale mashariki ya kati dhidi ya Iran
Ahadi yake ni kumaliza vita ile kwasababu US ndio anampa misaada Ukraine kwa kiwango kikubwa, ndio maana kampa OFA Mrusi kazi kwake kusuka au kunyoa
 
Ahadi yake ni kumaliza vita ile kwasababu US ndio anampa misaada Ukraine kwa kiwango kikubwa, ndio maana kampa OFA Mrusi kazi kwake kusuka au kunyoa
Mmarekani hana resources kwa sasa za kwenda hizo front 2 ulaya na mashariki ya kati sema ni mtu mzima anaugulia chini kwa chini na ndo maana Netanyahu huku mwishoni zikawa haziivi na Biden na yeye akawa anaona bora Trump aingie.....Biden na Democrats ndo walikua na maslahi ulaya mashariki ndo maana resources nyingi wakapeleka huko, shida ikaja wakashindwa kubalance na mashariki ya kati, kuna kipindi Israel akaona anaelemewa halafu Biden hatoi msaada unaohitajika.....kwahio hata Mrusi akigoma kusitisha hio vita kitaumana kwa Mmarekani tu maana hana uwezo kwa sasa na yeye anahitaji kujenga uchumi wake tena na sehem pekee anapoweza kufanya hilo ni mashariki ya kati na si Ukraine....Ukraine kwa marekani ni liability wakati mashariki ya kati ni asset
 
Angalia kwa Ukraine maeneo yanayofaa kwa kilimo na yenye madini mengi yapo ukanda upi.....
Pale ulipo chukua wewe huwezi kufanya chochote kwasasa maana ni magofu na vifusi tu , kwahiyo haiwezi kuwa msaada kwasasa, Ukraine anapiga kwa usmart mkubwa

BF374AB2-A2B8-4B48-A21E-19E6E975DFF3.png
 
Mmarekani hana resources kwa sasa za kwenda hizo front 2 ulaya na mashariki ya kati sema ni mtu mzima anaugulia chini kwa chini na ndo maana Netanyahu huku mwishoni zikawa haziivi na Biden na yeye akawa anaona bora Trump aingie.....Biden na Democrats ndo walikua na maslahi ulaya mashariki ndo maana resources nyingi wakapeleka huko, shida ikaja wakashindwa kubalance na mashariki ya kati, kuna kipindi Israel akaona anaelemewa halafu Biden hatoi msaada unaohitajika.....kwahio hata Mrusi akigoma kusitisha hio vita kitaumana kwa Mmarekani tu maana hana uwezo kwa sasa na yeye anahitaji kujenga uchumi wake tena na sehem pekee anapoweza kufanya hilo ni mashariki ya kati na si Ukraine....Ukraine kwa marekani ni liability wakati mashariki ya kati ni asset
Russia anaua watu wale ambao wangetumika kwa vitu vingine vya kimaendeleo ,US hana shida hapigani vita yeyote kwasasa anatia mafuta tu kwenye jiko

AF0CFE70-D131-40BD-80EA-3D88D497531F.png
 
Urusi hawezi kutumia nyuklia akileta ubishi atakutana na balaa la Trump, kuhusu nyuklia sahau hakuna wa kutumia
afu na wewe sasa mtu ana mabomu ya nyuklia mengi kuliko hata marekani wako huyo trump ataifanya nini urursi punguza ushabiki maandazi we mzeee mwenye mamvi huko juu ya dafu
 
Russia anaua watu wale ambao wangetumika kwa vitu vingine vya kimaendeleo ,US hana shida hapigani vita yeyote kwasasa anatia mafuta tu kwenye jiko

View attachment 3211889
Kesi ya nyani kasema ngedere......uzuri wa mambo yalivyokua kwa sasa unakula tu propaganda unazopenda sehemu za habari zimeongezeka tofauti na zamani wakina CNN sijui BBC unakula matango pori ya wamagharibi huna namna,,,,,mie kwa sasa habari isipokua RT au Sputnik kwenye ulimwengu wangu haipo hio
 
Kesi ya nyani kasema ngedere......uzuri wa mambo yalivyokua kwa sasa unakula tu propaganda unazopenda sehemu za habari zimeongezeka tofauti na zamani wakina CNN sijui BBC unakula matango pori ya wamagharibi huna namna,,,,,mie kwa sasa habari isipokua RT au Sputnik kwenye ulimwengu wangu haipo hio
Facts ziko wazi wanakufa kweli kweli, mfano hai ni kitendo cha Urusi kwenda kuazima askari North Korea ni mfano tosha kabisaa kuwa wanajeshi wa Urusi wanakufa sana
 
Bora vita viishe wanajeshi wa Ukraine wapone.
Na Ukraine si wataichukuwa yote sasa? nawaza naona kuna vitu vigumu na vibaya vipo nyuma ya hii vita kwaajili ya maslahi ya baadhi ya wakubwa Duniani. Rai wasio na hatia wala nguvu wanaangamia na kuteseka bila hatia yoyote, maslahi makubwa yapo kwa wakubwa wa ulimwenguni.
 
Facts ziko wazi wanakufa kweli kweli, mfano hai ni kitendo cha Urusi kwenda kuazima askari North Korea ni mfano tosha kabisaa kuwa wanajeshi wa Urusi wanakufa sana
Na Nato kusaidia Ukraine ina maanisha Ukraine hamna kitu...na bado kusaidiwa kote wamemegwa ....kifo kwenye vita kawaida maana hawajaenda kukata mauno shida mnakufa na lengo linatimia au mnakufa huku mnaendelea kupoteza....warusi wanakufa ila wanaendelea kumega nchi...Ukraine wanakufa huku wanaendelea kumegwa
 
Hii ndio nguvu ya Trump atakae kwamisha mazungumzo anashuka nae 😀😀😀, anajua udhaifu wa Urusi na Ukraine kwasasa hata wakificha
Ukraine imekula kwake hapo kapigwa na bado kamegwa kuna eneo hata vita ikiisha litakua ni urusi sio Ukraine tena
 
Wakae wakubaliana hata Kursk imemegwa na Ukraine japo ni eneo la Urusi
Hehe imemegwa wakati wamezingirwa....unamega nchi ila unashambulia na mizinga kutoka mbali....mega nchi jeshi lako liwe hapo lina control sio unamega halafu unazingirwa hapo umejipiga bao la mkono tu...tena Kursk imekua diversion nzuri kwa mrusi maana wale jamaa front nyingine wakaachia maana hawana wanajeshi na resources nyingine za kupigana front zaidi ya moja kama mrusi,,,hio imesaidia sana mrusi kuendelea kumega maeneo mengine
 
Na Nato kusaidia Ukraine ina maanisha Ukraine hamna kitu...na bado kusaidiwa kote wamemegwa ....kifo kwenye vita kawaida maana hawajaenda kukata mauno shida mnakufa na lengo linatimia au mnakufa huku mnaendelea kupoteza....warusi wanakufa ila wanaendelea kumega nchi...Ukraine wanakufa huku wanaendelea kumegwa
Ndio Ukraine walikuwa na jeshi dhaifu kusaidiwa ni haki yao, ila Urusi ilikuwa jeshi namba 2 kwa ubora duniani hivi sasa anasubiri msaada wa Iran na Korea kaskazini, dunia iko kasi
 
Hehe imemegwa wakati wamezingirwa....unamega nchi ila unashambulia na mizinga kutoka mbali....mega nchi jeshi lako liwe hapo lina control sio unamega halafu unazingirwa hapo umejipiga bao la mkono tu
Kursk imemegwa mbona hili liko wazi, wewe shambulia lakini watu wamemega eneo ndani ya Urusi na hakuna kitu superpower Urusi atafanya
 
Back
Top Bottom