Uteketezaji huu wa vifaranga ni unyama uliopitiliza

Uteketezaji huu wa vifaranga ni unyama uliopitiliza

Niliacha kufuga kwa sababu nina rafiki yangu anafanyakazi kwenye mojawapo ya hivi viwanda na akaniambia Msanii usihangaike na kufuga kwa sababu viwanda wanalipwa na makampuni ya nje kusitisha utotoleshaji na ikatumika mbinu ya kuongeza bei ya vyakula vya kuku..... kisa kilikuwa ni yale matukio ya kuchoma vifaranga kutoka nje. Waliamua kumkomesha Magu wakidhani yeye ndo anafuga
Hii biashara imeingiliwa na wahuni.

Walishindwa nini kuwagawa bure hao vifaranga badala ya kuwachoma?
Gharama za utunzaji zimekuwa kubwa mno nadhani hata bei za vyakula vya kuku ni ghali sana hii imefanya wengi wasifuge tena........

...hata wangetoa bure huenda wasingepata wachukuaji wengi.
 
Kupitia taarifa ya habari jana jumatatu saa mbili usiku azam tv imeripoti habari ya kiwanda kimoja cha kuzalisha vifaranga cha mjini Moshi kuteketeza mamia ya vifaranga kwa kuwatosa kwenye moto mkaili eti kisa tu vifaranga hao wamekosa soko!

Kweli japo kuku wanaliwa kila siku lakini kitendo kilichofanywa na uongozi wa kiwanda hicho ni cha kinyama tena kinyama mno,
Kwa kweli nimepigwa na butwaa baada ya kusikiliza habari ile na kumshuhudia mmoja wa wafanyakazi akitupia box moja baada ya jingine juu ya moto mkali huku vifaranga vikilia kwa uchungu!..aisee imeniuma mno.

Sababu za mkurugenzi:

Walivisafirisha vifaranga hivyo hadi Dar ili viuzwe kwa tsh 1000@..biashara ikawa ngumu kwa sababu ati kuna watu wengi sasa hivi wana ingiza vifaranga toka nje hivyo soko limetibuka..wakaamua washushe bei hadi tsh 900...bado hawakupata soko..wakaamua mzigo urudi kiwandani Moshi huko nako wakatangaza bei ya tsh 900 ikashindikana..uamuzi wao wa mwisho ukawa ni kuwateketeza kwa moto mkali!

Tuiombe serikali kitengo cha watu wa mifugo au kama bado ipo taasisi ya kutetea wanyama iwafuatilie wamiliki wa kiwanda hiki na ikibidi wachukuliwe hatua kali ili iwe onyo kwa wengine watakaofikiria kufanya upuuzi huu.maana mkurugenzi wao ameshasema kuwa vifaranga wengine laki nane na nusu wanatarajiwa hivi karibuni na hajui pa kuwapeleka.

Nimejiuliza kwanini basi hata huku Dar na Moshi wasivigawe kwa mtu yeyote atakayeweza kutunza?hata kama mtu angechukua 20 mwingine box 4,mwenye vifaranga 60 nk wangetangaza tu hadharani..au kuwatangazia hata majeshini,vyuoni pengine wangejaribu kuwakuza vifaranga hao wa nyama na mayai.

Nimalizie kwa kusema kitendo kile ni cha kishetani na hakina budi kulaaniwa na serikali ichukue hatua stahiki na hili lisijirudie.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Serikali ipewe hivyo vifaranga kulisha kunguru wao weusi. Badala ya kuwaacha wazaliane na kutumalizia kuku na ndege wetu!
 
hapo pana utata inawezekana hata wao hawajapenda ila mazingira yalikuwa ni limited kwao! Maana ilikuwa inatakiwa kuvilisha na kuvitibu kila siku, so kuliko kubiacha vife na njaa wameona bora vichomwe tu
Wangeamua kuvigawa bure je???
 
Kwanza naomba niseme hao siyo vifaranga original walioumbwa na Mungu or Allah, hao ni matokeo ya utundubwa mwanaadam.

Pili wangekuwa Og ambao wangeweza kujilisha wenyewe nadhani hata staff wa kiwanda wangebeba na kwenda kuwamwaga kwenye cage sababu wanatafuta na kufukua chakula popote.

Pamoja na yote kuku wa machine hana haki wala sheria ya kumlinda, kuku gani ukimuweka stendi ya daladala aondoki wala ageuki!.
Mbna hata binadamu original kutoka kwa Allah ni wawili tuu (Adam na Hawa). wengine sisi ni utundu wa binadamu.
 
Vifaranga vya kuku wa nyama na mayai zaidi ya elfu 30 vimeteketezwa kwa moto mkoani Kilimanjaro baada ya kukosa soko la ndani baada ya nchi kufunguliwa na kusababisha maelfu ya vifaranga kuingizwa nchini kutoka nje kiholela wakiwa wanauzwa kwa bei ya chini, hivyo kuuwa kabisa soko la ndani na kuwafanya watanzania wenye viwanda vya kuku kuangukia pua.!

Ikumbukwe kipindi Samia akiwa makamu wa rais kuna vifaranga kutoka Kenya viliingizwa kinyemela vikakamatwa na mamlaka za Tanzania na kuchomwa moto, kitendo kilichomkera sana Rais Samia na kuamua kuifungua nchi.
20221213_084428.jpg
 
Ujue kutoa uhai wa kiumbe ni ukatili uliopitiliza, Mimi hata kuchinja
 
Kwanza naomba niseme hao siyo vifaranga original walioumbwa na Mungu or Allah, hao ni matokeo ya utundubwa mwanaadam.

Pili wangekuwa Og ambao wangeweza kujilisha wenyewe nadhani hata staff wa kiwanda wangebeba na kwenda kuwamwaga kwenye cage sababu wanatafuta na kufukua chakula popote.

Pamoja na yote kuku wa machine hana haki wala sheria ya kumlinda, kuku gani ukimuweka stendi ya daladala aondoki wala ageuki!.
Wengine wanawaita kuku zezeta 😀😀😁🙄
 
Kwa hiyo mfanya biashara anaweza kuona ni heri avichime kuliko kushusha bei akauza japo 500tsh akapata nusu bei? Hivyo vifaranga vina corona.

Walete sababu nyingine ila hizo ngonjela wadangaye wajinga
Hao watakuja wamejifunza huu ubaya kwa 'jiwe'. Unakumbuka wale vifaranga wa Kenya pale Namanga?
 
Kupitia taarifa ya habari jana jumatatu saa mbili usiku azam tv imeripoti habari ya kiwanda kimoja cha kuzalisha vifaranga cha mjini Moshi kuteketeza mamia ya vifaranga kwa kuwatosa kwenye moto mkaili eti kisa tu vifaranga hao wamekosa soko!

Kweli japo kuku wanaliwa kila siku lakini kitendo kilichofanywa na uongozi wa kiwanda hicho ni cha kinyama tena kinyama mno,
Kwa kweli nimepigwa na butwaa baada ya kusikiliza habari ile na kumshuhudia mmoja wa wafanyakazi akitupia box moja baada ya jingine juu ya moto mkali huku vifaranga vikilia kwa uchungu!..aisee imeniuma mno.

Sababu za mkurugenzi:

Walivisafirisha vifaranga hivyo hadi Dar ili viuzwe kwa tsh 1000@..biashara ikawa ngumu kwa sababu ati kuna watu wengi sasa hivi wana ingiza vifaranga toka nje hivyo soko limetibuka..wakaamua washushe bei hadi tsh 900...bado hawakupata soko..wakaamua mzigo urudi kiwandani Moshi huko nako wakatangaza bei ya tsh 900 ikashindikana..uamuzi wao wa mwisho ukawa ni kuwateketeza kwa moto mkali!

Tuiombe serikali kitengo cha watu wa mifugo au kama bado ipo taasisi ya kutetea wanyama iwafuatilie wamiliki wa kiwanda hiki na ikibidi wachukuliwe hatua kali ili iwe onyo kwa wengine watakaofikiria kufanya upuuzi huu.maana mkurugenzi wao ameshasema kuwa vifaranga wengine laki nane na nusu wanatarajiwa hivi karibuni na hajui pa kuwapeleka.

Nimejiuliza kwanini basi hata huku Dar na Moshi wasivigawe kwa mtu yeyote atakayeweza kutunza?hata kama mtu angechukua 20 mwingine box 4,mwenye vifaranga 60 nk wangetangaza tu hadharani..au kuwatangazia hata majeshini,vyuoni pengine wangejaribu kuwakuza vifaranga hao wa nyama na mayai.

Nimalizie kwa kusema kitendo kile ni cha kishetani na hakina budi kulaaniwa na serikali ichukue hatua stahiki na hili lisijirudie.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kheri wangevitoa kwa makazi ya wazee na yatima ili wavifuge, nashauri serikali ichukue hatua dhidi ya wahusika wa kitendo hicho kiovu.
 
Kupitia taarifa ya habari jana jumatatu saa mbili usiku azam tv imeripoti habari ya kiwanda kimoja cha kuzalisha vifaranga cha mjini Moshi kuteketeza mamia ya vifaranga kwa kuwatosa kwenye moto mkaili eti kisa tu vifaranga hao wamekosa soko!

Kweli japo kuku wanaliwa kila siku lakini kitendo kilichofanywa na uongozi wa kiwanda hicho ni cha kinyama tena kinyama mno,
Kwa kweli nimepigwa na butwaa baada ya kusikiliza habari ile na kumshuhudia mmoja wa wafanyakazi akitupia box moja baada ya jingine juu ya moto mkali huku vifaranga vikilia kwa uchungu!..aisee imeniuma mno.

Sababu za mkurugenzi:

Walivisafirisha vifaranga hivyo hadi Dar ili viuzwe kwa tsh 1000@..biashara ikawa ngumu kwa sababu ati kuna watu wengi sasa hivi wana ingiza vifaranga toka nje hivyo soko limetibuka..wakaamua washushe bei hadi tsh 900...bado hawakupata soko..wakaamua mzigo urudi kiwandani Moshi huko nako wakatangaza bei ya tsh 900 ikashindikana..uamuzi wao wa mwisho ukawa ni kuwateketeza kwa moto mkali!

Tuiombe serikali kitengo cha watu wa mifugo au kama bado ipo taasisi ya kutetea wanyama iwafuatilie wamiliki wa kiwanda hiki na ikibidi wachukuliwe hatua kali ili iwe onyo kwa wengine watakaofikiria kufanya upuuzi huu.maana mkurugenzi wao ameshasema kuwa vifaranga wengine laki nane na nusu wanatarajiwa hivi karibuni na hajui pa kuwapeleka.

Nimejiuliza kwanini basi hata huku Dar na Moshi wasivigawe kwa mtu yeyote atakayeweza kutunza?hata kama mtu angechukua 20 mwingine box 4,mwenye vifaranga 60 nk wangetangaza tu hadharani..au kuwatangazia hata majeshini,vyuoni pengine wangejaribu kuwakuza vifaranga hao wa nyama na mayai.

Nimalizie kwa kusema kitendo kile ni cha kishetani na hakina budi kulaaniwa na serikali ichukue hatua stahiki na hili lisijirudie.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Exactly [emoji817]...
Aisee kiukweli watu wana roho mbaya sana...
Si bora utoe bure..huu ni ushetani mkubwa sana..
 
Hiko kiwanda wamefanya hivyo kupunguza hasara. Unazalisha umuuzie mfugaji let say una stock ya vifaranga 4000 unasubiri vitoke hakuna wanunuzi utafanyaje
Kwa hiyo ukiwachoma ndo unakwepa hasara?
Wamesafirishwa hadi Dar na kurudisha tena Moshi hiyo gharama ya usafiri, kutotolesha na matunzo itafidiwa na kuwachoma moto? Vipi wangeuza hata kwa jero jero ili kupunguza hasara au kugawa kwa wananchi wenye uwezo wa kuwatunza?
 
hapo pana utata inawezekana hata wao hawajapenda ila mazingira yalikuwa ni limited kwao! Maana ilikuwa inatakiwa kuvilisha na kuvitibu kila siku, so kuliko kubiacha vife na njaa wameona bora vichomwe tu
Ee kuliko vingekufa ni bora wameviokoa kwa kuviteketeza kwa moto[emoji706][emoji706]
 
Wizara iwawajibishe hao watu kufanya uteketezaji wa vifaranga kinyama namna hiyo........huwezi kuteketeza kiumbe ambaye bado ana uhai kwa moto.

Wangeweza kutumia hata 'gas chamber' na kuwateketeza kwa njia ya gesi ya sumu na wakafa bila maumivu yoyote.

Huu ni ukatili wa kiwango cha juu cha wanyama na sidhani kama watu wa haki za wanyama wameshachukua hatua zozote.​
 
Huu nchi swala la kufikiri limekuwa changamoto sana. Think [emoji35]
 
Back
Top Bottom