Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

Hehe kumtoa au kumdhibiti asisogee mbona kumtoa katema zaidi ya 60%ya alipoingia mbona jamaa ni wepesi sana......Ukraine karudisha asilimia ngapi ya nchi yake iliyomegwa? Zaidi anaendelea kumegwa hakuna sehemu aliyoirudisha
Katema ndio lakini bado yupo na kashikilia ardhi ya Warusi hata kama wamenuna, mbona hata vita ilipoanza Urusi alifika mpaka pembezoni mwa KYIV akakimbia!!! , sasa Ukraine yupo Kursk na lile eneo hawezi kuliachia lote lazima alinde card yake
 
Katema ndio lakini bado yupo na kashikilia ardhi ya Warusi hata kama wamenuna, mbona hata vita ilipoanza Urusi alifika mpaka pembezoni mwa KYIV akakimbia!!! , sasa Ukraine yupo Kursk na lile eneo hawezi kuliachia lote lazima alinde card yake
Ndo ujue mhuni anacheza chess sio mcheza draft.kama nyie kila move zenu zinatabirika....haya komaeni na hio % mliobaki nayo muhuni anaendelea kumega zaidi ......unajifanya kukaza huku kumbe pembeni unaacha tobo🤣
Screenshot_20250124-121640_Sputnik.jpg


Wanaendelea kumegwaa hii juzi tu hapo
 
Hakuna chess hapo Urusi anateseka kukomboa Kursk ambayo Ukraine hawezi kubali ikombolewe, kwasababu anataka kwenda na kitu kwenye meza ya mazungumzo, hakuvamia lile eneo kujifurahisha Zelensky , alikwenda Kursk kuchukua ardhi ya Urusi
Unateseka kukomboa wakati unazidi kumega nchi ya watu wanaosaidiwa na Nato ....endeleeni kujifariji tunajua mnaogopa zile aibu kama za Vietnam au pale Afganistan juzi tu.....tafuteni chaka la kuficha aibu zenu mapema maana hii kitu ikiisha NATO wataaibika saaaana jameni
 
Unateseka kukomboa wakati unazidi kumega nchi ya watu wanaosaidiwa na Nato ....endeleeni kujifariji tunajua mnaogopa zile aibu kama za Vietnam au pale Afganistan juzi tu.....tafuteni chaka la kuficha aibu zenu mapema maana hii kitu ikiisha NATO wataaibika saaaana jameni
Ukraine hana aibu yeyote yeye anaomba msaada hadharani kwasababu ni nchi ndogo, mwaka wa 3 huu Urusi anateseka na Ukraine , unaua watu wako na kutumia pesa zako , warusi laki 4 wanekufa na kujeruhiwa, hawa wangetumika kuzalisha nchini pale Urusi nchi si ingekuwa mbali? uzuri uwanja wa vita ni Urusi na Ukraine sio NATO wala US , haya Ukraine yuko kwenye ardhi ya Urusi na hakuna kitu watafanya, superpower anaomba msaada mpaka huu kutoka kwa KIM

BA17DCF7-842C-43A8-A36E-697485C733C0.png
 
Ndo ujue mhuni anacheza chess sio mcheza draft.kama nyie kila move zenu zinatabirika....haya komaeni na hio % mliobaki nayo muhuni anaendelea kumega zaidi ......unajifanya kukaza huku kumbe pembeni unaacha tobo🤣View attachment 3212343

Wanaendelea kumegwaa hii juzi tu hapo
Hakuna chess yeyote alikimbia KYIV mchana kweupe kila akijaribu kuingia anachezea ndio kurudi huko Donetsk na Luhansk, alifikiri vita ni rahisi sana anayokutana nayo mrusi hawezi kuamini ndio maana vitisho vya Nyuklia vilikuwa vingi
 
Ukraine hana aibu yeyote yeye anaomba msaada hadharani kwasababu ni nchi ndogo, mwaka wa 3 huu Urusi anateseka na Ukraine , unaua watu wako na kutumia pesa zako , warusi laki 4 wanekufa na kujeruhiwa, hawa wangetumika kuzalisha nchini pale Urusi nchi si ingekuwa mbali? uzuri uwanja wa vita ni Urusi na Ukraine sio NATO wala US , haya Ukraine yuko kwenye ardhi ya Urusi na hakuna kitu watafanya, superpower anaomba msaada mpaka huu kutoka kwa KIM

View attachment 3212349
NATO hawakiepuki kikombe hiki.....hii ni Afghanistan na Vietnam nyingine,,,tena Trump lazima amharibie babu Biden kama alivyomuharibia yeye kule Afghanistan
Screenshot_20250124-122146_Sputnik.jpg
 
Hakuna chess yeyote alikimbia KYIV mchana kweupe kila akijaribu kuingia anachezea ndio kurudi huko Donetsk na Luhansk, alifikiri vita ni rahisi sana anayokutana nayo mrusi hawezi kuamini ndio maana vitisho vya Nyuklia vilikuwa vingi
Msikilizeni mkubwa wenu.....anawaambia kabisa huyo dogo Zele aliingia cha kike kukiwasha na Mrusi.....uzuri mrusi haogopi kufa ili jambo lake litimie tofauti na wamagharibi wanaopenda michezo ya proxy wafe wengine wao ndo wanufaike ,,ila kwa sasa wameshindwa
Screenshot_20250124-123918_RT News.jpg
 
NATO hawakiepuki kikombe hiki.....hii ni Afghanistan na Vietnam nyingine,,,tena Trump lazima amharibie babu Biden kama alivyomuharibia yeye kule Afghanistan View attachment 3212351
Ukraine anapiga tu sasa hivi hakuna mipaka wala vitisho vya Nyuklia, kwa taarifa tu zimerushwa Drone mpaka Moscow , kule Ryazan kisima cha mafuta kimepigwa na kule Bryansk kiwanda cha kutengeneza microelectronics kwa ajili ya silaha za Urusi kimeshughulikiwa vizuri kabisaa
30D899E0-4454-45D3-8A7F-161E6F92BAFB.png
 
Unapata eneo nchi ya ugenini kwa kuvuruga uchumi wako, eneo ambalo halikuingizia chochote zaidi ya majumba chakavu , unachukua magofu na machuma tu hapo hakuna kitu Urusi atanufaika kwasasa, wakati huo kavuruga uchumi
Urus kachukua mgodi wa Lithiumwa Ukraine juzi tani zaidi ya 500,000 anazishikilia yy na Ukraine nchi yenye Stoke kubwa ya Lithium kuliko zote EU. Ukraine wamesitisha mkataba juzi wa kuruhusu gesi ambayo inaenda kwa baadhi ya nchi za ulaya Moldova, Hungary, Austria,hizi nchi hali yao upande wa nishati ni mbaya na kila siku wanalalamika EU.

Ujerumani nao ambao walikuwa wanategemea gesi ya kutokea Urusi,baada ya kujitia jeuri nae viwanda vyake vina hali mbaya. Urusi mafuta na gesi wanunuaji wake wakubwa lwa sasa ni China na India,juzi hapo kuna bomba kutoka Urusi kwenda China,China ana mahaitaji makubwa ya gesi na inawezekana anaweza akachukua gesi kiwango kikubwa zaidi ya kile ulaya walichokuwa wakichukua.

Kumuangusha Mrusi sio swala dogo, mwaka jana mwezi wa kumi na moja wanaanga wa US chombo chao kilikwama angani, naona mpaka wakina Musk na NASA walichemka kuwarudisha,ila wanaanga wa Urusi ndio walio enda kuwarudisha habari hii haikutangazwa na vyombo vya magharibi. Ilitangazwa na vyombo vya India,China na Urusi.Pamoja na kelele zote hizi za vikwazo,ila baadhi ya nchi ya EU zimekataa kuacha kununua gesi kwa Urusi.Kwa mwaka huu tu wa 2025 ndani ya siku kumi na tano yani Jan 15,baadhi ya nchi za EU washanunua zaidi ya tani 830,000 (Source Hindustan Times)

View: https://m.youtube.com/watch?v=HqNWdECTyww&pp=ygUpVGhlcmUgRVUgbWVtYmVycyBzdGlsbCBidXlpbmcgUnVzc2lhbiBnYXM%3D
Najua utasema kuhusiana na source ya habari,ila Hindustan Times ni chombi cha habari cha India kina miaka zaidi ya mia moja.
 
Ukraine anapiga tu sasa hivi hakuna mipaka wala vitisho vya Nyuklia, kwa taarifa tu zimerushwa Drone mpaka Moscow , kule Ryazan kisima cha mafuta kimepigwa na kule Bryansk kiwanda cha kutengeneza microelectronics kwa ajili ya silaha za Urusi kimeshughulikiwa vizuri kabisaa
View attachment 3212358
Matokeo je?? Upande mwengine wale jamaa wa NATO wanaendelea kumwagiwa ugali wao na Superpower

Yaani hapa unatandika kona zote......kiuchumi na hadi man to man unamega mtu
Screenshot_20250124-122316_RT News.jpg
 
Msikilizeni mkubwa wenu.....anawaambia kabisa huyo dogo Zele aliingia cha kike kukiwasha na Mrusi.....uzuri mrusi haogopi kufa ili jambo lake litimie tofauti na wamagharibi wanaopenda michezo ya proxy wafe wengine wao ndo wanufaike ,,ila kwa sasa wameshindwaView attachment 3212354
Huyu anataka mazungumzo yafanyike , hapo kamgeukia Putin sasa , hapo vip


0E9479AA-6864-4935-94CD-8B6F34842253.png
 
Sasa atakwenda wapi zaidi ya kuja Africa kuiba 😀😀hali ya uchumi ni mbaya
Mwenye uchumi mbaya ni Mfaransa na Mjerumani tena huyo mfaransa anavyozidi kuharibiwa huku Afrika atafilisika kama ureno ilipotemeshwa kibungo Mozambique na makoloni yake mengine Africa, Ufaransa uchumi wake asilimia kubwa unategemea wizi kwenye makoloni yake ya zamani ila sahv kitumbua kinaingia mchanga....na bado huko babu Trump anawataka Nato waongeze mshiko kama hawataki wanakula kibuti kama cha WHO ......wenye hali mbaya wanajulikana bwashee
 
Urus kachukua mgodi wa Lithiumwa Ukraine juzi tani zaidi ya 500,000 anazishikilia yy na Ukraine nchi yenye Stoke kubwa ya Lithium kuliko zote EU. Ukraine wamesitisha mkataba juzi wa kuruhusu hesi ambayo inaenda kwa baadhi ya nchi za ulaya Moldova, Hungary, Austria,hizi nchi hali yao upande wa nishati ni mbaya na kila siku wanalalamika EU.

Ujerumani nao ambao walikuwa wanategemea gesi ya kutokea Urusi,baada ya kujitia jeuri nae viwanda vyake vina hali mbaya. Urusi mafuta na gesi wanunuaji wake wakubwa China na India,juzi hapo kuna bomba kutoka Urusi kwenda China,China ana mahaitaji makubwa ya gesi na inawezekana anaweza akachukua gesi kiwango kikubwa zaidi ya kile ulaya walichokuwa wakichukua.

Kumuangusha Mrusi sio swala dogo, mwaka jana mwezi wa kumi na moja wanaanga wa US chombo chao kilikwama angani, naona mpaka waki Musk na NASA walichemka kuwarudisha,ila wanaanga wa Urusi ndio walio enda kuwarudisha habari hii haikutangazwa na vyombo vya magharibi. Ilitangazwa na vyombo vya India,China na Urusi.Pamoja na kelele zote hizi za vikwazo,ila baadhi ya nchi ya EU zimekataa kuacha kununua gesi kwa Urusi.
Hao wachina na wahindi wananunua mafuta kwa bei rahisi sana tofauti na soko lake la ulaya ambapo alikuwa anatoa 40 % ya mafuta kule, alikuwa anapata pesa nyingi sana na alikuwa hana vita na mtu, lakini sasa ana vita huu mwaka wa 3 hali ya uchumi imeporomoka, ndio maana sasa kimbilio lake ni Iran na Korea kaskazini, anapata vitu kwa bei rahisi , hii vita hata Warusi wenyewe wameichoka sema ukisema hadharani unapata adhabu, Putin amerudisha nchi nyuma, hata akipata kitu gani kwenye uwanja wa vita hakuna ambapo anaweza kuuza kwasasa maana ule ni wizi
 
Mwenye uchumi mbaya ni Mfaransa na Mjerumani tena huyo mfaransa anavyozidi kuharibiwa huku Afrika atafilisika kama ureno ilipotemeshwa kibungo Mozambique na makoloni yake mengine Africa, Ufaransa uchumi wake asilimia kubwa unategemea wizi kwenye makoloni yake ya zamani ila sahv kitumbua kinaingia mchanga....na bado huko babu Trump anawataka Nato waongeze mshiko kama hawataki wanakula kibuti kama cha WHO ......wenye hali mbaya wanajulikana bwashee
Ufaransa hawezi kuwa na uchumi mbaya kuliko Urusi kwenye mazingira yeyote yale, Urusi ana kazi kubwa sana kulipa ile vita
 
Dogo lenu zele si lilisema halitaki mazungumzo anataka kupata ushindi uwanja wa mapambano kwani nae ikawaje?View attachment 3212371

Si wameipata kursk jameni waongeze tena miaka 2 ya mapambano
Ni kweli alisema ila sasa kaja Trump anataka wakae wazungumze wakubaliane, atakae leta utata atashuka nae kwahiyo anatii maagizo ya Trump
 
Hao wachina na wahindi wananunua mafuta kwa bei rahisi sana tofauti na soko lake la ulaya ambapo alikuwa anatoa 40 % ya mafuta kule, alikuwa anapata pesa nyingi sana na alikuwa hana vita na mtu, lakini sasa ana vita huu mwaka wa 3 hali ya uchumi imeporomoka, ndio maana sasa kimbilio lake ni Iran na Korea kaskazini, anapata vitu kwa bei rahisi , hii vita hata Warusi wenyewe wameichoka sema ukisema hadharani unapata adhabu, Putin amerudisha nchi nyuma, hata akipata kitu gani kwenye uwanja wa vita hakuna ambapo anaweza kuuza kwasasa maana ule ni wizi
Endelea kuhifadhi propaganda hivi unajua nchi za EU kwa mwaka huu mpaka kufikia Jan 15 ,washanunua tani 830000 za gas ya Russia? Hivi nchi irudi nyuma,then iwe na uwezo wa kwenda kuwarudisha wanaanga wa US tena wa nchi adui,hivi unajua hizi project za anga zinacoast hela kubwa,maana hapo unaongelea billion USD dollars.

Endelea kuziamini propaganda za US,ila Russia yupo vizuri, pamoja na Ukraine kuzuia gesi ,humsikii kulalamika ila wanaolalamika Moldova,Hungary, Austria,Germany sababu ndio wanao umia yy Russia soko lake kahamishia China na India.
 
Ufaransa hawezi kuwa na uchumi mbaya kuliko Urusi kwenye mazingira yeyote yale, Urusi ana kazi kubwa sana kulipa ile vita
Ufaransa uchumi wake umedrop sana,hamkaribii hata Russia na Russia anamfanyia makusudi kumwaribia kwenye makoloni yake huku Africa,sababu anajua uchumi wake unategemea wizi wa kuiba malighafi za Africa,ikiwemo Uranium kutoka Niger.Sasa pata picha nchi kama ile ya France ukiibana kwenye Uranium ya wizi ( ambayo ni source kubwa ya umeme wa uhakika) then huku kapigwa pini na Russia ,wewe unazani viwanda na gharama za nishati vitakuwa ktk hali gani.
 
Hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi nyingi hapa duniani, hususani kwa nchi ambazo ni dhaifu kijeshi kama hizi nchi zetu za kiAfrika. Ni hatari zaidi kwa nchi ambazo zinapakana na nchi zingine zenye nguvu zaidi ya kiuchumi, kijeshi na zenye Watawala wababe wanaopenda Vita, mathalani majirani zake wote wa Urusi, Rwanda.
Watanzania tusifurahie jambo hili eti kwa sababu Trump anafanya hivyo dhidi ya nchi ya Ukraine ambayo ipo mbali nasi, tukumbuke kwamba tunapakana na nchi ya Rwanda ambayo mtawala wake aliyopo huko anafanana sana na Rais Vladmir Putin kwa misimamo yao. Congo DR ni nchi kubwa sana kuliko Tanzania lakini inahenyeshwa na Rwanda. Aidha, Iran pia ni nchi kubwa sana lakini inahenyeshwa na Israel.
Mwenzako akinyolewa zako tia maji!
Rwanda yenyewe inaishi Kwa neema ya hao mabeberu harafu sisi ndo tuiogope
 
Back
Top Bottom