Utawala wake hautatulia abadani

Utawala wake hautatulia abadani

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Hutatulia wewe na roho mbaya yako.

Nchi imetulia na amani imetawala.
 
Kawaida hakuna Rais ambaye hakuwa na watu wa kwenda nao toka Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Sasa Samia wote waliweka watu wanaowaamini kwenye tawala zao!!

Muhimu tupiganie katiba mpya iliyo bora haya ndio yataisha!!
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Haya mambo wasiyoyajua ndio watashangaa.

Ila sisi tunaoyajua tunabaki tu kusema 'hiiiiiiiiii ahaaaaaa' kazi ipo!
 
Kawaida hakuna Rais ambaye hakuwa na watu wa kwenda nao toka Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Sasa Samia wote waliweka watu wanaowaamini kwenye tawala zao!!

Muhimu tupiganie katiba mpya iliyo bora haya ndio yataisha!!
Ukiona hivyo ujue huyo ni mfuasi wa hayati.

Anatapatapa tu... Anadhani Mama anafanya mabadiliko makubwa kama haya akiwa jikoni anakaanga chapati. Hajui Urais ni taasisi na haya hayafanyiki bila makubaliano na wanataasisi...
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Chuki zako kwa serikali ya awamu ya sita zitakuja kukuua!

Kila siku unaitakia mabaya. Hata hivyo,kwa jinsi mh rais Samia alivyoippnya nchi na kuleta maendeleo makubwa katika kipindi kifupi.. watanzania wamemuelewa!

Kila sekta inapaa. Mapato ya Kodi yamevunja rekodi mwezi Desemba..bilioni 2,700!
 
Naona kuna makundi mawili ndani ya CCM yako mitandani, kule field napo ni kama nayaona hasa nikizingatia upigaji wa zile kura za NEC ulivyokwenda, na sura za wale waliopata kura nyingi.

Swali la kujiuliza hapa ni kwamba, huu mvurugano wao huko CCM utaendelea mpaka lini? na kama ukifika wakati wa kufanya maamuzi mazito kwa chama chao, huu mvurugano unaweza kuwa na impact itakayosababisha kubadili taswira ya uongozi wa CCM, na serikali yake mbele ya safari?

Au huu mvurugano mwisho wa siku utaishia kumezwa na nguvu ya mwenyekiti kama ilivyo thibitika mara kadhaa?

Ukweli ni kwamba, kama hili kundi linalolalamika mitandaoni, ambalo kiuhalisia linaonekana kuwa na nguvu ya ushawishi mpaka kwenye vikao vyao vya maamuzi [ kupiga kura] litajipanga vyema basi kuna jambo zito linaloweza kutokea kwenye siasa zetu kuelekea 2025, ambalo litaweka historia..

Lets wait & see.!!
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Hakuna kitu kibaya kama kukosa common understanding....Mimi naogopa precedence inayo kuwa set....The future is in black box...God remember and spare my country!
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
Fanyeni kazi acheni,kulialia na kulalamika
Utajikuta unalialia mpaka 2030

Ova
 
IMG-20230105-WA0185.jpg
 
Unapoanza kuwavuruga wakurungwa ni wazi tarajia majawabu ya hila na chuki kwa sababu ki binadamu nyongo na kisasi ni sehemu ya kile mwathiliwa hukifikiri na kukitenda akiamini anakukomoa kwa kile ulichomtendea.

Ndugu yetu huyo na atarajie hayo kumpata kutoka kwa aliowavuruga ama kuwatosa.

Ukweli ni kwamba wao pia yapo baadhi ya mapungufu ya aliyewatosa wanayajua/ kuyafahamu na ili kujipoza nafsi sasa ni wazi wataanza kuyapenyeza kwa wasema hovyo ili tu wamfedheheshe kwa namna moja ama nyingine.

Tushangilie kwa akiba huku tukiwiwa na kiasi.

Kwangu mimi hili game ndiyo kwaaaanza ni dakika ya 10 ya mchezo na rasmi utamu wa mchezo umeanza kukolea.

Anao wakati mgumu sana ujao bi Chakunaku.
ni wakati wa wale waliotamba na kufanya watakavyo kuwa watazamaji kwa sasa. Navyoona mimi hakuna game lolote lile, maza kashapiku turufu ya kuwa Rafiki wa wapinzani kosa ambalo mwendazake alilifanya.

Ukimshambulia maza ambaye analeta walau dalili ya kupumua kwa nchi basi wewe utakuwa mchawi.

Mama anaongeza marafiki, wachache ndani ya CCM hawatapenda jambo hili ila wakae watulie vinginevyo watanyolewa bila maji.
 
Back
Top Bottom